Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Am sorry mkuu! Huenda yule jamaa siyo MtanzaniaThibitisha ya kuwa ni Mtanzania.
Nchi gani ?Karibu
COVID-19 sometimes inafurahisha sana.
REST IN PEACE.
WHAT GOES AROUND COMES ARROUND
Kama Corona imeanza na wakaidi basi tujiandae kisaikolojia na sisi Watanzania.Mkewe yuko huku Kenya tunamtibu corona, poleni RIP in peace ila nakumbuka alikua mkaidi kwenye suala la corona, isiwe ndio imemlamba.
Anaenda Club analewa hadi anavunjika miguu
Taarifa ya hivi punde ya DW saa 12:00 jioni.where u got those kind of information boss???nacofaham nikwamba amelazwa hospital mkoani (karuzi) sina uhakika na hizo habari zake za kufariki!!
Hahahah sasa hivi atakua anamaindi kichizi maana alikua amefanikiwa kutuaminisha kwamba Covid imeisha,sasa hiki kifo cha Pierre kitarudisha nyuma juhudi zake maana watu wataanza tena kusema kumbe Covid ipo.Bado yule Mtanzania fulani ambae huwa anadharau barakoa majukwaani!
Swala ni subra tu mkuu kuwa na amani wao wana bunduki, mashoka na geshpolysicm ila korona haepukikiMoja Ya Madicteta Walio Dharau Corona
Ili ni somo kwa Magufuli na wabishi wote waliosema corona ni ugonjwa mdogo na wanatembea bila kuvaa barakoa.
Na liwe somo kwa madicteta ametesa Watu Wengi Sana.