Serikali ya Awamu ya 6 kuanza kuwapa wafungwa mitaji. Hii ndio "legacy" itakayoishi daima

Serikali ya Awamu ya 6 kuanza kuwapa wafungwa mitaji. Hii ndio "legacy" itakayoishi daima

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Kuelekea kuadhimisha mwaka mmoja wa Rais Samia S. Hassan, nimekutana na hii habari iliyonikosha sana.

Kwamba Serikali ya mama itaanza kutoa motisha na mitaji ya fedha na vifaa kwa wafungwa wanaomaliza vifungo vyao.

Kwa kuanzia wataanza na gereza kuu la mkoa wa Mbeya.Hii ni habari njema kwa wafungwa ambao wanakuwa waneshiriki katika uzalishaji mali wakiwa magerezani lakini wanaachwa solemba wakimaliza vifungo.

Hili ni jambo jema na moja ya legacy yenye nguvu ya kukumbukwa kwa madam President atakapomaliza mda wake.

Kongole kwa wahusika wote.

Screenshot_20220312-093524.png
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Kuelekea kuadhimisha mwaka mmoja wa Rais Samia S. Hassan, nimekutana na hii habari iliyonisiktisha sana.

Kwamba Serikali ya mama itaanza kutoa motisha na mitaji ya fedha na vifaa kwa wafungwa wanaomaliza vifungo vyao.

Kwa kuanzia wataanza na gereza kuu la mkoa wa Mbeya.Hii ni habari njema kwa wafungwa ambao wanakuwa waneshiriki katika uzalishaji mali wakiwa magerezani lakini wanaachwa solemba wakimaliza vifungo.

Hili ni jambo jema na moja ya legacy yenye nguvu ya kukumbukwa kwa madam President atakapomaliza mda wake.

Kongole kwa wahusika wote.

View attachment 2147669
Kwani Awamu ya 6 IMEINGIA KWA UCHAGUZI GANI? Msitupotoshe hii ni ya AWAMU YA 5 KIPINDI CHA PILI CHA KUHITIMISHA MIAKA 10 YA AWAMU YA 5
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Kuelekea kuadhimisha mwaka mmja wa mh.Rais Madam Samia S.Hassan,nimekutana na hii habari iliyonikisha Sana.

Kwamba Serikali ya mama itaanza kutoa motisha na mitaji ya fedha na vifaa kwa wafungwa wanaomaliza vifungo vyao.

Kwa kuanzia wataanza na gereza kuu la mkoa wa Mbeya.Hii ni habari njema kwa wafungwa ambao wanakuwa waneshiriki katika uzalishaji mali wakiwa magerezani lakini wanaachwa solemba wakimaliza vifungo.

Hili ni jambo jema na moja ya legacy yenye nguvu ya kukumbukwa kwa madam President atakapomaliza mda wake.

Kongole kwa wahusika wote.

View attachment 2147669
Fao la jujitsu na wanaodai fedha zao walipwe kwani hili la wafungwa ni la mzunguko wa kisiasa ambao hauna faida kwa Chama.
Kama tumeshindwa kuwasaidia Wamachinga hawa Wafungwa wakishapewa fedha biashara watafanyia wapi au ni hisani tuje na hoja za kufikirika sio zisizo na faida
Aruhusu Fao la kujitoa na wanaodai ili mzunguko wa fedha uongezeke kwani watakaolipwa watafanyia bishara hizo fecha
 
Fao la jujitsu na wanaodai fedha zao walipwe kwani hili la wafungwa ni la mzunguko wa kisiasa ambao hauna faida kwa Chama.
Kama tumeshindwa kuwasaidia Wamachinga hawa Wafungwa wakishapewa fedha biashara watafanyia wapi au ni hisani tuje na hoja za kufikirika sio zisizo na faida
Aruhusu Fao la kujitoa na wanaodai ili mzunguko wa fedha uongezeke kwani watakaolipwa watafanyia bishara hizo fecha
Wewe mjinga ndugu,wamachinga unaowazhngumzia wewe ni Hawa ambao Rais anawajengea masoko Dar na Dom au?👇

Screenshot_20220311-134201.png
 
Kweli mambo ni Vice Versa....,

Badala ya kuwawezesha kabla hawajaingia kifungoni na kuweka mambo sawa huku kwa kuhakikisha watu wanapata skills za kuwapatia kipato huku wanaleta vitu vya ajabu ajabu......

Haya mambo yanahitaji to go back to basics..., kufumua elimu na kuisuka upya ili kupata watu wenye ujuzi unaofaa

Issue sio kukosa mtaji pekee, hio elimu wanayopewa wafungwa ipelekwe mashuleni...

 
Wewe mjinga ndugu,wamachinga unaowazhngumzia wewe ni Hawa ambao Rais anawajengea masoko Dar na Dom au?[emoji116]

View attachment 2147689
Kwa Jina la Bwana Yesu Kristu Mimi sio Mjinga.
Bwana Yesu akulipe sawasawa na majibu yako.
Ukiweza kunitajia idadi ya Wamachinga hapa Tanzania ndo uje na majibu yako ya uani.
 
Back
Top Bottom