Serikali wasikilizeni Wananchi kuhusu tozo

Serikali wasikilizeni Wananchi kuhusu tozo

Ratcha

Senior Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
129
Reaction score
339
Wananchi wa kawaida/maskini ni walipa kodi wazuri, kupitia huduma/manunuzi ya bidhaa wanayofanya direct wanakua wamelipa kodi ila tatizo lipo kwa serikali ktk kuhakikisha kodi hizo zinaingia serikalini.

Mfano mdogo serikali inapoteza mabilioni ya kodi wanayolipa wananchi kupitia manunuzi kwa sababu wafana biashara hawapendi kutoa risiti, mpaka hapa tunaona wafanyabiashara ndo wanaihujumu na kuidhulumu serikali kodi inayolipwa na wananchi kupitia manunuzi.

Ombi langu kwa serikali kaeni na wafanya biashara muwaeleweshe kua wao ndo kikwazo cha kodi inayolipwa na wananchi kupitia manunuzi hivo mtaikata kwao direct kuondoa usumbufu wa risiti na upotevu wa mabilioni ya mapato.

Ni aibu kwa serikali kumuongezea mzigo wa tozo mwananchi anaelipa kodi daily kisa tu mmeshindwa kuzikusanya kwa uzembe wenu

Nb:kama mnaona tozo ni bora zaidi basi mziondoe kodi zote tunazolipa kupitia bidhaa ili tununue bei halisi maana mmeshindwa kuizkusanya na zinawanufaisha wafanyabiashara tu, mkifanya hivi hatutawalalamikia kuhusu tozo.
 
Hutaki tozo, hutaki deni la taifa liwe kubwa, wafanyabiashara wakubwa unataka waishi kama mashetani, wazungu ni mabeberu. Nani ataendeleza nchi yako ewe mzalendo mnyonge?
 
Nchi za Ulaya zinatoza tozo kubwa kwa wananchi wao, ndio maana tunapata misaada ya kifedha kutoka kwao, kupambana na magonjwa na mifuko ya maendeleo.

Tuacheni kuomba misaada nchi za Ulaya tuwapunguzie mzigo wa tozo wananchi wao. Au vipi jameni?
Wewe ni mjinga wa hearsay usieijua hata nchi moja ya ulaya, kule watu wanalipa kodi bila kuchekeana na wala hakuna tozo za kipuuzi kama hizi zinazoletwa na waliofeli kifikra
 
Hutaki tozo, hutaki deni la taifa liwe kubwa, wafanyabiashara wakubwa unataka waishi kama mashetani, wazungu ni mabeberu. Nani ataendeleza nchi yako ewe mzalendo mnyonge?
kukusanya kodi wala si kuwafanya wafanyabaishara raisi kama mashetani,Kodi tunazolipia kupitia huduma/manunuzi zingelikusanywa nchi ingepiga hatua kubwa sana ila kwa kua viongozi wetu wamefeli kifikra acha twende hivi hivi mpaka tutakapojitambua
 
Nchi za Ulaya zinatoza tozo kubwa kwa wananchi wao, ndio maana tunapata misaada ya kifedha kutoka kwao, kupambana na magonjwa na mifuko ya maendeleo.

Tuacheni kuomba misaada nchi za Ulaya tuwapunguzie mzigo wa tozo wananchi wao. Au vipi jameni?
Ni kweli kabisa punde zije na Kodi za mageti majumbani na fremu za kupangisha
 
Nchi za Ulaya zinatoza tozo kubwa kwa wananchi wao, ndio maana tunapata misaada ya kifedha kutoka kwao, kupambana na magonjwa na mifuko ya maendeleo.

Tuacheni kuomba misaada nchi za Ulaya tuwapunguzie mzigo wa tozo wananchi wao. Au vipi jameni?
Hizo nchi hawaibi hizo hela kusaidia chama kilicho madarakani
Nchi za Afrika unaweza kukuta 90% ya hizo hela zinaenda kisaidia chama tawala kubaki madarakani kwa namna moja au nyingine..
Tusubiri na tunaweza kuona unajengwa uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwa rais
Ccm wote wanafanana kwenye ufisadi na uchu wa madaraka
 
Tulipe Kodi wananchi
Mkuu kodi tunalipa kila siku kupitia manunuzi ila kwa kua serikali wameshindwa kuzikusanya ndo maana wanaamua kutuletea tozo, ni nadhani kwa kua wameshindwa kuzikusanya basi wazifute tubaki na tozo
 
Serikali hii,, imekula kwenu hakuna namna kama tunaweza tuhamie Burundi
 
Wananchi wa kawaida/maskini ni walipa kodi wazuri, kupitia huduma/manunuzi ya bidhaa wanayofanya direct wanakua wamelipa kodi ila tatizo lipo kwa serikali ktk kuhakikisha kodi hizo zinaingia serikalini.

Mfano mdogo serikali inapoteza mabilioni ya kodi wanayolipa wananchi kupitia manunuzi kwa sababu wafana biashara hawapendi kutoa risiti, mpaka hapa tunaona wafanyabiashara ndo wanaihujumu na kuidhulumu serikali kodi inayolipwa na wananchi kupitia manunuzi.

Ombi langu kwa serikali kaeni na wafanya biashara muwaeleweshe kua wao ndo kikwazo cha kodi inayolipwa na wananchi kupitia manunuzi hivo mtaikata kwao direct kuondoa usumbufu wa risiti na upotevu wa mabilioni ya mapato.

Ni aibu kwa serikali kumuongezea mzigo wa tozo mwananchi anaelipa kodi daily kisa tu mmeshindwa kuzikusanya kwa uzembe wenu

Nb:kama mnaona tozo ni bora zaidi basi mziondoe kodi zote tunazolipa kupitia bidhaa ili tununue bei halisi maana mmeshindwa kuizkusanya na zinawanufaisha wafanyabiashara tu, mkifanya hivi hatutawalalamikia kuhusu tozo.
Siku zote nimekuwa naunga mkono tozo na nitaendelea hivyo.

Nimewahi sema na narudia kusema kwamba tozo ni mbadala wa kutowajinika kwa raia kutimiza wajibu wao wanapofanya manunuzi,hakuna mfanyabiashara atamwambia mteja chukua risiti hayupo bali ni wajibu wa mteja kudai risiti sasa kama hufanyi lazima fidia itoke kwenye tozo.

Serikali shikilia hapo hapo hadi akili zikae sawa,nimeona hata benki wameongeza makato ya kutolea pesa kwa hiyo hakuna kukwepa.Hizi pesa sio za Rais au Mwigulu bali zitatumika kwa manufaa ya wananchi hao hao.

Serikali itakusanya vipi kodi kama wananchi hamdai risiti? Ikae na wafanyabiashara kujadili nini hasa? Wewe dai risiti akikataa katoe taarifa la sivyo tozo ziongezwe hadi hapo tutakapotambua wajibu,unaambiwa ukinunua dai risiti na ukiuza toa risiti.
 
Siku zote nimekuwa naunga mkono tozo na nitaendelea hivyo.

Nimewahi sema na narudia kusema kwamba tozo ni mbadala wa kutowajinika kwa raia kutimiza wajibu wao wanapofanya manunuzi,hakuna mfanyabiashara atamwambia mteja chukua risiti hayupo bali ni wajibu wa mteja kudai risiti sasa kama hufanyi lazima fidia itoke kwenye tozo.

Serikali shikilia hapo hapo hadi akili zikae sawa,nimeona hata benki wameongeza makato ya kutolea pesa kwa hiyo hakuna kukwepa.Hizi pesa sio za Rais au Mwigulu bali zitatumika kwa manufaa ya wananchi hao hao.

Serikali itakusanya vipi kodi kama wananchi hamdai risiti? Ikae na wafanyabiashara kujadili nini hasa? Wewe dai risiti akikataa katoe taarifa la sivyo tozo ziongezwe hadi hapo tutakapotambua wajibu,unaambiwa ukinunua dai risiti na ukiuza toa risiti.
Imagine umedi risiti mfanya biashara Kagoma na ililazimisha anakuamddikia ya mkono, huoni kama serikali inapaswa kuwajibika zaidi ili kodi hii wasipate? Hii sera wao ndo waliounda kurahisisha ulipaji kodi kupitia manunuzi huoni kama wanapaswa pia
 
Imagine umedi risiti mfanya biashara Kagoma na ililazimisha anakuamddikia ya mkono, huoni kama serikali inapaswa kuwajibika zaidi ili kodi hii wasipate? Hii sera wao ndo waliounda kurahisisha ulipaji kodi kupitia manunuzi huoni kama wanapaswa pia
Hakuna kitu kama hicho,kama vipi chukia peleka TRA
 
Wananchi???
Nani kakwambia Tz kuna wananchi????

Hili ni taifa la makondoo wamezoeya kupelekewa moto na serikali katili ya CCM hawana shida na hizo tozo.
 
Back
Top Bottom