Serikali walikosea kwenye swala la uuzaji wa mahindi

Siyo rahisi kivile. Hivi unawajua Wazambia? Pia ujue bei yao ni ndogo kuliko yetu kwa sababu ya Economy of scale,wana mashamba makubwa ya kufa mtu.
Tuanzie hapo kwanini sie tunashindwa kulima mashamba makubwa wakati ardhi nzuri tunayo, jibu ni kuwa kilimo hatukipi mkazo unaotakiwa
 
Kwani lazima yauzwe Kenya, hapo kwa wananchi wa Sumbawanga, Mbeya, Songwe na Ruvuma watayauza Zambia na Kenya watayanunua wakijua yametokea Zambia

Ni sawa na kupeleka ule Mchele wa Japan Kyela uuzie kule ndio wanunuzi waone umetoka Kyela.. Nonsence.
 
Wanao umia sasa niwakulima wadogo kutokana namaamuzi ya hovyo ya viongozi wetu.wanasahau kuwa binaadamu tunaishi kwa kufaidiana.so chuki na visasi hatitakiwi miongoni mwetu.
Athari yake ni vita baridi maana wafanyabiashara wa tz wanao tegemea kenya na wakenya wanao tegemea tz watakua na utata tu
 
Nimetoa logistics options sasa wewe usinilaumu mimi walaumu wanaoweka vikwazo vya biashara nadhani unawajua
 
Ni kweli ndugu na itakuwa vizuri kama pendekezo nililotoa hapo mwishoni litafanyiwa kazi. Lakini ni sababu zipi zilitufanya tujitoe COMESA?
 
Tuanzie hapo kwanini sie tunashindwa kulima mashamba makubwa wakati ardhi nzuri tunayo, jibu ni kuwa kilimo hatukipi mkazo unaotakiwa
1. Tufanye land policy reform. Siyo rahisi kupata mwekezaji wa kweli kwenye kilimo huku akijua wakati wowote atanyanganywa eneo na kugawiwa watu. This is where the nucleus of agric investiment failure starts.
2. Mashamba makubwa yaliyokuwa ya serikali yabaki yaboreshwe,yasigawiwe watu hovyohovyo ambao hawana nyenzo na hata ya kwao yamewashinda. Vijana wetu mf.kutoka SUA wawezeshwe,waendeshe na wasimamie mashamba haya mfano lile la Mbarali
3.......
4....
 
Kenya bei ya bhangi imepanda sana baada Tanzania kufyeka mashamba ya bhangi, kumbuka 40% ya wakenya wanavutana bhangi wakiongozwa na rais wao
 
Nimetoa logistics options sasa wewe usinilaumu mimi walaumu wanaoweka vikwazo vya biashara nadhani unawajua
Ni kweli umetoa logistics options lakini ingependeza kama pia ungetoa na uchambuzi wa gharama zake ili kupata ulinganifu wa kitaarifa.
 
Unaweza kudhani Ni lazima yapite Tanzania kumbe yakapita Msumbiji kwa Treni na kupakiwa kwenye Meli kisha kuletwa Kenya, kitu ambacho Ni cheaper kuliko kukatiza Tz na Malori! Zambia to Mozambique by Rail inawezekana ikawa cheap zaidi! So tusiringe Sana!
 
...Kwa hiyo sisi kazi yetu itakuwa ni kugombana na neighbors tuu? Ndiyo uchumi wa viwanda huo?
 
Kwani lazima yauzwe Kenya, hapo kwa wananchi wa Sumbawanga, Mbeya, Songwe na Ruvuma watayauza Zambia na Kenya watayanunua wakijua yametokea Zambia
....Someni threads between the lines...si umeambiwa Zambia wana mahindi mengi na bora?
 
Hata sisi tuna tazara ambayo nafikiri ni cheap zaidi.
 
Kwani lazima yauzwe Kenya, hapo kwa wananchi wa Sumbawanga, Mbeya, Songwe na Ruvuma watayauza Zambia na Kenya watayanunua wakijua yametokea Zambia
Itabidi yauzwe cheaper zaidi kuliko ambavyo wangeuza moja kwa moja Kenya. Zambia pia wanaweza kuhitaji kulinda soko lao, hivyo wasinunue mahindi ya Tz! Kwani suala la Mbaazi na Choroko na Dengu limekuwaje? Tuache Akili za Kiburi, hakitusaidii!
 
Ndy fresh ungali uwe wa kumwaga hapa kwetu bora wagome tu moja kwa moja hiyo biashara ife wauze hapahapa ndani kwetu
 
Kwa hiyo hujui kuwa kuna aina mbalimbali za usafiri...Kenya wameshatuacha mbali hatuwezi kutunishiana nao msuli
 
Kenya bei ya bhangi imepanda sana baada Tanzania kufyeka mashamba ya bhangi, kumbuka 40% ya wakenya wanavutana bhangi wakiongozwa na rais wao
Watu wanajadili mstakabadhi wa taifa ww unazodoa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…