Serikali watu wenye akili Sana Kama Mshana Jr, Bams, Robert Heriel kwanini msiwatumie wakaipeleka nchi Mbele?

Mbona hao wote uliowataja wapo serikalini.Wanatumia to fake ids za JF kuonesha werevu wao ila katikautendaji wao wanaunga tela kulamba asali

Aaahhh,hivi huwa unawasoma lakini?
Wote hao ni Matajiri:Wafanyabiashara, Wavuvi, Wakulima, Wanazuoni,Wanataaluma ,Wanapisi kali yaani wana wana kibao. Mkuu nakushauri punguza matamanio yako, utakuja kuumia bure tu na Disappointment lukuki.

Hakika wako kazini,bila hapa JF mambo kalas. Yule ndhungu Albert Einstein angekuwa hai angepata kipara kwa kusoma nyuzi zao!

Aisee hivi huwa huyaoni/hamuoni matusi yao ya wazi?
 
Kwahiyo serikali iwe inafanya recruitment kwa mtu anaetoa post Jamiiforums?

Maana standard za recruitment ni vyeti kwanza tujue uwezo wa literacy thenafanyiwe usaili tujue kweli yaliyomo yamo,then apambanishwe wengine chungu nzima walioomba hiyo nafasi then tujue kama atapita

Huu ujinga wa kupigia watu chapua ni wa kifala sana

Kama tunaajiri sababu ya domo la mtu,hatufiki mbali maana kila mtu ana domo la kuongea
 
Hilo mwambie Mtoa Uzi aliyenitaja.
Madhara ya athari za kisaikolojia na kimaumbile unazidi kuyadhihirisha. Ni kawaida Kwa mtu wa Aina yako kuwa hivyo ulivyo. Pole Sana.
Hauna akili. Kuropoka maneno doesn’t make you smart. You’re a retard. Nincompoop
 
Interesting
 
Kweli maendeleo Tanzania tutayasikia tu kwa wengine. Kwa hiyo watu wenye akili za kuongoza Tanzania wanatoka JF? Kuna haja ya kutawalia tena na wazungu kwa mawazo haya.
 
Wewe hauna akili. Ni mpumbavu aka bozo. Stop forcing people to view you as smart. You are as dumb as they come.

Ni kweli. Ningekuwa na Akili nisingejibishana na MTU kama Wewe. Sasa mwambie na Mshangae Mtoa mada.

Athari Mbaya za kisaikolojia na kimaumbile ndio hupelekea kuwa na chuki na Wivu πŸ˜‚πŸ˜‚ mwambie aliyekuumba sio ulaumu Watu uluokutana nao Duniani 😊
 
Wakati Kina Kabudi, Mwakyembe, Kitila na Bashiru wakiwa UDSM watu wengi walikuwa wanaongea hivyohivyo kuwa Serikali ingewapa nafasi wangefanya makubwa sana.

Somo:

Usione mtu anavyoshuka nondo katika mijadala ukadhani ukimpa uongozi atafanya maajabu.
 
Acha kujichekesha chekesha kama malaya kaona pesa. Huna akili
 
shida ni mfumo tu, hata ukiwaleta wazungu serikalini hakutokuwa na maajabu

serikali haihitaji akili zako, inahitaji ufuate mfumo wao
 
Mkuu wote wako serikalini hao isipokua mmoja tu. Kanywe kahawa kijiweni kuna watu wana akili sema hawana platform na bundle za smartphone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…