Serikali ya CCM haifurahi ukiwa na kiasi kikubwa cha fedha benki, unafilisiwa kwa kupewa kesi ya Uhujumu Uchumi

Hii kitu hatari[emoji3061][emoji3061]
 
Sasa hivi kuliko uweke elfu 50 bank ni bora uifiche kwenye kibubu. Wakiiona lazima wakuhoji na kukwambia umekwepa kodi kwa miaka 3 iliyopita.
Uchumi hauruhusu kuweka hela ndani. hela lazima ikae benki ili itumiwe na wengine wakati wewe huzihitaji kuzitumia.
 
Uchumi hauruhusu kuweka hela ndani. hela lazima ikae benki ili itumiwe na wengine wakati wewe huzihitaji kuzitumia.
 
Kila la heri.
Sijapata jibu vipi hizi bank za nje mfano exim, barclay,absa,kcb ukiweka huko napo wanazichungulia kisha wanazikwapua au huko ni salama.Maana kuishi kishetani Hali pesa unayo napo yataka moyo.
 
Wazee wa escrow wakubali tu kugawana salio Kama alivyofanya naongea na mwenye mbwa wake Ili wanunue Uhuru wao. Zaidi wategemee ya kina papy kocha
 
Sijapata jibu vipi hizi bank za nje mfano exim, barclay,absa,kcb ukiweka huko napo wanazichungulia kisha wanazikwapua au huko ni salama.Maana kuishi kishetani Hali pesa unayo napo yataka moyo.
Hata Bank za kigeni BOT wanapenya hasa wakiona pesa imetoka nje kuja Tanzania, kwa sasa BOT ndiyo Benk kuu ya ajabu Duniani inazuia pesa kuja Tanzania kuleta maendeleo na hata pesa ikipenya ikafika kwenye hizo Benk napo huizuia mpaka mmiliki wa hiyo pesa atoe Rushwa au vinginevyo watamsumbua miezi kadhaa kabla ya kupewa pesa au kudhulumiwa kabsa kwa kutishiwa kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi anakimbia anaacha pesa wanaipora kihuni kwa njia haramu za kishetani.
 
Watanzania waliopo nje hasa ulaya America Asia wamelazimika kufanya maendeleo huko Huko walipo tofauti na waganda wakenya ambao maendeleo huelekeza kwao kwa kutuma pesa nyingi tokea walipo Duniani kwenda Nchini mwao ambapo hakuna usumbufu kama wa BOT ya Tanzania wala TRA kufunga Account za wafanyabiashara kienyeji kwa njia haramu za kishetani
 

So wabongo nao wanatumia bashite style Kama fursa kupenyea mle mle Kama walivyofanyiwa wa bureau de change zimepelekwa kwenye uhakiki miaka 3 Sasa
 

Malaika mkuu toka chattogang ana allergies na matajiri furaha yake ni kuona machozi ya watu.Thus wenzetu masikini, wajamaa ni marufuku kupewa leseni za kuendesha magari makubwa watasababisha ajali kubwa barabarani.Nimewaelewa
 
Uchumi hauruhusu kuweka hela ndani. hela lazima ikae benki ili itumiwe na wengine wakati wewe huzihitaji kuzitumia.
Kuweka ndani ni risk Sana but kuweka bank Zama hizi za ujamaa ni risk zaidi pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…