Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Hazitanuka kinyesi cha kuku kweli?..!!Chakufanya ni kujichimbiq pesa kwenye Banda la kuku maana chumbani nako watavamia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hazitanuka kinyesi cha kuku kweli?..!!Chakufanya ni kujichimbiq pesa kwenye Banda la kuku maana chumbani nako watavamia
BPWhy matajiri wengi wamekufa awamu hii pendwa
Na inatakiwa tubanwe karibia wote ili maav yakitutoka tutajua umuhimu wa kuingia roadKuingia road kutafuata baada ya halo kuwa ngumu sana maana wanakoenda watakusanya mpaka kodi ya wafuga majini na misukule
Kweli hii Mbinu nzuri nayo, kuliko kutinza mahela ambayo yanaweza shuka thamani anytime.Salama ni kununua bitcoin au dhahabu unatunza
Du walitaka kukukata kodiUsifikiri ni utani.
Leo hii ukipata tu hela nyingi, fikiria mara mbili kabla hujapeleka bank.
Kuna wakati nililkuwa nalipwa mshahara wa dola 9,000 kwa mwezi. Nilikuwa nimeajiriwa nje ya nchi lakini niliomba mshahara wangu ulipwe kwenye akaunti yangu ya nyumbani hapa Tanzania.
Niliporudi likizo, kutaka kuchukua hela, nikaambiwa nikamwone manager wa branch. Baadaye nilifanikiwa lakini baada ya kupeleka documents za mkataba, work permit, nakala ya dicuments za kodi za nchi nilikokuwa nafanya kazi, n.k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda wowote miswada itakwenda bungeni kuwazuia watu kununua dhahabu na hizo bitcoin maana kwa aina ya mtu aliyeko IkuluKweli hii Mbinu nzuri nayo, kuliko kutinza mahela ambayo yanaweza shuka thamani anytime.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hata mishahara watu watatafuta alternatives nyingine man nayo itaanza kufuatiliwa jinsi chungu cha hadhina kitakavyizidi kuwa {}Kuna mtu alipelekewa (delivery) trekta 4 shambani kwake, zilipofika aliingia kwenye nyumba ya shambani akaibuka na mzigo wa kutosha (cash) akawalipa waliompelekea trekta wakaondoka zao, nilishangaa tu mtu kukaa na mzigo wa kiasi kile shambani. Kumbe wanaogopa mambo kama haya!
Serikali inadhani inawakomoa wafanyabiashara, in a long run itajikuta benki zote ziko tupu zitabaki kuwa sehemu ya kupitishia mishahara tu.
Siku Hizi Wanaume Tunavaa Bukta Yenye MifukoMingi Unaweka Cash Nyingi Sana Ndani Ya Hiyo Halafu Suruali Nayo.Kuna mtu alipelekewa (delivery) trekta 4 shambani kwake, zilipofika aliingia kwenye nyumba ya shambani akaibuka na mzigo wa kutosha (cash) akawalipa waliompelekea trekta wakaondoka zao, nilishangaa tu mtu kukaa na mzigo wa kiasi kile shambani. Kumbe wanaogopa mambo kama haya!
Serikali inadhani inawakomoa wafanyabiashara, in a long run itajikuta benki zote ziko tupu zitabaki kuwa sehemu ya kupitishia mishahara tu.
Mbona meno yenyewe yameanza kung'ooka tutalimia fizi[emoji57][emoji55][emoji58][emoji52][emoji2955][emoji848][emoji41]
Tutalimia Meno!! Mwafa!!
Bonge la point hiliAm telling you... kujionyesha kama una hela sasa hivi ni hatari. Uwe na maelezo ya kutosha
Watakubana kutaka kujua kama ni halal, wakitoka hapo watataka kujua kama umelipa kodi etc etc
Acha kukutea unyang'anyi wa Mali za watu bila hatia.Hapana....Nafikiri serikali ipo sahihi....kuwa na kiasi kikubwa nia sawah ila kiendane na kodi ulizolipa...wew unamiliki billion 5 bank wakikucheki record zako TRA wanaona haiendani na kiasi unachomiliki...Nchi nyingi zinafanya hiv...tumeshuhudia kina Messi,,Ronaldo wakifikishwa mahakan kwa kutuhuma za kukwepa kodi kwasababu kiasi kilichokusanywa hakiendani na pesa walizoingiza....Miliki pesa nyingi ila hakikisha TRA wanarecords zako nzuri na zinazoendana na kiasi unachomiliki...
Fundi atajua labda uchimbe mwenyeweTutaanza kuzichimbia ndani Tena chumbani, tunachimba shimo chumbani chini ya uvungu wa kitanda na kuweka cement na chuma hafu tunapiga kufuli. Hakuna atakaye jua.
Mkuu unamaanisha hizi hizi us$ zinazotolewa na Federal government? I don't think so!Hizo dollar nazo zina mchezo wa expire date, unalijuwa hilo?
AibuKwa kutizama hii picha tu unapata majibu ni kiongozi wa namna gani tunaye,huwezi kuchukua pesa za mtu bila kumshinda kesi yeye ni mwizi wa mchana n genge lake
View attachment 1652174
Hii nayo point, Mana mafundi huwa hawachelewi kuwaarika wezi,Fundi atajua labda uchimbe mwenyewe