Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
At least yeye hajaua mtu wala kupiga risasi wengine wasio na hatia kwa uonevuNayeye Fatuma Karume atakufa kama binadamu wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
At least yeye hajaua mtu wala kupiga risasi wengine wasio na hatia kwa uonevuNayeye Fatuma Karume atakufa kama binadamu wengine.
Mke wake anajipambania uhia Kenye na wanalala kitanda kimoja. Ni corona per se! Mawazili kumi nao wako hoi! Walikuwa hawachukui tahadhali kwa kumsikiliza ujinga wake (of course ni unafiki wa matumbo yao)Kama vile wewe ndo ulimhudumia kipindi anaumwa.Kwamba heart attack inayoua zaidi watu Africa na entire world imeacha kuua! Halafu ukute unakisia kisia tu,uhakika huna!
Okay,what are your professional point of view??LAYMAN POINT OF VIEW
Kwa corona!Ni kupitia mtandao wa twitter ambako ameandika maneno haya:
Tumkumbuke Nkurunzinza
1. 2015 alibadilisha Katiba ili awe Rais kwa Awamu ya 3;
2. 2020 kabadilisha SHERIA apewe TZS 1.2 bil akistaafu na KASRI;
3. 2020 kabadilisha SHERIA aitwe Supreme Leader akistaafu
4 .2020 alifukuza WHO akiwaambia hakuna Corona.
5. Leo KAFA kama binadam wengine
Hapo enyewe aliyoyafanya ni makuu wa Afrika huwa tuna utamaduni wa kuheshimu marehemu hata akiwa alifanya mabaya gani Mungu ndiye ataye muhukumu sio sisi tuliye hai.Ni kweli lakini hana makuu na wala hajifanyi yeye ni Mungu mtu.
Mawaziri nao wako hoi kweli?Mke wake anajipambania uhia Kenye na wanalala kitanda kimoja. Ni corona per se! Mawazili kumi nao wako hoi! Walikuwa hawachukui tahadhali kwa kumsikiliza ujinga wake (of course ni unafiki wa matumbo yao)
sijui lkn kama mke wake yupo anapambana na virus, ataponaje yye na wanabusiana!Hivi Burundi wanapima COVID-19 kweli?
Wakuachie dunia ww na nani kwani ww hutokufa!!?alaaHuyu Nkurunziza afe tu kwa kweli.. Bado huyu mwenzake naye afe tu watuachie Dunia yetu. Maana hawana faida yoyote ya kuwepo kwao.
Nyie vibwengu mnavichwa vigumu vilivyojaa ulozi....kwani ni wapi yey kasema yey hatakufaKwahiyo yeye Fatuma karume ataishi milele kwa vile hajatenda hayo aliyotenda Nkurunzinza?
Hapo enyewe aliyoyafanya ni makuu wa Afrika huwa tuna utamaduni wa kuheshimu marehemu hata akiwa alifanya mabaya gani Mungu ndiye ataye muhukumu sio sisi tuliye hai.