Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aaga dunia.

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza (55) amefariki dunia. Taarifa ya serikali imeeleza kuwa alikuwa hospitali akisumbuliwa na tatizo la moyo.

Serikali ya Burundi imetangaza kifo cha Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza (55). Mshtuko wa moyo umetajwa kuwa chanzo cha kifo chake.

Rais Nkurunziza alizaliwa Desemba 18, 1964 na ameongoza nchi hiyo kuanzia mwaka 2005 hadi mauti ilipomfika.

Moderator Tafadhali unganisha uzi huu na ile mada yangu dunia inatisha sana.
 
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 55, baada ya kupata mshtuko wa moyo- hii ni kwa mujibu wa serikali ya Burundi

Mshtuko wa moyo wapi? Corona hiyo!!!
 
rest in hell

bado dictator mmoja to go..

covid do hurry
 
Tumtumikie Mungu...Huyo kaumiza wapinzani wake akijilinda wasije muua, kafa kimasihara...hata pension hajala...wallah!

Apumzike alipojiandalia!

Everyday is Saturday.........................😎
 
Poleni sana Burundi,
kafa hata pension yake nono hajaanza kuitafuna
 
Mungu ametoa mungu ametwa, rais wa Burundi [emoji1060] Nkurunzinza ametutoka.

Walio karibu wamekanusha kuwa amefariki kwa ugonjwa wa corona na kusema kuwa amefariki kwa matatizo ya shinikizo la moyo.

Ikumbukwe kuwa mke wa marehemu yupo mjini Nairobi akitibiwa ugonjwa wa corona.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom