Serikali ya CCM haifurahi ukiwa na kiasi kikubwa cha fedha benki, unafilisiwa kwa kupewa kesi ya Uhujumu Uchumi

Why uweke pesa nyingi bank kwann usiziweke kwenye uzalishaji?
Sijaona mtu mjinga kama wewe, kwa hiyo pesa nikiweka benki inakuwa unakaa tu..Sasa zinazokopeshwa na mabenk unajua zinatoka wapi kama sio za watu waliozihifadhi.
 
Hawajawahi shindwa bambika kesi unaweza ambiwa unamiliki gego la fungo au fisi pori.
 
Tumuombe Cheyo Mamose John agombee Urais atujaze Mapesa mifukoni
 
Duu mkuu kama ingeshindikana na umevuja jasho sana huko nje unakubali kunyanyaswa bado ukute kuwa hakuna Hela si ndo MTU unakufa mkuu.
 
Sijaona mtu mjinga kama wewe, kwa hiyo pesa nikiweka benki inakuwa unakaa tu..Sasa zinazokopeshwa na mabenk unajua zinatoka wapi kama sio za watu waliozihifadhi.
So niache kuzizungusha kuinvest kwenye real asset nk niweke tu zikae huku nakatwa gharama za kuzihifadhi.
 
Safi sana. Tano tena
 
Umasikini wa afrika umefanywa makusudi na Hawa wakoloni weusi jiwetype wenye allergies na matajiri.
Miaka 60 ya Uhuru bado wanategemea misaada.
JE HOTUBA ALIYOITOA RAISI TRUMP SEPTEMBER 2018 JUU YA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA UMOJA WA MATAIFA NI MATUSI AU NDO UKWELI?

Haya ni mambo yaliyonukuliwa katika hotuba ya Raisi Trump akiongelea bara la Afrika. Naomba usome na utoe maoni yako. Akiwa anawasuta viongozi wa Afrika, Trump anahoji kwamba:
  • lkiwa sasa imefika miaka 50 ya uhuru na bado viongozi wengi wa Afrika wameshindwa kuwa na miundo mbinu thatbiti kwa ajili ya watu wao, je hao viongozi ni binadamu kweli?
  • Anaendelea kusema kuwa ikiwa ninyi viongozi mnakalia dhahabu, almasi, mafuta na uranium na watu wenu wanakosa chakula, je ninyi viongozi wa afrika ni watu kweli?
  • Kama mnakaa kwenye madaraka na kununua silaha kutoka kwa wageni na kuua watu wenu, je ninyi ni binadamu kweli?
  • Kama mnawaza kukaa madarakani mpaka mwisho wa maisha yetu, je ninyi ni binadamu kweli?
  • Ikiwa mnatumia maliasili ya nchi zenu kwa maendeleo ya familia zenu, je ninyi ni watu kweli?
  • lwapo hamjali kuweka miundo mbinu ya afya za watu wenu na badala yake mkiugua mnaenda kutibiwa nchi za nje, Je ninyi ni binadanu kweli?
  • Mtaheshimikaje katika mataifa yenu wakati mnapiga risasi raia wenu kama vile ni mchezo?
*Amemalizia kwa kusema kuwa viongozi wa Afrika wataendelea kuwa kama wanyama hadi watakapo badili mtazamo wao na kuheshimu watu wanaowaongoza.

NB: Hadi kufikia hapo, unadhani Raisi Trump inatakiwa alaumie kutokana na tabia zake za kutukana waafrika, au labda anachosema ni kweli tukubaliane na yeye?
Una maoni gani kutokana na hotuba aliyoitoa huko kwenye kikao cha umoja wa mataifa? Hizi ni dharau za wazungu au kuna ukweli ndani yake?
Hitimisho Hawa wakoloni weusi kwao ni salama zaidi kuwatawala masikini na futereless people ( wanyonge).
Kumbuka v8 moja ni sawa na matreka 6 horse power 75 brand new na vilimio vyake.
So kipi v8 au trekta? Tuendelee kuaminisha tu mabeberu awapendi tuendelee.
 
Duuuh [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Daa na hii mkuu mie nilichezwa na machale Nilikuwa na vimilioni kadhaa ni chini ya miamoja ikabidi ninunue nyumba fasta mana kwanza nadaiwa na Heslb yaani wangezibana kiukweli ningekufa. Mateso niliyopitia adi kuzipata najua mie na Aliye mbinguni.

Yaani nikiwa na dola Milioni moja hapa home sikai.
Kwanza kuna apartment ama hotel room unanunua huko Dubai ama New York wewe unaipangisha ukiwa hapa hapa
 
Muda wowote miswada itakwenda bungeni kuwazuia watu kununua dhahabu na hizo bitcoin maana kwa aina ya mtu aliyeko Ikulu

Ila kwetu sisi wazee wa kucross borders bila passport hawatatuweza watawabana misukule yao ya kijani
Mkuu gold unanunua digitally Uko dunia gani kuna kitu kinaitwa risk aversion or safe heaven.
Watu utajiri wao wanauweka sehemu salama hata kuinunua Franc ya kiswisi Iko strong sana haiyumbiyumbi ovyo ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…