Serikali: Walimu 52,551 kuneemeka na upandishaji madaraja kwa njia ya mserereko

Serikali: Walimu 52,551 kuneemeka na upandishaji madaraja kwa njia ya mserereko

Masikini hana haki kila sehemu,kuna tabaka stahiki zao ni kuminyana kweli ndiyo uambulie kidogo ila kuna tabaka lingine wao hupewa tu bila hata kulalama.Wao wamenona kwa vinono ila wengine wamekonda haswa na kuzeeka kabla ya umri wao kwasababu ya stress.
 
Hali ya walimu TZ ni aibu Kwa taifa na ni indicator ya poor education system nchini!!
Kuna mwalimu nilimtoa out mhudumu kuleta chenchi ya elfu nne nikamwambia ampe aliirukia kwa mshtuko mpaka nikaona aibu Mimi!!
Viongozi nao wanawalaghai sana na kuwachezea kwa viahadi vyakuwapanga kazi maalumu chache zitokeazo!!
Walimu wengi wakike wanateseka mmmno kwa kudhulumiwa kingono na viongozi uchwara kwenye halmashauri zao huu ni ukweli usiosemwa!!
 
Hali ya walimu TZ ni aibu Kwa taifa na ni indicator ya poor education system nchini!!
Kuna mwalimu nilimtoa out mhudumu kuleta chenchi ya elfu nne nikamwambia ampe aliirukia kwa mshtuko mpaka nikaona aibu Mimi!!
Viongozi nao wanawalaghai sana na kuwachezea kwa viahadi vyakuwapanga kazi maalumu chache zitokeazo!!
Walimu wengi wakike wanateseka mmmno kwa kudhulumiwa kingono na viongozi uchwara kwenye halmashauri zao huu ni ukweli usiosemwa!!
Walimu ni kundi la watu wajinga haswa
 
Mwasisi wa hizi changamoto ni yule baba anayesifiwa sana na watu wa kanda flani. Kwa maoni yangu, jamaa aliharibu momentum ya vitu vingi. Niweke nukta hapa kwa sasa.
Kweli yule laaanatullah jiwe mungu wa wajinga ndio source ya upuuzi wote.
Cha ajabu ndio kwanza wanaendelea kumwabudu
 
Kweli yule laaanatullah j
20230324_092143.jpg
 
Hali ya walimu TZ ni aibu Kwa taifa na ni indicator ya poor education system nchini!!
Kuna mwalimu nilimtoa out mhudumu kuleta chenchi ya elfu nne nikamwambia ampe aliirukia kwa mshtuko mpaka nikaona aibu Mimi!!
Viongozi nao wanawalaghai sana na kuwachezea kwa viahadi vyakuwapanga kazi maalumu chache zitokeazo!!
Walimu wengi wakike wanateseka mmmno kwa kudhulumiwa kingono na viongozi uchwara kwenye halmashauri zao huu ni ukweli usiosemwa!!
Na ndiyo wanatuandalia watoto wetu,sijuwi tunaandaa taifa la namna gan
 
Kwani kuna kada iliyoajiriwa 2014 ina daraja zaidi ya moja?!
Sijajua but Kwa ajira ya 2014 walitakiwa mwaka 2025 waingie daraja la 3 Mpaka sasa wanalo Moja hakuna usawa kabisa.. wakati mwingine sio wakati mwingine ni kweli wapinzani bungeni ni wa muhimu katika kuleta maebdeleo, upinzani sio vita
 
CCM wanawaza uchaguzi na matumboYao ,hawataki watanzania wapewe elimu Bora
 
Nimeshangaa sana naibu waziri kuongelea walimu wa 2013 wakati hawa walipanda 2019 na pia mwaka 2023 wamepanda,wakati walimu wa 2014 na 2015 toka wameajiliwa hadi leo hii wana daraja moja tu wakati walitakiwa kuwa wanalotafuta daraja la tatu.
Ndugu yangu hao mawaziri matajiri watafikilia masikini kweli? Fikiria ajira ya 2014 na 15 wanadaraja Moja wakati 2025 walitakiwa kuwa na daraja la3 sasa hv wanatafuta la 2 usawa haupo kabisa
 
F
CCM wanawaza uchaguzi na matumboYao ,hawataki watanzania wapewe elimu Bora
Fikiria ndalichako kama waziri wa Elimu 2015 alipandisha gafla vigezo vya kuingia chuo kikuu Kwa Nchi masikini tuliozidiwa na Kenya Kwa Elimu Kwa mbali tu, je watu wa 2014 kushuka wanapataje vigezo vya TCU alihali vimebadilika, nilitegemea waje na aina Mbili ya udahiri 1. Waliomaliza 2014 kushuka waende na D+E or E+E . 2 WALIOMALIZA 2015 MPAKA SASA WAENDE NA HIZO D+D
 
Alieleta hii mada ni kada mzuri, anasema waalimu 52,000 kuneemeka na mserereko, halafu ndani ndani ndio anataja ni 500 tu, anajua watanzania wanasoma heading tu wanashangilia
 
Serikali iangize maafisa utumishi wa halmashauri zote nchi nzima wabandike orodha ya watumishi waliokidhi vigezo vya kupanda hayo madaraja kwa mwaka wa huu wa fedha 2023/2024 ili hao wa 2014 na 2015 wanaolalamika waone kama chali au wategemee
 
Serikali iangize maafisa utumishi wa halmashauri zote nchi nzima wabandike orodha ya watumishi waliokidhi vigezo vya kupanda hayo madaraja kwa mwaka wa huu wa fedha 2023/2024 ili hao wa 2014 na 2015 wanaolalamika waone kama chali au wategemee
Hawalalamiki yaani watanzania mtu akiongea haki eti analalamika. Sasa unataka afanye Nini aonekane halalamiki?
 
Back
Top Bottom