Serikali, Wizara, Halmashauri, Agencies za umma (TRA, BRELA, BOT, TRA, TIC) mkiendelea na kazi kwa mazoea mtaendelea kuwa wahujumu uchumi namba 1

Utopolo mmoja yupo pale Brela Anaitwa Nyaisa sijui hapa mama anategemea Nini!! Ondoa hizo takataka weka watu wanaoijua biashara na maana yake sio huyo boharia wa magereza unampeleka Brela kuweni serious kidogo basi
 
Utopolo mmoja yupo pale Brela Anaitwa Nyaisa sijui hapa mama anategemea Nini!! Ondoa hizo takataka weka watu wanaoijua biashara na maana yake sio huyo boharia wa magereza unampeleka Brela kuweni serious kidogo basi

Nyaisa🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Good analysis

Beautiful with brain

Ushauri wako ni wakufanyiwa kazi

Naomba wapitie hapo juu kwa makini!
 

Hapo kwenye "mapenzi mema" ndipo ulipokosea. Sehemu zote ziko sawa. Mimi nashauri hizo idara, ziende sekata binafsi, ili pengine viongozi wetu ni wageni kwenye uchapakazi ulioko huko.
 
Hapo kwenye "mapenzi mema" ndipo ulipokosea. Sehemu zote ziko sawa. Mimi nashauri hizo idara, ziende sekata binafsi, ili pengine viongozi wetu ni wageni kwenye uchapakazi ulioko huko.

Criterion🤣🤣🤣🤣
 
Utopolo mmoja yupo pale Brela Anaitwa Nyaisa sijui hapa mama anategemea Nini!! Ondoa hizo takataka weka watu wanaoijua biashara na maana yake sio huyo boharia wa magereza unampeleka Brela kuweni serious kidogo basi


Kwakweli afadhali tuendelee kuwataja hadharani kama hivi

Vipi kule TANESCO NA MAJI siku hizi wameacha ukiritimba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…