Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama naiona nchi ya Kenya ikienda kunufaika na mapesa ya watanzania yatakayoanza kumiminika kwenye mabank yao.
Maana hawa majiniwatu wakishamalizana na wenye million 100 and above watashuka mpaka na wenye < tsh milioni 1.
Nchi imevamiwa hii, mtawala kichaa anataka watu wawe mafukara ili awahonge chumvi na vijikanga wakati wa kampeni lakini akae akitambua dunia imebadilika sana hawezi kutufirisi huku tukimuangalia tu.
Kinachompa kiburi ni hirizi na matambiko anayojifanyia kila mwezi sijui anafikiri yeye ndie anaeujua uchawi kuliko akina Mobutu na the like.
Sio reasoning.Ni kwa usalama wetu.dollar nyingi zinaingia bila kuwa na maelezo.je wakiwa al Shabab je?
Hakuna unachokwepa labda wingi wa noti tuu,hizo dola ununue vichochoroni yaani isiwe sehemu rasmi kama benk ,byuro de change nk maana kuna sheria inakataza kuwa na bulk cash unaweza kudhtskiwa kwa uhujumu uchumi tenaNunua dola weka ndani mapesa ya madafu nayo hayaaminiki kukaa nayo mengi ndani.
sasa hivi benki sio salama kuweka fedha tena!
Au nunua ardhi ni salama zaidi kuliko kuweka fedha ndani au benki.
Salama ni kununua bitcoin au dhahabu unatunzaTutaanza kuzichimbia ndani Tena chumbani, tunachimba shimo chumbani chini ya uvungu wa kitanda na kuweka cement na chuma hafu tunapiga kufuli. Hakuna atakaye jua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kuingia road hakuna kitakachobadilika,na wazungu nao wanaangalia penye maslahi yao tuuKama naiona nchi ya Kenya ikienda kunufaika na mapesa ya watanzania yatakayoanza kumiminika kwenye mabank yao.
Maana hawa majiniwatu wakishamalizana na wenye million 100 and above watashuka mpaka na wenye < tsh milioni 1.
Nchi imevamiwa hii, mtawala kichaa anataka watu wawe mafukara ili awahonge chumvi na vijikanga wakati wa kampeni lakini akae akitambua dunia imebadilika sana hawezi kutufirisi huku tukimuangalia tu.
Kinachompa kiburi ni hirizi na matambiko anayojifanyia kila mwezi sijui anafikiri yeye ndie anaeujua uchawi kuliko akina Mobutu na the like.
Kuingia road kutafuata baada ya hali kuwa ngumu sana maana wanakoenda watakusanya mpaka kodi ya wafuga majini na misukuleBila kuingia road hakuna kitakachobadilika,na wazungu nao wanaangalia penye maslahi yao tuu
Ahadi ya "kuishi" kama shetani iliyotolewa haijawahi tenguliwa!Salaam Wakuu,
Nmeanza kuelewa kwanini Matajiri wengi wa Tanzania wanaficha fedha zao nje ya Nchi. Siwalaumu tena. Na kama hii hali ikiendelea, Benki nyingi zitatikisika kiuchumi kwani watu watasusa kupeleka hela.
Zamani Watanzania wengi walikuwa hawapeleki fedha zao benki. Walikuwa wanazichimbia mashambani na wengine kuzilalia kwenye Vitanda vya Kamba. Hii walikuwa wanafanya kwa kuhofia kunyang'anywa fedha zao na Serikali. Mabenki yalifanya Kampeni kubwa kuwabembeleza watu wapeleke fedha benki na Wakafanikiwa.
Hii hali sasa imerudi kwa kasi hivi Karibuni. Nini kinafanyika?
1. Wanafuatilia benki una kiasi gani, Wakikuta hela ni nyingi Wanazizuia, Ukienda kutoa hazitoki wanakuambia zinafanyiwa Uchunguzi.
2. Wanabuni mbinu watazipataje hizo hela, hivyo ramani inachorwa ya kuzipata kwa kuangalia makando kando yako. eidha unaweza ambiwa:
i) Unamiliki fedha zisizoendana na Kipato chajo
ii) Hujalipia kodi, au umepata kwa Udanganyifu.
3. Utakamatwa na kufunguliwa kesi isiyo na dhamana Uhujumu Uchumi.
i) Utakatishaji fedha
ii) Kuongoza genge la Uharifu
iii) Kukwepa kodi nk
4. Unalazimishwa uonge nao mfanye Makubaliano ni kiasi gani cha fedha utawapa ili Uachiliwe huru
5. Unalazimishwa ukiri kosa halafu Unapigwa faini na fedha zako zinachukuliwa. Faini haizidi fedha ulizo nazo, wanazijua hivyo wanajua utalipa tu.
Baada ya hapo Wanakuachia huru unaendelea na kazi zako. Unaanza upya kujitafutia kipato, kikiongezeka Mzunguko unaanza tena hapo kwenye maelezo namba moja.
Hakika aduni wa Mtanzania ni Mtanzania.
Hapa chini naweka Mifano Michache ya Watu waliochezewa hii style ya kunyang'anya watu fedha zao.
1. Mwandishi wa Habari za kiuchunguzi Ndugu Erick Kabendera
2. Aliyekuwa Rais wa Migodi ya Pangea North Mara, Exploration na Bulyanhulu, Deogratius Mwanyika
3. Wafanyabiashara saba wa mafuta wakiwemo Wakurugenzi wa Kampuni ya SHIN UP Tanzania limited Zhang Zhi XIN, LINCOLN
4. Mkurugenzi mkuu wa Benki M Tanzania, Sanjeev Kumar
5. Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura
6. Astery Ndege aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Aste Insurance Brokers
7. Mfanyabiashara Daniel Chizua aliyedaiwa kukutwa na Kobe Wawili
8. Raia wa China, Liang Hu aliyedaiwa kuua Tembo 511
9. MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet
10. Wafanyabiashara hao Noah Mmasanga, Richard Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo na wengine wengi.
Vilevile kuna hukumu zinatolewa bila hata ya Kwenda Mahakamani. Mfano TCRA aliwapiga faini Airtel: 1.6 bilioni, TTCL: 1.6 bilioni, Halotel: 900 milioni, Zantel: 850 milioni, Tigo: 500 milioni na Vodacom: 450 milioni.
Je, ni lini Tutapata Mabilionea Wapya sababu Waliopo Wanazidi kuaga dunia.
Nashauri wachunguzi wa mambo wafanyie kazi Vifo vya hawa Matajiri wa Kitanzania ambao wamekufa kwa kufuatana . Isijekuwa ni hela zao zimewatoa roho. Mungu alaze roho zao mahali pema peponi Subhash Patel, Mr Reginald Mengi, Dr Rajni Kanabar, Ali Mufuruki, Salim Hassan Turky, Mr Salum Shamte nk.
Yote ni mawazo ya kijima,yanayozuia kukua kwa uchumiHakuna unachokwepa labda wingi wa noti tuu,hizo dola ununue vichochoroni yaani isiwe sehemu rasmi kama benk ,byuro de change nk maana kuna sheria inakataza kuwa na bulk cash unaweza kudhtskiwa kwa uhujumu uchumi tena
Salaam Wakuu,
Nmeanza kuelewa kwanini Matajiri wengi wa Tanzania wanaficha fedha zao nje ya Nchi. Siwalaumu tena. Na kama hii hali ikiendelea, Benki nyingi zitatikisika kiuchumi kwani watu watasusa kupeleka hela.
Zamani Watanzania wengi walikuwa hawapeleki fedha zao benki. Walikuwa wanazichimbia mashambani na wengine kuzilalia kwenye Vitanda vya Kamba. Hii walikuwa wanafanya kwa kuhofia kunyang'anywa fedha zao na Serikali. Mabenki yalifanya Kampeni kubwa kuwabembeleza watu wapeleke fedha benki na Wakafanikiwa.
Hii hali sasa imerudi kwa kasi hivi Karibuni. Nini kinafanyika?
1. Wanafuatilia benki una kiasi gani, Wakikuta hela ni nyingi Wanazizuia, Ukienda kutoa hazitoki wanakuambia zinafanyiwa Uchunguzi.
2. Wanabuni mbinu watazipataje hizo hela, hivyo ramani inachorwa ya kuzipata kwa kuangalia makando kando yako. eidha unaweza ambiwa:
i) Unamiliki fedha zisizoendana na Kipato chajo
ii) Hujalipia kodi, au umepata kwa Udanganyifu.
3. Utakamatwa na kufunguliwa kesi isiyo na dhamana Uhujumu Uchumi.
i) Utakatishaji fedha
ii) Kuongoza genge la Uharifu
iii) Kukwepa kodi nk
4. Unalazimishwa uonge nao mfanye Makubaliano ni kiasi gani cha fedha utawapa ili Uachiliwe huru
5. Unalazimishwa ukiri kosa halafu Unapigwa faini na fedha zako zinachukuliwa. Faini haizidi fedha ulizo nazo, wanazijua hivyo wanajua utalipa tu.
Baada ya hapo Wanakuachia huru unaendelea na kazi zako. Unaanza upya kujitafutia kipato, kikiongezeka Mzunguko unaanza tena hapo kwenye maelezo namba moja.
Hakika aduni wa Mtanzania ni Mtanzania.
Hapa chini naweka Mifano Michache ya Watu waliochezewa hii style ya kunyang'anya watu fedha zao.
1. Mwandishi wa Habari za kiuchunguzi Ndugu Erick Kabendera
2. Aliyekuwa Rais wa Migodi ya Pangea North Mara, Exploration na Bulyanhulu, Deogratius Mwanyika
3. Wafanyabiashara saba wa mafuta wakiwemo Wakurugenzi wa Kampuni ya SHIN UP Tanzania limited Zhang Zhi XIN, LINCOLN
4. Mkurugenzi mkuu wa Benki M Tanzania, Sanjeev Kumar
5. Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura
6. Astery Ndege aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Aste Insurance Brokers
7. Mfanyabiashara Daniel Chizua aliyedaiwa kukutwa na Kobe Wawili
8. Raia wa China, Liang Hu aliyedaiwa kuua Tembo 511
9. MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet
10. Wafanyabiashara hao Noah Mmasanga, Richard Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo na wengine wengi.
Vilevile kuna hukumu zinatolewa bila hata ya Kwenda Mahakamani. Mfano TCRA aliwapiga faini Airtel: 1.6 bilioni, TTCL: 1.6 bilioni, Halotel: 900 milioni, Zantel: 850 milioni, Tigo: 500 milioni na Vodacom: 450 milioni.
Je, ni lini Tutapata Mabilionea Wapya sababu Waliopo Wanazidi kuaga dunia.
Nashauri wachunguzi wa mambo wafanyie kazi Vifo vya hawa Matajiri wa Kitanzania ambao wamekufa kwa kufuatana . Isijekuwa ni hela zao zimewatoa roho. Mungu alaze roho zao mahali pema peponi Subhash Patel, Mr Reginald Mengi, Dr Rajni Kanabar, Ali Mufuruki, Salim Hassan Turky, Mr Salum Shamte nk.
Umesahau kuwa awamu hii waliambiwa: wote waliokuwa wanaishi kama malaika sasa wataishi kama mashetani. Wamewahi kwenda kwa malaika waendeleze maisha yao huko. Pepo ikichukuliwa na Shetani si pepo tena!Why matajiri wengi wamekufa awamu hii pendwa
Kumbe rafiki hela ndefu ipo!😂Aiseee ngoja ninunue safe na moisture absorber.
Kama naiona nchi ya Kenya ikienda kunufaika na mapesa ya watanzania yatakayoanza kumiminika kwenye mabank yao.
Maana hawa majiniwatu wakishamalizana na wenye million 100 and above watashuka mpaka na wenye < tsh milioni 1.
Nchi imevamiwa hii, mtawala kichaa anataka watu wawe mafukara ili awahonge chumvi na vijikanga wakati wa kampeni lakini akae akitambua dunia imebadilika sana hawezi kutufirisi huku tukimuangalia tu.
Kinachompa kiburi ni hirizi na matambiko anayojifanyia kila mwezi sijui anafikiri yeye ndie anaeujua uchawi kuliko akina Mobutu na the like.