Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Muulize Nkurunzinza atakwambia amejifunza nini kwa kudharau virus pandemic!
Hiyo ni sayansi au imani kwamba ukidharau ndio vinakuuwa? Nakwambia waziri mkuu wa uingereza hakudharau ila imempiga nusu ya kufa ila Trump kadharau na anadunda hadi sasa.
 
Mimi binafsi na Familia yangu tunasema Pole kwa familia ya Nkurunziza na wana Burundi.
 
Mke wake anajipambania uhia Kenye na wanalala kitanda kimoja. Ni corona per se! Mawazili kumi nao wako hoi! Walikuwa hawachukui tahadhali kwa kumsikiliza ujinga wake (of course ni unafiki wa matumbo yao)
Kiongozi mwingine kule PORTLAND alimshukuru baba mchungaji kwa kutokuvaa barakoa na akawapa big up waumini kwa kutokuvaa pia,siku nyingine akasema barakoa inafanana na titi lililokatwa.
 
Kujifunza kuhusu kufaaa au kuhusu namna mtu aweze kutumikia Taifa lake?

Kama ni kujifunza kuhusu kifo,. Ni kujadiri kitu kilichojuu ya uwezo wetu!

Punguzeni ujinga, kwani hata atakayetoa somo hili naye hawezi kuepuka kifo, hawezi kuzisogeza Mbele siku zilizoamuliwa Kwa kufa kwake,
Mtu anamsema mwenzie kwamba bora alivyokufa na aende motoni kwa sababu alikuwa dikteta ila yeye mabaya anayoyafanya mafichoni watu hatuyajui na hivyo hatujui kwa hayo wanayoyafanya wanafaa kuwepo duniani au nao bora wafe wakachomwe moto.
 
Hiyo ni sayansi au imani kwamba ukidharau ndio vinakuuwa? Nakwambia waziri mkuu wa uingereza hakudharau ila imempiga nusu ya kufa ila Trump kadharau na anadunda hadi sasa.
It is science, alidharau and unfortunately other epidemiological factors zikawa against him na amekwenda na maji!

Trump hakudharau, he was exercising strict social distancing though he did not wear a mask! and may be immunity and other epidemiological/biological factors favoured him. Boris with his age some biological factors inherent in him saved his day!
 
... huyo mteule mwenyewe yuko salama? Maana kipindi chote cha kampeni na logistics nyingine za uchaguzi alikuwa pamoja na marehemu. To what extent he is safe only God knows.
Only God knows maana mtoto wa Mbowe alipata ila Baba mtu hakupata.
 
Kiongozi mwingine kule PORTLAND alimshukuru baba mchungaji kwa kutokuvaa barakoa na akawapa big up waumini kwa kutokuvaa pia,siku nyingine akasema barakoa inafanana na titi lililokatwa.
Aendelee na mzaha, itamuondoa maana the virus is still circulating
 
Inaonekana hiyo familia yote ya Nkuruzinza imeambukizana 'heart attack'.

Everyday is Saturday........................... 😎
Ndio na mm niko najiuliza hapa ni nn hiki 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 this is African wanaona ni shame kusema kuwa Mr P amekufa kwa COVID.
 
Unashangilia kwa mtu kukutwa na kitu ambacho na wewe lazima kikukute na hujui lini, sasa hivyo si vituko?
Kuna watu wakifa unashukuru Mungu maana maisha ya wengine yanapona..

Sote tutakufa, hata mimi ikitokea nikaanza tabia ya kuua Binadamu wengine na kujiona Mungu MTU, ni vizuri nikafa tu haraka ili roho za wengine zipone..
 
Kuna tetesi kwanza aliyekuwa Rais wa Burundi inasemekana amefariki kwa covid 19, Na mkewe pia yupoNairobi akitibiwa ugonjwa wa covid 19 .Ikumbukwe kwamba Nkurunziza aliwafukuza wasimamizi wa kimataifa walipohoji kwa Nini wanafanyq Uchaguzi kipindi cha mlipuko wa ugonjwa wa covid 19
 
It is science, alidharau and unfortunately other epidemiological factors zikawa against him na amekwenda na maji!

Trump hakudharau, he was exercising strict social distancing though he did not wear a mask! and may be immunity and other epidemiological/biological factors favoured him. Boris with his age some biological factors inherent in him saved his day!
Wakati ugonjwa upo China Trump alidharau na baada ya muda ukaingia nchini kwake na watu wake wamepukutika vya kutosha kwa virusi alivyovifanyia mzaha rais wao, sasa hivi yeye anajimezea midonge tu pasina ushauri wa daktari. Corona ikimuacha huyo mtu haitokuwa haki,hasa ukizingatia raia wake wako barabarani wamekusanyana tena bila barakoa wala tahadhari zozote za kujikinga na corona hivyo ni suala la muda tu kuona maiti barabarani.

Waliyopona corona ni wengi tu hata huku afrika tunapona ila Boris kachungulia kaburi mie nilijua hachomoki, ashukuru Mungu tu.
 
Hiyo ni sayansi au imani kwamba ukidharau ndio vinakuuwa? Nakwambia waziri mkuu wa uingereza hakudharau ila imempiga nusu ya kufa ila Trump kadharau na anadunda hadi sasa.
Anazunguka tu..anachokitaka ni MAGUFULI afe kwa covid 19 ili unabii utimie!
 
Kuna watu wakifa unashukuru Mungu maana maisha ya wengine yanapona..

Sote tutakufa, hata mimi ikitokea nikaanza tabia ya kuua Binadamu wengine na kujiona Mungu MTU, ni vizuri nikafa tu haraka ili roho za wengine zipone..
Mkuu watu humu hatukujui sasa tutajuaje kama nawe unauwa watu au kutesa watu au pengine unamkosea Mungu kwa makosa yenye adhabu za kifo? Ndio maana tunasema tusihukumu.
 
Kuna tetesi kwanza aliyekuwa Rais wa Burundi inasemekana amefariki kwa covid 19, Na mkewe pia yupoNairobi akitibiwa ugonjwa wa covid 19 .Ikumbukwe kwamba Nkurunziza aliwafukuza wasimamizi wa kimataifa walipohoji kwa Nini wanafanyq Uchaguzi kipindi cha mlipuko wa ugonjwa wa covid 19
Covid-19 ni noma! Inakulia timing ikikupata inakuniga koo mpaka kinyesi ikutoke.

Waliofanya party wakeshe wakiomba.
 
Anazunguka tu..anachokitaka ni MAGUFULI afe kwa covid 19 ili unabii utimie!
Sasa fikiria sie tunamkosea kiasi gani Mungu ila bado ndio kwanza anaendelea kutupa pumzi, sasa tizama sie wenyewe tunavyotakiana mabaya!

Hata akifa kwa corona hakuna cha ajabu itakuwa ndio kifo alichopangiwa, waziri mkuu uingereza corona nusu imuondoe sema tu siku zake bado.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom