Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Wapumbavu washaanza kusema COVID19.stupid speculations
 
Hahahah sasa hivi atakua anamaindi kichizi maana alikua amefanikiwa kutuaminisha kwamba Covid imeisha,sasa hiki kifo cha Pierre kitarudisha nyuma juhudi zake maana watu wataanza tena kusema kumbe Covid ipo.
Museveni namuombea sana afya njema kwa kuonyesha strong leadership kwenye janga hili la Corona ila yule mkaidi wa TZ namuombea corona ipige hodi mlangoni kwake
 
Then he is Gone.[emoji47][emoji47][emoji47][emoji47]
 
Poleni wafiwa. "Maisha ni hadithi" - alisema Mzee Mwinyi. Je, utaacha hadithi gani siku unaondoka? Jamani tutende wema kwa watu wengine.

Mwisho wa siku wote tutazikwa na tutakuwa na maswali ya kujibu siku Yesu akirudi. Kujimwambafai hakufai (Bongo fleva, chukuwa hiyo rhyme).
 
Duh ama kweli covid19 ni mbabe wa wababe, r.i.p
 
Kweli maisha ni mafupi na na siku za kuishi ni chache nazo zimejaa tabu na misuko suko mingi sana,

R. I. P mwendazake Nkurunzinza.
 
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aaga dunia


Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza (55) amefariki dunia. Taarifa ya serikali imeeleza kuwa alikuwa hospitali akisumbuliwa na tatizo la moyo.

Serikali ya Burundi imetangaza kifo cha Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza (55). Mshtuko wa moyo umetajwa kuwa chanzo cha kifo chake.

Rais Nkurunziza alizaliwa Desemba 18, 1964 na ameongoza nchi hiyo kuanzia mwaka 2005 hadi mauti ilipomfika.

Huyu jamaa akafie huko Dikteta kubwa

Bado kuna mmoja anazurura zurura....lazima avute!
 
Moja Ya Madicteta Walio Dharau Corona

Ili ni somo kwa Magufuli na wabishi wote waliosema corona ni ugonjwa mdogo na wanatembea bila kuvaa barakoa.

Na liwe somo kwa madicteta ametesa Watu Wengi Sana.
.
images.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom