Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Burundi's President Pierre Nkurunziza has died of a heart attack, according to the government.

In a statement posted on Twitter on Tuesday, the government announced "with great sorrow to Burundians and the international community" the passing of Nkurunziza, 55.

The outgoing president died at Karusi hospital after suffering a heart attack on June 8, the statement added.

In power since 2005, Nkurunziza was due to be replaced in August by political ally Evariste Ndayishimiye, who was declared earlier this month the winner of a May 20 presidential election.
 

Attachments

  • download (1).jpeg
    download (1).jpeg
    9.3 KB · Views: 1
Hahahah sasa hivi atakua anamaindi kichizi maana alikua amefanikiwa kutuaminisha kwamba Covid imeisha,sasa hiki kifo cha Pierre kitarudisha nyuma juhudi zake maana watu wataanza tena kusema kumbe Covid ipo.
Hahahahha.. Wewe subiri tu oktoba ukipata kipigo
 
Rip Nkirunziza, nadhani watawala wababe wana cha kunifunza hapa
 
R.I.P Nkurunziza
Nkurunziza wengine watafata.
Mungu hadhihakiwi
 
Burundi's President Pierre Nkurunziza has died of a heart attack, according to the government.

In a statement posted on Twitter on Tuesday, the government announced "with great sorrow to Burundians and the international community" the passing of Nkurunziza, 55.

The outgoing president died at Karusi hospital after suffering a heart attack on June 8, the statement added.

In power since 2005, Nkurunziza was due to be replaced in August by political ally Evariste Ndayishimiye, who was declared earlier this month the winner of a May 20 presidential election.
Is this for real? If it is Mungu amlaze panapomstahili!
 
Dah, kwa hiyo ule mpensheni walitungia sheria kabisa hajaula kabisa? Rest Sijui wapi Mhe!
 
Cha kujifunza ni nini? Kwamba watawala wababe watakufa na wengine watabaki hai? Death is inevitable hata uwe mwema kama mtume..
Sasa yanini kufanya ubabe, sijamsema mungu wenu samahani mataga
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom