Serikali ya CCM haifurahi ukiwa na kiasi kikubwa cha fedha benki, unafilisiwa kwa kupewa kesi ya Uhujumu Uchumi

Serikali ya CCM haifurahi ukiwa na kiasi kikubwa cha fedha benki, unafilisiwa kwa kupewa kesi ya Uhujumu Uchumi

Kama naiona nchi ya Kenya ikienda kunufaika na mapesa ya watanzania yatakayoanza kumiminika kwenye mabank yao.

Maana hawa majiniwatu wakishamalizana na wenye million 100 and above watashuka mpaka na wenye < tsh milioni 1.

Nchi imevamiwa hii, mtawala kichaa anataka watu wawe mafukara ili awahonge chumvi na vijikanga wakati wa kampeni lakini akae akitambua dunia imebadilika sana hawezi kutufirisi huku tukimuangalia tu.

Kinachompa kiburi ni hirizi na matambiko anayojifanyia kila mwezi sijui anafikiri yeye ndie anaeujua uchawi kuliko akina Mobutu na the like.

Hata Zama za Nyerere kufilisi watz watu wa mpakani wengi walificha Kenya pesa zao hasa ma mangi alipoingia tu ruksa demand ya bidhaa nchini ilikuwa kubwa Sana wakazitumia pesa hizo kununua bidhaa Kenya kwa wingi wakazileta tza wakapata utajiri Mkubwa sana thus wakawekeza kwenye mabus na malori,mabar,maguest hotel nk ndo asili ya wachaga wengi kumiliki hizo mambo.

Na kuibuka matajiri Kama kina Mengi,Bakhresa,nk.Zama za Nyerere copy na paste ukuruhusiwa kuwa na pesa nyingi, uhujumu uchumi ulikuhusu.Thus wengi walilazimika kulewea au kuwa malaya coz ukimiliki tu Mali labda nyumba ni lzm utoe maelezo, tofauti na mkoloni yeye Hakuwa na shida na mweusi kumiliki Mali thus baada ya Uhuru Nyerere na sokoinealiwafilisi wote wenye Mali,thus ile karma zinatembea kwenye familia zao.

Wenzetu ukiwa na element za ujamaa na ukomunistu udereva utaisikia kwa jirani wanaogopa kuletewa ufukara.
 
Nunua dola weka ndani mapesa ya madafu nayo hayaaminiki kukaa nayo mengi ndani.
sasa hivi benki sio salama kuweka fedha tena!
Au nunua ardhi ni salama zaidi kuliko kuweka fedha ndani au benki.
Hakuna unachokwepa labda wingi wa noti tuu,hizo dola ununue vichochoroni yaani isiwe sehemu rasmi kama benk ,byuro de change nk maana kuna sheria inakataza kuwa na bulk cash unaweza kudhtskiwa kwa uhujumu uchumi tena
 
Mpaka sasa bank zote hawafurahii kinachoendelea nchini kwa wafanyabiashara. Kuna kufuatiliwa kwa akaunti za wateja. Kwa sasa wafanyabiashara wengi wameanza kutafuta mbinu jinsi ya kuzihifadhi pesa zao mbali na bank. Kina wakinga wengi kwa sasa wanahifadhi pesa zao sehemu zingine mbali na bank.

Hicho kitu kinaiumiza sekta za kibank. T.R.A kwa sasa hawapendi hata kumuona mtu hata anajenga kaghorofa,kosa,utafuatiliwa mpaka usimame au uikimbie hiyo ghorofa lako. Kwa Tz haiji kutokea mtu anaishi maisha kama wale vijana wadogo wa kinigeria Yahoo.com,au kuishi kama Ginimbi
 
Kama naiona nchi ya Kenya ikienda kunufaika na mapesa ya watanzania yatakayoanza kumiminika kwenye mabank yao.

Maana hawa majiniwatu wakishamalizana na wenye million 100 and above watashuka mpaka na wenye < tsh milioni 1.

Nchi imevamiwa hii, mtawala kichaa anataka watu wawe mafukara ili awahonge chumvi na vijikanga wakati wa kampeni lakini akae akitambua dunia imebadilika sana hawezi kutufirisi huku tukimuangalia tu.

Kinachompa kiburi ni hirizi na matambiko anayojifanyia kila mwezi sijui anafikiri yeye ndie anaeujua uchawi kuliko akina Mobutu na the like.
Bila kuingia road hakuna kitakachobadilika,na wazungu nao wanaangalia penye maslahi yao tuu
 
Salaam Wakuu,

Nmeanza kuelewa kwanini Matajiri wengi wa Tanzania wanaficha fedha zao nje ya Nchi. Siwalaumu tena. Na kama hii hali ikiendelea, Benki nyingi zitatikisika kiuchumi kwani watu watasusa kupeleka hela.

Zamani Watanzania wengi walikuwa hawapeleki fedha zao benki. Walikuwa wanazichimbia mashambani na wengine kuzilalia kwenye Vitanda vya Kamba. Hii walikuwa wanafanya kwa kuhofia kunyang'anywa fedha zao na Serikali. Mabenki yalifanya Kampeni kubwa kuwabembeleza watu wapeleke fedha benki na Wakafanikiwa.

Hii hali sasa imerudi kwa kasi hivi Karibuni. Nini kinafanyika?

1. Wanafuatilia benki una kiasi gani, Wakikuta hela ni nyingi Wanazizuia, Ukienda kutoa hazitoki wanakuambia zinafanyiwa Uchunguzi.

2. Wanabuni mbinu watazipataje hizo hela, hivyo ramani inachorwa ya kuzipata kwa kuangalia makando kando yako. eidha unaweza ambiwa:
i) Unamiliki fedha zisizoendana na Kipato chajo
ii) Hujalipia kodi, au umepata kwa Udanganyifu.

3. Utakamatwa na kufunguliwa kesi isiyo na dhamana Uhujumu Uchumi.
i) Utakatishaji fedha
ii) Kuongoza genge la Uharifu
iii) Kukwepa kodi nk

4. Unalazimishwa uonge nao mfanye Makubaliano ni kiasi gani cha fedha utawapa ili Uachiliwe huru

5. Unalazimishwa ukiri kosa halafu Unapigwa faini na fedha zako zinachukuliwa. Faini haizidi fedha ulizo nazo, wanazijua hivyo wanajua utalipa tu.

Baada ya hapo Wanakuachia huru unaendelea na kazi zako. Unaanza upya kujitafutia kipato, kikiongezeka Mzunguko unaanza tena hapo kwenye maelezo namba moja.

Hakika aduni wa Mtanzania ni Mtanzania.

Hapa chini naweka Mifano Michache ya Watu waliochezewa hii style ya kunyang'anya watu fedha zao.

1. Mwandishi wa Habari za kiuchunguzi Ndugu Erick Kabendera

2. Aliyekuwa Rais wa Migodi ya Pangea North Mara, Exploration na Bulyanhulu, Deogratius Mwanyika

3. Wafanyabiashara saba wa mafuta wakiwemo Wakurugenzi wa Kampuni ya SHIN UP Tanzania limited Zhang Zhi XIN, LINCOLN

4. Mkurugenzi mkuu wa Benki M Tanzania, Sanjeev Kumar

5. Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura

6. Astery Ndege aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Aste Insurance Brokers

7. Mfanyabiashara Daniel Chizua aliyedaiwa kukutwa na Kobe Wawili

8. Raia wa China, Liang Hu aliyedaiwa kuua Tembo 511

9. MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet

10. Wafanyabiashara hao Noah Mmasanga, Richard Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo na wengine wengi.

Vilevile kuna hukumu zinatolewa bila hata ya Kwenda Mahakamani. Mfano TCRA aliwapiga faini Airtel: 1.6 bilioni, TTCL: 1.6 bilioni, Halotel: 900 milioni, Zantel: 850 milioni, Tigo: 500 milioni na Vodacom: 450 milioni.

Je, ni lini Tutapata Mabilionea Wapya sababu Waliopo Wanazidi kuaga dunia.

Nashauri wachunguzi wa mambo wafanyie kazi Vifo vya hawa Matajiri wa Kitanzania ambao wamekufa kwa kufuatana . Isijekuwa ni hela zao zimewatoa roho. Mungu alaze roho zao mahali pema peponi Subhash Patel, Mr Reginald Mengi, Dr Rajni Kanabar, Ali Mufuruki, Salim Hassan Turky, Mr Salum Shamte nk.
Ahadi ya "kuishi" kama shetani iliyotolewa haijawahi tenguliwa!
 
Zamani aliwahi.kusema zito kuwa watu wameficha pesa nje na akasema ana majina yao,
Sasa ni kwa ini walificha hizonpesa nje?
Salaam Wakuu,

Nmeanza kuelewa kwanini Matajiri wengi wa Tanzania wanaficha fedha zao nje ya Nchi. Siwalaumu tena. Na kama hii hali ikiendelea, Benki nyingi zitatikisika kiuchumi kwani watu watasusa kupeleka hela.

Zamani Watanzania wengi walikuwa hawapeleki fedha zao benki. Walikuwa wanazichimbia mashambani na wengine kuzilalia kwenye Vitanda vya Kamba. Hii walikuwa wanafanya kwa kuhofia kunyang'anywa fedha zao na Serikali. Mabenki yalifanya Kampeni kubwa kuwabembeleza watu wapeleke fedha benki na Wakafanikiwa.

Hii hali sasa imerudi kwa kasi hivi Karibuni. Nini kinafanyika?

1. Wanafuatilia benki una kiasi gani, Wakikuta hela ni nyingi Wanazizuia, Ukienda kutoa hazitoki wanakuambia zinafanyiwa Uchunguzi.

2. Wanabuni mbinu watazipataje hizo hela, hivyo ramani inachorwa ya kuzipata kwa kuangalia makando kando yako. eidha unaweza ambiwa:
i) Unamiliki fedha zisizoendana na Kipato chajo
ii) Hujalipia kodi, au umepata kwa Udanganyifu.

3. Utakamatwa na kufunguliwa kesi isiyo na dhamana Uhujumu Uchumi.
i) Utakatishaji fedha
ii) Kuongoza genge la Uharifu
iii) Kukwepa kodi nk

4. Unalazimishwa uonge nao mfanye Makubaliano ni kiasi gani cha fedha utawapa ili Uachiliwe huru

5. Unalazimishwa ukiri kosa halafu Unapigwa faini na fedha zako zinachukuliwa. Faini haizidi fedha ulizo nazo, wanazijua hivyo wanajua utalipa tu.

Baada ya hapo Wanakuachia huru unaendelea na kazi zako. Unaanza upya kujitafutia kipato, kikiongezeka Mzunguko unaanza tena hapo kwenye maelezo namba moja.

Hakika aduni wa Mtanzania ni Mtanzania.

Hapa chini naweka Mifano Michache ya Watu waliochezewa hii style ya kunyang'anya watu fedha zao.

1. Mwandishi wa Habari za kiuchunguzi Ndugu Erick Kabendera

2. Aliyekuwa Rais wa Migodi ya Pangea North Mara, Exploration na Bulyanhulu, Deogratius Mwanyika

3. Wafanyabiashara saba wa mafuta wakiwemo Wakurugenzi wa Kampuni ya SHIN UP Tanzania limited Zhang Zhi XIN, LINCOLN

4. Mkurugenzi mkuu wa Benki M Tanzania, Sanjeev Kumar

5. Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura

6. Astery Ndege aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Aste Insurance Brokers

7. Mfanyabiashara Daniel Chizua aliyedaiwa kukutwa na Kobe Wawili

8. Raia wa China, Liang Hu aliyedaiwa kuua Tembo 511

9. MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet

10. Wafanyabiashara hao Noah Mmasanga, Richard Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo na wengine wengi.

Vilevile kuna hukumu zinatolewa bila hata ya Kwenda Mahakamani. Mfano TCRA aliwapiga faini Airtel: 1.6 bilioni, TTCL: 1.6 bilioni, Halotel: 900 milioni, Zantel: 850 milioni, Tigo: 500 milioni na Vodacom: 450 milioni.

Je, ni lini Tutapata Mabilionea Wapya sababu Waliopo Wanazidi kuaga dunia.

Nashauri wachunguzi wa mambo wafanyie kazi Vifo vya hawa Matajiri wa Kitanzania ambao wamekufa kwa kufuatana . Isijekuwa ni hela zao zimewatoa roho. Mungu alaze roho zao mahali pema peponi Subhash Patel, Mr Reginald Mengi, Dr Rajni Kanabar, Ali Mufuruki, Salim Hassan Turky, Mr Salum Shamte nk.
 
Hapana....Nafikiri serikali ipo sahihi....kuwa na kiasi kikubwa nia sawah ila kiendane na kodi ulizolipa...wew unamiliki billion 5 bank wakikucheki record zako TRA wanaona haiendani na kiasi unachomiliki...Nchi nyingi zinafanya hiv...tumeshuhudia kina Messi,,Ronaldo wakifikishwa mahakan kwa kutuhuma za kukwepa kodi kwasababu kiasi kilichokusanywa hakiendani na pesa walizoingiza....Miliki pesa nyingi ila hakikisha TRA wanarecords zako nzuri na zinazoendana na kiasi unachomiliki...
 
Kama naiona nchi ya Kenya ikienda kunufaika na mapesa ya watanzania yatakayoanza kumiminika kwenye mabank yao.

Maana hawa majiniwatu wakishamalizana na wenye million 100 and above watashuka mpaka na wenye < tsh milioni 1.

Nchi imevamiwa hii, mtawala kichaa anataka watu wawe mafukara ili awahonge chumvi na vijikanga wakati wa kampeni lakini akae akitambua dunia imebadilika sana hawezi kutufirisi huku tukimuangalia tu.

Kinachompa kiburi ni hirizi na matambiko anayojifanyia kila mwezi sijui anafikiri yeye ndie anaeujua uchawi kuliko akina Mobutu na the like.
450908765.jpg
 
Ukishazoea tabia ya kuumiza watu ili upate furaha baada ya kuwamaliza wa nje ni lzm utamaliza watoto wako wakiisha utajimaliza mwenyewe. Mawestone hawi na amani moyoni bila kuhakikisha wote wanakuwa zero kabisa. Matajiri wengi Sana wanakufa. Walioona mbali waliwahi mapema kuondoa pesa zao nje. Kuwekeza Africa ni risk Sana coz watawala wakishauwa uchumi kwa ujuaji ugeukia account za watu
 
Back
Top Bottom