beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu ameagiza Mikoa kutosita kuwachukulia hatua Wazazi/Walezi ambao wanaficha Watoto walio na umri wa kuanza Shule
Akizungumza leo Januari 06, 2022 amesema hadi kufikia Desemba 31, 2021 Wanafunzi 488,780 wa Darasa la Awali wameandikishwa katika Shule za Serikali, na idadi hiyo hairidhishi
Mikoa iliyotajwa kuwa chini katika uandikishaji Wanafunzi wa Darasa la Kwanza ni Rukwa (18.62%), Katavi (18.83%), Shinyanga (26%), Mwanza (26.26%) na Mtwara (27.98%)
Akizungumza leo Januari 06, 2022 amesema hadi kufikia Desemba 31, 2021 Wanafunzi 488,780 wa Darasa la Awali wameandikishwa katika Shule za Serikali, na idadi hiyo hairidhishi
Mikoa iliyotajwa kuwa chini katika uandikishaji Wanafunzi wa Darasa la Kwanza ni Rukwa (18.62%), Katavi (18.83%), Shinyanga (26%), Mwanza (26.26%) na Mtwara (27.98%)