Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Jibu ni dogo Sana hawataki mzunguko wao halisi wa biashara kujulikana ,ndii maana hata wenye mashine wanatumia kwa mujibu wa kiasi walichokadiliwa na TRAUshawishi kuuliza why wafanya biashara hawapendi kutoa risiti na kulazimisha unapewa ya mkono? Sababu ni moja tu serikali inawachekea