Serikali: Watanzania 66 wameukana Uraia

For as long as ccm imetamalaki mambo yataendelea kuwa hivyo na kuzidi🙄
 
Ndiyo sababu ni muhimu Kwa Tz kuruhusu uraia pacha
 
Upo sahihi Mkuu sasa mimi niende Ubalozini kufanya nini wakati nikipata matatizo ndugu na jamaa ndio watakahusika kwa kila kitu Ubalozini wataenda kuchukua barua tuu na wala hawaleti wao tofauti na Balozi za Nchi nyingine huyo Waziri yupo Bungeni hata siku moja ajawahi kuonana na Watanzania waishio Nje ya Nchi kujadili hata Vivutio vya Nchi wapo humo kukamilisha ratiba tuu...
 
Sasa, kama maisha anayotamani ameyapata huko? Nini kawa mganda, hata angekuwa ni Mrundi kabisaa! Kuliko kuwa mtanzania mwenye maisha magumu!
Ndugu yangu Juma; uzalendo wa kutesekea dunia haulipi, labda ingekuwa ni mambo ya Mungu ni sawa.
Niliwahi kufika Paris nikaona maisha ya Waafrika (wengi weusi) huko aisee sikuyatamani Yale maisha
 
Kwa utawala wa nduli mwendazake, nusu ya watanzania wangeukana uraia
 
Mbona sijawekwa kwenye list soon nimetoka kuukana uraia wa Tz nipo Zambia huku
 
Aise uganda oman na falme za kiarabu ' big no bora ni baki tz nilime mahindi. Ila hapo namibia na usa nimepapenda sna
 
Cha kushangaza nyie wazalendo mkiambiwa mrudi bongo hamrudi. Pumbavu
 
Shehe habari za vuga?
Ni mateso tu ya kijana wa Mkuranga tuliyewekewa na Magufuli. Anatuona sisi ni mafala na harakari zake Za kujitia misikitini huku akiiba Mali Za nchi Kama vile hatumwoni
 
Nina mpango wa kuchukua Uraia Wa Angola au bostwana.

Am serious about this na ntalitimiza
Hata mm pia ndgu nina mpango huo kitambo ongezea namibia hapo.hzo nch naipenda kuliko kwa weupe uropa full kubaguana kisa ngoz tu.ila kwb hao ndgu zetu hakuna hilo hata shamba na bibi napata
 
Mbona ni wachache sana? Why?
Kwa nchi zenye tawala za ki-dhalimu na za kidikteta kama hizi za kwetu hapa Afrika, uamuzi wa kuukana uraia wako ni mzuri, lakini uamuzi wa kuwa na uraia-pacha ni mzuri zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…