Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Tuletee habari zaidi bibie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuletee habari zaidi bibie.
Mwanzo aliweka tu hizo barua hapo. Na zipo kifaransa. Naona sasa hivi ndio kaongezea maelezo kidogo.Sasa mpk hapo unataka taarifa zipi mkuu[emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana cos mkewe anatibiwa Kenya covidKorona??
Nipo ktk group ya warundi,wacongo na warwanda nimeona hukoBBC pia wamechapa hii habari mkuu.
Bado malaika mkuu wa wanyonge!Aliyewahi kuwa raisi wa nchi ya Burundi afariki dunia. Raisi huyo ametawala kwa zaidi ya miaka kumi Hadi mwaka huu. Pierre afariki kwa corona, taarifa kamili tunakuletea. Endelea kufuatilia.
In 2015, Nkurunziza was controversially nominated by his party for a third term in office. Supporters and opponents of Nkurunziza disagreed as to whether it was legal for him to run again, and protests followed. More than two months of anti-Nkurunziza protests, which were often violently repressed, left at least 100 dead. On 13 May 2015, a coup attempt against Nkurunziza occurred while he was out of the country; the coup leader, Godefroid Niyombare, claimed to have ousted Nkurunziza, but Nkurunziza loyalists disputed the claim. Facing resistance from Nkurunziza loyalists, the coup collapsed and forces loyal to Nkurunziza appeared to be back in full control by 15 May. Independent media was shut down and many opponents fled, joining an exodus of more than 400,000 Burundians.[1]
Amidst an opposition boycott, Nkurunziza was reelected to a third term in the July 2015 presidential election. On 7 June 2018, Nkurunziza announced that he would not seek another term when his current term ends in 2020.[2]
Fuata link hi Historia fupi ya Pierre Nkurunzinza
Pierre Nkurunziza | Biography & Facts
Unaohusishwa na Corona!Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 55, baada ya kupata mshtuko wa moyo- hii ni kwa mujibu wa serikali ya Burundi
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aaga dunia
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza (55) amefariki dunia. Taarifa ya serikali imeeleza kuwa alikuwa hospitali akisumbuliwa na tatizo la moyo.
That's what came into my mind, if the wife was in Kenya for Covid 19 treatment, then why not him?Inawezekana cos mkewe anatibiwa Kenya covid
where u got those kind of information boss???nacofaham nikwamba amelazwa hospital mkoani (karuzi) sina uhakika na hizo habari zake za kufariki!!