Mkuu acha kurahisisha hesabu biashara haiko hivyo.Mimi niko tofauti Sana, na izo ajira, mfano iyo idadi kila mmoja angepewa m 5 na kila mmoja azirudishe ndani ya miaka mitano bila riba, ndani ya miaka mitano wangefanya mahajabu,ajira ni utumwa wa fukra, wawezeshe watu wapambane na fulsa mbali mbali.
Mtaji wa ml tano mtu hawezi kosa Cha kufanya kuweza ingiza elfu 40 kila siku hivyo
Chukua 40×30= 1.2m
1.2×12=14.4 per year
14.4m×5yrs =almost 72 m
Wakati mshahara wa ualim
Ametengeneza pesa nyingi kwa miaka mitano sidhani Kama hata 30m inafika,
Mkuu edit basi hii kazi.Wataanza kukukosoa sasa hiviMimi niko tofauti Sana, na izo ajira, mfano iyo idadi kila mmoja angepewa m 5 na kila mmoja azirudishe ndani ya miaka mitano bila riba, ndani ya miaka mitano wangefanya mahajabu,ajira ni utumwa wa fukra, wawezeshe watu wapambane na fulsa mbali mbali.
Mtaji wa ml tano mtu hawezi kosa Cha kufanya kuweza ingiza elfu 40 kila siku hivyo
Chukua 40×30= 1.2m
1.2×12=14.4 per year
14.4m×5yrs =almost 72 m
Wakati mshahara wa ualim
Ametengeneza pesa nyingi kwa miaka mitano sidhani Kama hata 30m inafika,
Hapo ndo nitolee, Serikali ya Magufuli imejaa Uongo na Ulaghai mwingi mwingi, Uchafu mtupuKwa hiyo maana yake wataajiri na hao waliopungua au ndio basi
Mitano tenaaa, na akimaliza hii mitano inabidi alazimishwe aendereee manake akiondoka hatutapata mwingine kama hyu. (in chawa's voice).Hapo ndo nitolee, Serikali ya Magufuli imejaa Uongo na Ulaghai mwingi mwingi, Uchafu mtupu
TISS wajikague kwa Madudu waliyofanya? Hiyo elfu 13 ilitangazwa na Magufuli na Tiss, huku Tamisemi wakiwa hawana hela ya kuajiri idadi kubwa hivo ya waalimu kwa mwaka huu wa fedha..Majina yote yapitiwe upya na TISS na Takukuru kabla hawajaripoti vituo husika. Tamisemi wamefanya madudu kwenye hizi ajira
Vipi na yule mwalimu mmoja kaajiliwa Mara 192?Vipi kuhusu majina yaliyojirudia?
Wamesema wamelifanyia kazi etiVipi na yule mwalimu mmoja kaajiliwa Mara 192?
Mkuu mbona yanawezekana,Mkuu acha kurahisisha hesabu biashara haiko hivyo.
Halafu hiyo elfu 40 kwa siku unakula na kulala kwa baba yako!Mimi niko tofauti Sana, na izo ajira, mfano iyo idadi kila mmoja angepewa m 5 na kila mmoja azirudishe ndani ya miaka mitano bila riba, ndani ya miaka mitano wangefanya mahajabu,ajira ni utumwa wa fukra, wawezeshe watu wapambane na fulsa mbali mbali.
Mtaji wa ml tano mtu hawezi kosa Cha kufanya kuweza ingiza elfu 40 kila siku hivyo
Chukua 40×30= 1.2m
1.2×12=14.4 per year
14.4m×5yrs =almost 72 m
Wakati mshahara wa ualim
Ametengeneza pesa nyingi kwa miaka mitano sidhani Kama hata 30m inafika,
Hapo ndo shida na ndo huwa tunakatisha watu Tamaa , mkuu kuanza maisha ,sio Jambo jepesi, yote yanawezekana, ukiwa nyumbani,KWA ndugu hata KWA rafiki mbona wote tuliowengi, tumepitia njia hizo, unasoma mfano hata ukipata likizo nauli ya kwenda nyumbani inakosa inabidi kuungana na rafiki yako kwenda kwao Kama ni karibu, wakati mwingine siku mnaludi shule nyote mnafungashiwa matumizi ila leo tupo hapa,Halafu hiyo elfu 40 kwa siku unakula na kulala kwa baba yako!
Hapo ndo shida na ndo huwa tunakatisha watu Tamaa , mkuu kuanza maisha ,sio Jambo jepesi, yote yanawezekana, ukiwa nyumbani,KWA ndugu hata KWA rafiki mbona wote tuliowengi, tumepitia njia hizo, inasoma mfano hata ukipata likizo nauli ya kwenda nyumbani inakosa inabidi kulingana na rafiki yako kwenda kwao Kama ni karibu, wakati mwingine siku mnaludi shule nyote mnafungashiwa matumizi ila leo tupo hapa,Halafu hiyo elfu 40 kwa siku unakula na kulala kwa baba yako!
Mkuu hilo ni igizo kutoka juu🤣🤣🤣Aa wapi, hiyo ilikuwa Ni agizo toka juu.
Bwana Shonde A K A shondeboy kaulaMkuu hilo ni igizo kutoka juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
SERIKALI YA KUKURUPUKA NA KUJIMWAMBAFAIMbona siku inatangazwa ilisemwa ni 13,000?
Igizo moja,pisi kaliBwana Shonde A K A shondeboy kaula
Tatizo amekuwa too optimistic kwa hesabu alizopiga bila kujali matumizi mengine muhimu ya kibinadamu. Hivyo kwa uzoefu wetu wa maisha inabidi tum- caution ili asije akakata tamaa mambo yakienda tofauti na matarajio.Hapo ndo shida na ndo huwa tunakatisha watu Tamaa , mkuu kuanza maisha ,sio Jambo jepesi, yote yanawezekana, ukiwa nyumbani,KWA ndugu hata KWA rafiki mbona wote tuliowengi, tumepitia njia hizo, unasoma mfano hata ukipata likizo nauli ya kwenda nyumbani inakosa inabidi kuungana na rafiki yako kwenda kwao Kama ni karibu, wakati mwingine siku mnaludi shule nyote mnafungashiwa matumizi ila leo tupo hapa,
Mimi niko tofauti Sana, na izo ajira, mfano iyo idadi kila mmoja angepewa m 5 na kila mmoja azirudishe ndani ya miaka mitano bila riba, ndani ya miaka mitano wangefanya mahajabu,ajira ni utumwa wa fukra, wawezeshe watu wapambane na fulsa mbali mbali.
Mtaji wa ml tano mtu hawezi kosa Cha kufanya kuweza ingiza elfu 40 kila siku hivyo
Chukua 40×30= 1.2m
1.2×12=14.4 per year
14.4m×5yrs =almost 72 m
Wakati mshahara wa ualim
Ametengeneza pesa nyingi kwa miaka mitano sidhani Kama hata 30m inafika,