Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Nadhan last week mkewe alikua Nairobi kwa matibabu ya kushindwa kupumua uzuri.

semper fidelis
 
where u got those kind of information boss???nacofaham nikwamba amelazwa hospital mkoani (karuzi) sina uhakika na hizo habari zake za kufariki!!
 
R.I.P Pierre!
Ule ubabe wote, uliouonyesha kipindi kile watu wakatwangana kwa ajili ya kung'ang'ania madaraka,nadhani hiyo iwe fundisho kuwa maisha siyo kujimwambafai...
Burundi mwanzoni ilidai hakuna maambukizo ya corona n.k, now imemuondoa mwamba wao!
...kuna nchi moja bara la Amufka huko, soon wanataka watangaze hakuna corona!!
 
BREAKING: Burundi President Pierre Nkurunziza dies at 55
Burundi President Pierre Nkurunziza has died aged 55 years.

Reports indicate that he died at the Karusi Fiftieth Anniversary Hospital following a cardiac arrest on June 8, 2020.



“He watched a volleyball match on Saturday afternoon in Ngozi but became unwell later that night. He was rushed to hospital and by Sunday his health had improved. He was able to interact with people who were around him,” a statement from the Government Spokesman reads.

On Monday afternoon however, President Nkurunziza’s health deteriorated drastically.

Doctors are said to have tried to resuscitate him for several hours but to no avail.

Burundi President Pierre Nkurunziza dies at 55 - Citizentv.co.ke
 
Apumzike anapostahili, mkewe amepona? Maan anae covid ilimvamia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom