Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Corona ni kama ina macho na masikio, wakaidi huwa inawanyoosha kwelikweli.

Nakumbuka Trump alivyokuwa akiikejeli mwanzoni mwanzoni kilichofuata wote mnafahamu, Bolsonaro wa Brazil kejeli zilifanana na za Trump kinachoendelea huko kinaeleweka.

Huyu ndugu yetu yeye habari ni ileile ya ukaidi kama wa yulee mfalme juha.

Sijasema Mr. President kaondolewa na korona.
 
Sasa yanini kufanya ubabe, sijamsema mungu wenu samahani mataga
Nimemtaja Mungu yupi hapo, stop being naive, fanya yote ilà kufa tutakufa tu!! Wala huna haja ya kudhihaki whether alikuwa mwema au mbaya.
 
Daa kuumbe jamaa alikuwa mdogo sana? mke wake yuko kwenye 30 nadhani aweza kuzaa tena huyo km akiolewa! kwa nini vidume vinawahi kufa sana? angalia Samora mke wake anadunda! Mugabe je?
 
Sasa Hiki kipindi wawe makini sana na PK...
Anainyemelea sanaa hii nchi...

Hivi huyu jamaa mpya ni Mtutsi au?
Maana PK ndio hamu yake.
 
Corona ni kama ina macho na masikio, wakaidi huwa inawanyoosha kwelikweli.

Nakumbuka Trump alivyokuwa akiikejeli mwanzoni mwanzoni kilichofuata wote mnafahamu, Bolsonaro wa Brazil kejeli zilifanana na za Trump kinachoendelea huko kinaeleweka.

Huyu ndugu yetu yeye habari ni ileile ya ukaidi kama wa yulee mfalme juha.

Sijasema Mr. President kaondolewa na korona.
Mkorofi mwingine ni wewe
 
Daa kuumbe jamaa alikuwa mdogo sana? mke wake yuko kwenye 30 nadhani aweza kuzaa tena huyo km akiolewa! kwa nini vidume vinawahi kufa sana? angalia Samora mke wake anadunda! Mugabe je?
Hata bibi yetu Maria anadunda babu Kambarage katangulia
 
Duh madikteta nao wanakufa. Tuishi kwa kupendana ndugu zangu hakuna haja ya kuumiza watu wengine sababu ya vyeo au mali. Kweli kifo kiboko yao-Ongala Remmy.
 
Nimemtaja Mungu yupi hapo, stop being naive, fanya yote ilà kufa tutakufa tu!! Wala huna haja ya kudhihaki whether alikuwa mwema au mbaya.
Mbona unaumia dogo, kama kila MTU atakufa? Wenye dhambi mnaogopa sana kifo?
 
Duh,kweli kifo hakina huruna,Huyu mwamba alikuwa anakula matizi ya mpira kinyama lakini moyo haukuwa na afya boraha,ukashambuliwa,R.I.P Pierre
 
No one is immortal, we all have to die one time. Although he relinquished power after serving for infamous three terms, he will be remembered as one of the ruthless dictators.

Now that he is no more his death will go a long way to remind all the surviving dictators that one day they will part ways with the power they fondly use to oppress their helpless people.
 
Israel huyu!

Mungu ni wa wote wenye mwili
 
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aaga dunia.

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza (55) amefariki dunia. Taarifa ya serikali imeeleza kuwa alikuwa hospitali akisumbuliwa na tatizo la moyo.

Serikali ya Burundi imetangaza kifo cha Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza (55). Mshtuko wa moyo umetajwa kuwa chanzo cha kifo chake.

Rais Nkurunziza alizaliwa Desemba 18, 1964 na ameongoza nchi hiyo kuanzia mwaka 2005 hadi mauti ilipomfika.

Rest in peace the dictator of burundi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom