Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
R.I.P Pierre!
Ule ubabe wote, uliouonyesha kipindi kile watu wakatwangana kwa ajili ya kung'ang'ania madaraka,nadhani hiyo iwe fundisho kuwa maisha siyo kujimwambafai...
Burundi mwanzoni ilidai hakuna maambukizo ya corona n.k, now imemuondoa mwamba wao!
...kuna nchi moja bara la Amufka huko, soon wanataka watangaze hakuna corona!!

Moja Ya Madicteta Walio Dharau Corona

Siku zote Watu husema MUNGU HAMFICHI MNAFIKI.....!!!Kurunzinza kalazimisha Uchaguzi wa Magumashi Katikati ya Janga la Corona ili mtu wake ashinde....! Just Stay tuned....huenda Mnafiki mwingine toka nchi jirani yuko kwa foleni!
 
Kosa kubwa ni kuachia madaraka huku akiyatamani, hakuwa tayari kuona Rais mwingine akiapishwa.

RIP
 
Burundi's President Pierre Nkurunziza, aged 55, has died of a heart attack, the government says

A government statement says that he was admitted to hospital on Saturday after feeling unwell.

His condition then improved but on Monday he had a cardiac arrest and efforts to revive him were unsuccessful.

This breaking news story is being updated and more details will be published shortly. Please refresh the page for the fullest version.

You can receive Breaking News on a smartphone or tablet via the BBC News App. You can also follow @BBCBreaking on Twitter to get the latest alerts.
 
sio Corona hiyo,
maake jamaa alikuwa mstari wa mbele kuipuuza,
ona sasa hadi mke wake yupo hoi kenya, kw korona.
 
Marehemu Mugabe aliulizwa "Kwanini hauachii uraisi?" Akajibu "Halafu nifanye kazi gani?" Soon baada ya mapinduzi akafariki.

Na alikua na zaidi ya miaka 90.

Kwa wa miaka isiyozidi 60 tulitarajia nini?

Hawa watu hua hawajui kazi nyingine. It's either wawe maraisi watawale ama wafe.
 
Hahah mzee baba lile chimbo la kigamboni uliloenda kupigia yale mambo yetu lipotezee kwa muda,jifungie ndani tu muda huu hali si nzuri mzeiya.,hahah

Pierre tangu j3 iliyopita yuko hoi kitandani mkuu.[/QUOTE]Hahahaha, Mkuu namalizia chupa yangu ,narudi chimbo,hii habari sio nzuri kabisa kwa ustawi wa Burundi na GL

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom