Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Tena maskini Jana tu nilisikiliza sijui idhaa gani walisema kuwa kwa ilivyofanyiwa marekebisho katiba yao,rais huyo hata kama amestaaf bado atabaki kuwa kiongozi, maskini dah kuna sheria pia ilipitishwa kuwa akistaf anachukua mpunga Wa nguvu, yoote imebaki historia, huzuni sana.
 
Zipo taarifa katika mitandao ya kijamii zikisema rais huyo wa zamani hatuna naye duniani tena.Je? Sisi tuliobaki tunajifunza nini? Je? Kuna mema mengi aliyoyaacha kama ilivyo kwa hayati marehemu Nelson Mandela hadi walifikia kuzunguka Nyumba yake wakimuomba Mungu asimchukue?.Au watu wake wa Burundi wanasema bora ameenda?.
Tujifunze kila kifo kinapotokea elimu haina mwisho.
 
Zipo taarifa katika mitandao ya kijamii zikisema rais huyo wa zamani hatuna naye duniani tena.Je? Sisi tuliobaki tunajifunza nini? Je? Kuna mema mengi aliyoyaacha kama ilivyo kwa hayati marehemu Nelson Mandela hadi walifikia kuzunguka Nyumba yake wakimuomba Mungu asimchukue?.Au watu wake wa Burundi wanasema bora ameenda?.
Tujifunze kila kifo kinapotokea elimu haina mwisho.

Corona imetupunguzia mhuni mwingine duniani. Imepiga hodi ikulu. Mkewe, mama yake na Dada yake wapo kwenye mahospitali mbalimbali Nairobi na Burundi wakitibiwa corona. Bado "bwana yule" anaidhihaki corona!!!
 
Zipo taarifa katika mitandao ya kijamii zikisema rais huyo wa zamani hatuna naye duniani tena.Je? Sisi tuliobaki tunajifunza nini? Je? Kuna mema mengi aliyoyaacha kama ilivyo kwa hayati marehemu Nelson Mandela hadi walifikia kuzunguka Nyumba yake wakimuomba Mungu asimchukue?.Au watu wake wa Burundi wanasema bora ameenda?.
Tujifunze kila kifo kinapotokea elimu haina mwisho.
Hata wenye madaraka watakufa kwa kuzimia kama kibatali.
 
La kujifunza ni kwamba huwezi kuidharau Corona halafu ikakuacha salama. Yule mkaidi wa TZ ambae juhudi zake kubwa kwenye Corona ni kupinga barakoa majukwani ajipange!This shit is coming to him sooner rather than later!
Kila siku kufikiria Magu ndo atakufa kwa Corona, Mbowe je?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Definitely ni corona, acha imuondoe maana aliikejeli sana . Mikutano ya kampeni iliendelea kama kawaida as if hakuna tatizo na corona virus! Wengine wajifunze, wakorofi kama yeye1
Sasa cha kujifunza ni kipi wakati hata Waziri mkuu wa uingereza corona ilimpiga vilevile nusu afe, nae angekufa tungejifunza nini?
 
DUNIA NI MAPITO;

UJUMBE UMFIKIE MBOWE MWENYEKITI WA MILELE NA MAGUFULI ANAYEIENDESHA NCHI KAMA FAMILIA YAKE!
 
Kila siku kufikiria Magu ndo atakufa kwa Corona, Mbowe je?

Sent using Jamii Forums mobile app
CCM hamna akili kabisa! Mbowe ana mamlaka ya kutengeneza na kutekeleza mipango pamoja na sera za kupambana na Corona Tanzania?!Namzungumzia MEKO kwa sababu amepewa dhamana ya kupambana na Corona ila anafanya uzembe. Kwa nini vijana wa CCM ni kama vichwa vya wendawazimu?Mna matatizo gani?
 
Sasa cha kujifunza ni kipi wakati hata Waziri mkuu wa uingereza corona ilimpiga vilevile nusu afe, nae angekufa tungejifunza nini?
Muulize Nkurunzinza atakwambia amejifunza nini kwa kudharau virus pandemic!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom