Serikali ya CCM haifurahi ukiwa na kiasi kikubwa cha fedha benki, unafilisiwa kwa kupewa kesi ya Uhujumu Uchumi

Ukqeli mtupu huu, yajayo yanaogopesha.
Benk siyo mahala salama pa kuweka pesa kwani zinawindwa na TRA vinara wa Rushwa wafunge account huku vyombo vingine vikiwinda wakubambikie kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi wapate kukupora hizo fedha
 
Inatia hasira sana hii,ma DC, RC ,wakurugenzi,mawaziri nk wao ruksa kufanya chochote,ila wavuja jasho ambao hata hawajui mitaji wameipataje wanahenyeshwa sana
Account ya viongozi wa umma hata ikiwa na trilion 10 hawasumbukia nayo, wabebakia kupora Account za wafanyabiashara wa kawaida kwa uonevu manyanyaso makubwa kwenye Nchi yao
 
Na kweli katika kipindi hiki kigumu inakuwaje unapata hela kuliko sisi?
 
Waanze kufunga Account za watumishi wote wa TRA na BOT watakaobainika kuwa na pesa nyingi kinyume na vipato vyao halisi, kwani wao hufunga Account za wafanyabiashara kienyeji kwa uonevu kutengeneza mazingira ya Rushwa, sasa iwe zamu yao kufunga Account zao wajue uchungu wa mtu kufungiwa Account kienyeji
 
Na kweli katika kipindi hiki kigumu inakuwaje unapata hela kuliko sisi?
Huu ndiyo upumbavu unaleta Athari za Benk kukosa wateje , kwani kuwa na pesa nyingi lazima ziwe zimepatikana sasa? Watu wana akiba zao za kipindi kirefu na bado zinaporwa kienyeji kwa njia haramu za kishetani, watu wanauza nyumba mashamba mazao madini na vinginevyo waache kuweka pesa Benk kisa wewe una wivu na hao TRA vinara wa kufunga Account nao wana njaa ya Rushwa? Acha wivu tafuta pesa zako Wivu utakuua ukiwa masikini mkubwa.
 
Benk siyo mahala salama pa kuweka pesa kwani zinawindwa na TRA vinara wa Rushwa wafunge account huku vyombo vingine vikiwinda wakubambikie kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi wapate kukupora hizo fedha
Haswaaaaah
 
Mabenk yasipozinduka na kukataa ujinga wa Account za wateja wao kufungwa hovyo hovyo na TRA wajiandae kufirisika kwa kukosa wateja baada ya imani na mabenk kuendelea kushuka zaidi
Tatizo Bank wakigoma BOT wanaweza kuwafutia leseni....Nchi inaongozwa na washamba!! Hawaangalii impact itakayosababishwa na uhuni wao.
 
imani na mabenk inazidi kushuka hasa baada ya wateja kugundua mabenk hayajachukua hatua zozote kuzuia ujinga wa maofisa wa TRA kufunga Account za wafanyabiashara hovyo hovyo kienyeji kwa njia haramu za kishetani kutengeneza mazingira ya Rushwa .
 
Tatizo Bank wakigoma BOT wanaweza kuwafutia leseni....Nchi inaongozwa na washamba!! Hawaangalii impact itakayosababishwa na uhuni wao.
Siku Benk zikianza kufa ndipo BOT watajutia ujinga wao ambao Uganda Zambia kenya wametumia fursa hizo kuwaalika wafanyabiashara kwenda kuweka fedha zao huko kusiko na usumbufu wowote, mmiliki wa pesa yupo huru na pesa yake.
 
Kama mnahifadhi ndani hakikisheni ni dollar etc za kigeni maana Hawakawii kuprint note mpya Halafu siku ya kurudisha ikawa ndio msala zaidi... Kenya majuzi walivoprint note mpya watu walitaka wazilete hadi tz wabadilishe....
 
Wazazi wako wamepata hasara
 

Umenikumbusha wanaijeria na wanawest Africa wengi wanaofanya shughuli ndogo ndogo ambao wakitaka kutuma hela wanaomba kusaidiwa na Sisi wenye Account zinazoweza kutoacha maswali mengi kwa Serikali. Naomba kuwaarifu Hakuna Nchi yoyote makini iliyoendelea isiyofuatilia accounts na ulipaji kodi. Unapataje hela yako Nk. Hakuna. Naomba muache kudanganyana HUKU MNADAI maendeleo. Maneno mengi Kumbe washamba tu. Hamjui hata mnataka Nini Sasa.
 
Sasa hali imekuwa mbaya zaidi na taasisi zisizo za kifaida zinafugiwa account. Kuna shule huko Arusha The School of St Jude imefungiwa na yenyewe.
 
Na kweli katika kipindi hiki kigumu inakuwaje unapata hela kuliko sisi?
Wewe hata uwezo wa kununua computer ya laki 4 huna sishangai unachukia wenye hela, utashangaa wamekuja kumuoa mama yako.






 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…