Kifo ndiyo kiboko ya mwanadamuKwahiyo yeye Fatuma karume ataishi milele kwa vile hajatenda hayo aliyotenda Nkurunzinza?
Ndo keshaanza, jana kalamba mweleka na kesho itakuwa vipiHuyu Nkurunziza afe tu kwa kweli.. Bado huyu mwenzake naye afe tu watuachie Dunia yetu. Maana hawana faida yoyote ya kuwepo kwao.
Ni kupitia mtandao wa twitter ambako ameandika maneno haya:
Tumkumbuke Nkurunzinza
1. 2015 alibadilisha Katiba ili awe Rais kwa Awamu ya 3;
2. 2020 kabadilisha SHERIA apewe TZS 1.2 bil akistaafu na KASRI;
3. 2020 kabadilisha SHERIA aitwe Supreme Leader akistaafu
4 .2020 alifukuza WHO akiwaambia hakuna Corona.
5. Leo KAFA kama binadam wengine
Nayeye Fatuma Karume atakufa kama binadamu wengine.
Kwahiyo yeye Fatuma karume ataishi milele kwa vile hajatenda hayo aliyotenda Nkurunzinza?
inasemekana hivyo maana walikuwa wanamfurahisha marehemu kwa kudharau tahadhali kama hapa wanavyofanyaMawaziri nao wako hoi kweli?
Mnamtibu na nyie mna CORONA za kutisha? Sema mnagawana Koronaa. Sioni mantiki ya kuzuia madereva wakati Rona limesambaa Kenya nzimaMkewe yuko huku Kenya tunamtibu corona, poleni RIP in peace ila nakumbuka alikua mkaidi kwenye suala la corona, isiwe ndio imemlamba.
Lile janja,linajifanya halijali wakati ndani linatafuna aspirin kama pipiBado wanaoikejeli wote, hasa lile la brazil, litaondoka tu!
Acha uzushi nipo Bujumbura na sioni hayo mambo
Hakika.kila mtu ataonja umauti
Kama mke ana corona kwann yeyeMkewe yuko huku Kenya tunamtibu corona, poleni RIP in peace ila nakumbuka alikua mkaidi kwenye suala la corona, isiwe ndio imemlamba.
Nitakufa pia.Wakuachie dunia ww na nani kwani ww hutokufa!!?alaa
Kuyaelewa hayo maneno ni lzm uwe umeelimika , civilized na matured Ila Kama akili yako umemkabidhi mganga ni rahisi kukuadaa anakupa Kinga ya kutokufa.Ameelezea vzur sana na ndo ukweli wenyewe na hakuna mahali aliposema yeye hatokufa nadhani anawakumbusha kuwa kabla yake walikuwepo watu mashughuli kama Yesu wa nazareth, mtume mohamed, mfale suleiman , karl max, michael jackson, bob marley nk ila wamekufa hivyo sisi tulio ktk nyadhifa zinazobeba maslai ya watu wengi ni lazma tulijue hilo.
Hehehehe... acha wamalize wa alphabet BMkuu kwa nini unaanzia mbali?
Tofautisha kiongozi mwenye msimamo na dikteta. Huwezi kuongoza nchi afu kila mtu awe mropokaji utakuwa haupo siriazi na uongozi.Ni 10% check list ya madikteta google utapata jibu