Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Tuletee habari zaidi bibie.
Screenshot_20200609-173747.png
 
Ndayishimye keshafanya yake! Huyu Nkurunziza alifaa kufa kabisa. Kabla ya kustaafu alipitisha sheria inayoagiza serikali kumjengea hekalu (Presidential Palace) na pia sheria inasema anatakiwa kupewa allowance ya $560,000 kwa mwaka. Rot in hell Nkurunziza!
 
Mungu awavushe salama. Maana!?!?

Remembering 1994.
 
Aliyewahi kuwa raisi wa nchi ya Burundi afariki dunia. Raisi huyo ametawala kwa zaidi ya miaka kumi Hadi mwaka huu. Pierre afariki kwa corona, taarifa kamili tunakuletea. Endelea kufuatilia.

In 2015, Nkurunziza was controversially nominated by his party for a third term in office. Supporters and opponents of Nkurunziza disagreed as to whether it was legal for him to run again, and protests followed. More than two months of anti-Nkurunziza protests, which were often violently repressed, left at least 100 dead. On 13 May 2015, a coup attempt against Nkurunziza occurred while he was out of the country; the coup leader, Godefroid Niyombare, claimed to have ousted Nkurunziza, but Nkurunziza loyalists disputed the claim. Facing resistance from Nkurunziza loyalists, the coup collapsed and forces loyal to Nkurunziza appeared to be back in full control by 15 May. Independent media was shut down and many opponents fled, joining an exodus of more than 400,000 Burundians.[1]

Amidst an opposition boycott, Nkurunziza was reelected to a third term in the July 2015 presidential election. On 7 June 2018, Nkurunziza announced that he would not seek another term when his current term ends in 2020.[2]

Fuata link hi Historia fupi ya Pierre Nkurunzinza
Pierre Nkurunziza | Biography & Facts
Bado malaika mkuu wa wanyonge!
 
Corona bhana wakati juzi tu alikua postive
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aaga dunia


Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza (55) amefariki dunia. Taarifa ya serikali imeeleza kuwa alikuwa hospitali akisumbuliwa na tatizo la moyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom