Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Tofautisha kiongozi mwenye msimamo na dikteta. Huwezi kuongoza nchi afu kila mtu awe mropokaji utakuwa haupo siriazi na uongozi.
Mbona wenzetu wako mbali na waropakaji awawanyimi usingizi au sababu ni matured na wako bize na issues.
Kiongozi inatakiwa uwe na ngozi Nene Kama huna uongozi haukufai ukakune nazi.Kuwazuia watu kusema ni sawa na kumzuia samaki kupanua mdomo
 
Kifo ooh kifo, kifo hakina huruma.
 
Soon tunamsahau Kama tulivowasahau madikteta wa Africa waliotangulia kuzimu
 
NAWAZAA MKE WAKE AISEE DAH MSHENZI MMOJA ANAENDA KUTEKENYA MASHINE KILAINI NA KUTUNUKIWA MAISHA BORA MOLA NIJALIE MWISHO MEMA KAMA HUYO AJAYE KWA MAMAETU
WALE WALIO KTK MUNGU HII INAITWA DOUBLE FAVOUR
RCV IT
 
Ni kupitia mtandao wa twitter ambako ameandika maneno haya:

Tumkumbuke Nkurunziza

1. 2015 alibadilisha Katiba ili awe Rais kwa Awamu ya 3;

2. 2020 kabadilisha SHERIA apewe TZS 1.2 bil akistaafu na KASRI;

3. 2020 kabadilisha SHERIA aitwe Supreme Leader akistaafu

4. 2020 alifukuza WHO akiwaambia hakuna Corona.

5. Leo kafa kama binadamu wengine
kama uliyoyasema ni kweli, basi hajafa kwa Corona huenda hata wameona wamtangulize tu, CIA wana sindano ukichomwa sababu ya kifo inakuja kuonekana ni cardiac arrest, ndiyo pia inasemekana alichomwa rais wa kwanza wa congo KASAVUBU, hata mobutu alipanga kutawala mpaka 2000 , licha ya kwamba aliwambia wananchi angestaafu 1990 lakini kuna interview akasema atakuwepo mpaka 2000, inasemekana nae aliuwawa
 
official statement imesema ni cardiac arrest, kwa ninavofahamu huo sio mshituko wa moyo, au ni mimi ndio huwa sielewi
Sijui inaitwaje kwa kiswahili ila nimeona sehemu wamesema kafa kwa ugonjwa huo(article ya kiswahili).Nami nangoja nieleweshwe zaidi.
 
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aaga dunia.

===

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza (55) amefariki dunia. Taarifa ya serikali imeeleza kuwa alikuwa hospitali akisumbuliwa na tatizo la moyo.

Serikali ya Burundi imetangaza kifo cha Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza (55). Mshtuko wa moyo umetajwa kuwa chanzo cha kifo chake.

Imeelezwa alilazwa Hospitali Jumamosi na alikuwa anaendelea vizuri hadi Jumatatu ambapo hali yake ilibadilika ghafla na jitihada za madaktari kuokoa maisha yake hazikufanikiwa.

Rais Nkurunziza alizaliwa Desemba 18, 1964 na ameongoza nchi hiyo kuanzia mwaka 2005 (takribani miaka 15) hadi mauti ilipomfika.

Serikali imesema kutakuwa na kipindi cha maombolezo ya kitaifa kwa siku saba na bendera zitapepea nusu mlingoti.


Corona shikamoo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom