Serikali: Walimu wa Shule za Sekondari na Msingi walioajiriwa ni elfu nane pekee

Mkuu acha kurahisisha hesabu biashara haiko hivyo.
 
Mkuu edit basi hii kazi.Wataanza kukukosoa sasa hivi
 
Majina yote yapitiwe upya na TISS na Takukuru kabla hawajaripoti vituo husika. Tamisemi wamefanya madudu kwenye hizi ajira
TISS wajikague kwa Madudu waliyofanya? Hiyo elfu 13 ilitangazwa na Magufuli na Tiss, huku Tamisemi wakiwa hawana hela ya kuajiri idadi kubwa hivo ya waalimu kwa mwaka huu wa fedha..

Kumbuka ajira hizo zilitangazwa kipindi Magufuli yuko hoi bin taaban kwenye Kampeni anaahidi tu kila kinachomjia kichwani
 
Watu wana pihechDii lakini hawajaachaga mazingaombwe!
 
Halafu hiyo elfu 40 kwa siku unakula na kulala kwa baba yako!
 
Halafu hiyo elfu 40 kwa siku unakula na kulala kwa baba yako!
Hapo ndo shida na ndo huwa tunakatisha watu Tamaa , mkuu kuanza maisha ,sio Jambo jepesi, yote yanawezekana, ukiwa nyumbani,KWA ndugu hata KWA rafiki mbona wote tuliowengi, tumepitia njia hizo, unasoma mfano hata ukipata likizo nauli ya kwenda nyumbani inakosa inabidi kuungana na rafiki yako kwenda kwao Kama ni karibu, wakati mwingine siku mnaludi shule nyote mnafungashiwa matumizi ila leo tupo hapa,
 
Halafu hiyo elfu 40 kwa siku unakula na kulala kwa baba yako!
Hapo ndo shida na ndo huwa tunakatisha watu Tamaa , mkuu kuanza maisha ,sio Jambo jepesi, yote yanawezekana, ukiwa nyumbani,KWA ndugu hata KWA rafiki mbona wote tuliowengi, tumepitia njia hizo, inasoma mfano hata ukipata likizo nauli ya kwenda nyumbani inakosa inabidi kulingana na rafiki yako kwenda kwao Kama ni karibu, wakati mwingine siku mnaludi shule nyote mnafungashiwa matumizi ila leo tupo hapa,
 
TUTAFANYAJE WAO NDO WENYE MALI WENGINE TUSHAJIKATIA TAMAA TUNAPAMBANA NA MAISHA YA KAWAIDA USIJE UKAFA KISA KUONGEA. HATA WATUDANGANYE MUNGU ANAWAONA IPO SIKU MUNGU ATAMCHUKUA KILA MMOJA ATENDA KUJIBIA MACHOZI YA MAELFU YA WATANZANIA WANAOKOSA AJIRA WAKATI SHULE ZINAJENGWA AJIRA ZINAPUNGUA
 
Tatizo amekuwa too optimistic kwa hesabu alizopiga bila kujali matumizi mengine muhimu ya kibinadamu. Hivyo kwa uzoefu wetu wa maisha inabidi tum- caution ili asije akakata tamaa mambo yakienda tofauti na matarajio.
 

Mikopo haitolewi kwa watu wasio na biashara ukipewa pesa biashara ikafa utafanyaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…