Serikali wekeni dini mbali na mambo yenu ya Kiserikali ili nyote muwe huru

Serikali wekeni dini mbali na mambo yenu ya Kiserikali ili nyote muwe huru

Kabisa. Unaenda kuabudu matambala tambala ya vyama ya nini? Tusiruhusu kurutubisha Bomu la udini.
 
Kifupi wewe Chadema na mapadri na maaskofu wasiojielewa waambie nguo za chama hazitakiwi kanisani ziwe za CCM au Chadema nk
Hazitakiwa kwa sababu chadema wamevaa au ni hila binafsi za nafsi yako kuona wale watu ni magaidi?
 
Hazitakiwa kwa sababu chadema wamevaa au ni hila binafsi za nafsi yako kuona wale watu ni magaidi?
Nguo za chama kanisani hazitakiwi ziwe za Chadema au CCM au chama chochote

Mungu Hana chama chochote Cha siasa na si mshabiki wa chama chochote Cha siasa
 
Hoja yako haina mashiko. Tangu lini serikali ilianza kuwapangia watu nguo za kuvaa? Mbona mara nyingi tu unakuta akina mama na wabibi wamevaa kanga, vitenge na vilemba vya ccm kwenye ibada makanisani! Lakini hakuna aliye lalamikia?

Nongwa wakivaa chadema! Halafu Makanisa yalitoa malalamiko yoyote yale serikalini? Au ni kiherehere tu cha policcm kutaka kuonekana kwa mabosi wao wa ccm!
Akili za Saccos hovyo kabisa, kwani wale wanaovaa hivyo vilemba vya CCM huwa wanajikusanya na kutangaza kwamba Kuna gaidi wanaenda kumuombea? Au ulisikia wapi wakaenda na viongozi wa chama na kutoka sehemu mbalimbali wakaacha makanisa yao wakachanga na hela wakatoa kanisani na kutangaza kuwa hizo hela wanamhonga Mungu ili gaidi aachiliwe?
Baada ya kusali wanakaribishwa kula chakula na Askofu, uliona wapi CCM wakafanya hayo?
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Kuna 'siasa' na kuna usimamizi wa serikali.

Dini haziwezi kuwa zaidi ya serikali ndio maana uwepo wa taasisi yoyote inayofanya sughuli za kiimani lazima seriali iwe na taarifa zake na itoe kibali/ruhusa kwa shughuli hizo.

Labda utudadavulie kwa ufahamu wako siasa ni nini na usimamizi wa serikali uwe vipi?.
 
Hujaelewa huu uzi, rudia kusoma.
Kuna 'siasa' na kuna usimamizi wa serikali.

Dini haziwezi kuwa zaidi ya serikali ndio maana uwepo wa taasisi yoyote inayofanya sughuli za kiimani lazima seriali iwe na taarifa zake na itoe kibali/ruhusa kwa shughuli hizo.

Labda utudadavulie kwa ufahamu wako siasa ni nini na usimamizi wa serikali uwe vipi?.
 
Kabisa. Unaenda kuabudu matambala tambala ya vyama ya nini? Tusiruhusu kurutubisha Bomu la udini.
Hao wenye dini zao ndio waamue aina za mavazi, serikali hazipaswi kuingilia hayo mambo.
 
Back
Top Bottom