Sasa kwa nini wakulazimishe ukubali makosa kwa DPP pindi wanapokusomea kesi kwenye mahakama ambayo haina uwezo wa kusikiliza kesi yakoHapana....Nafikiri serikali ipo sahihi....kuwa na kiasi kikubwa nia sawah ila kiendane na kodi ulizolipa...wew unamiliki billion 5 bank wakikucheki record zako TRA wanaona haiendani na kiasi unachomiliki...Nchi nyingi zinafanya hiv...tumeshuhudia kina Messi,,Ronaldo wakifikishwa mahakan kwa kutuhuma za kukwepa kodi kwasababu kiasi kilichokusanywa hakiendani na pesa walizoingiza....Miliki pesa nyingi ila hakikisha TRA wanarecords zako nzuri na zinazoendana na kiasi unachomiliki...
Kwahiyo kumbe Jiwe kaifirisi nchi tayari sasa anataka aingie kwenye vim-pesa,vibubu & viziwiUkishazoea tabia ya kuumiza watu Ili upate furaha baada ya kuwamaliza wa nje ni lzm utamaliza watoto wako wakiisha utajimaliza mwenyewe. Mawestone hawi na amani moyoni bila kuhakikisha wote wanakuwa zero kabisa. Matajiri wengi Sana wanakufa. Walioona mbali waliwahi mapema kuondoa pesa zao nje. Kuwekeza Africa ni risk Sana coz watawala wakishauwa uchumi kwa ujuaji ugeukia account za watu
We acha watu wema na wa maana kwenye Jamii wanaondoka yanabaki mabashite typeUmesahau kuwa awamu hii waliambiwa: wote waliokuwa wanaishi kama malaika sasa wataishi kama mashetani. Wamewahi kwenda kwa malaika waendeleze maisha yao huko. Pepo ikichukuliwa na Shetani si pepo tena!
Unatakiwa kuelewa kodi ni nini na aina za kodi. Unaweza kuwa na fedha nyingi benki lakini kusiwe na uhitaji wa kulipa kodi. Kwa maoni yangu naisihi serikali kupitia TRA iachane na huu mtindo wa kuzuia account. Hakuna kazi kubwa kama kuwafanya raia waamini bank.Hapana....Nafikiri serikali ipo sahihi....kuwa na kiasi kikubwa nia sawah ila kiendane na kodi ulizolipa...wew unamiliki billion 5 bank wakikucheki record zako TRA wanaona haiendani na kiasi unachomiliki...Nchi nyingi zinafanya hiv...tumeshuhudia kina Messi,,Ronaldo wakifikishwa mahakan kwa kutuhuma za kukwepa kodi kwasababu kiasi kilichokusanywa hakiendani na pesa walizoingiza....Miliki pesa nyingi ila hakikisha TRA wanarecords zako nzuri na zinazoendana na kiasi unachomiliki...
Hizo dola utazipata wapi? Huwezi nunua dola toka benki ya biashara bila details zako zote kuchukuliwa , hata kama ni dollar 1000Hizo dollar nazo zina mchezo wa expire date, unalijuwa hilo?
Watu wengi tayari wameshaweka mahela yao ndani,sema kitakachofuata ni serikali kubadilisha note hasa za elf kumi na elfu tano.wataweka deadline ya muda mfupi ili walio na mahela nyumbani yawafie humo.Salaam Wakuu,
Nmeanza kuelewa kwanini Matajiri wengi wa Tanzania wanaficha fedha zao nje ya Nchi. Siwalaumu tena. Na kama hii hali ikiendelea, Benki nyingi zitatikisika kiuchumi kwani watu watasusa kupeleka hela.
Zamani Watanzania wengi walikuwa hawapeleki fedha zao benki. Walikuwa wanazichimbia mashambani na wengine kuzilalia kwenye Vitanda vya Kamba. Hii walikuwa wanafanya kwa kuhofia kunyang'anywa fedha zao na Serikali. Mabenki yalifanya Kampeni kubwa kuwabembeleza watu wapeleke fedha benki na Wakafanikiwa.
Hii hali sasa imerudi kwa kasi hivi Karibuni. Nini kinafanyika?
1. Wanafuatilia benki una kiasi gani, Wakikuta hela ni nyingi Wanazizuia, Ukienda kutoa hazitoki wanakuambia zinafanyiwa Uchunguzi.
2. Wanabuni mbinu watazipataje hizo hela, hivyo ramani inachorwa ya kuzipata kwa kuangalia makando kando yako. eidha unaweza ambiwa:
i) Unamiliki fedha zisizoendana na Kipato chajo
ii) Hujalipia kodi, au umepata kwa Udanganyifu.
3. Utakamatwa na kufunguliwa kesi isiyo na dhamana Uhujumu Uchumi.
i) Utakatishaji fedha
ii) Kuongoza genge la Uharifu
iii) Kukwepa kodi nk
4. Unalazimishwa uonge nao mfanye Makubaliano ni kiasi gani cha fedha utawapa ili Uachiliwe huru
5. Unalazimishwa ukiri kosa halafu Unapigwa faini na fedha zako zinachukuliwa. Faini haizidi fedha ulizo nazo, wanazijua hivyo wanajua utalipa tu.
Baada ya hapo Wanakuachia huru unaendelea na kazi zako. Unaanza upya kujitafutia kipato, kikiongezeka Mzunguko unaanza tena hapo kwenye maelezo namba moja.
Hakika aduni wa Mtanzania ni Mtanzania.
Hapa chini naweka Mifano Michache ya Watu waliochezewa hii style ya kunyang'anya watu fedha zao ukiachilia mbali Tariq Machibya maarufu Mr Kuku.
1. Mwandishi wa Habari za kiuchunguzi Ndugu Erick Kabendera
2. Aliyekuwa Rais wa Migodi ya Pangea North Mara, Exploration na Bulyanhulu, Deogratius Mwanyika
3. Wafanyabiashara saba wa mafuta wakiwemo Wakurugenzi wa Kampuni ya SHIN UP Tanzania limited Zhang Zhi XIN, LINCOLN
4. Mkurugenzi mkuu wa Benki M Tanzania, Sanjeev Kumar
5. Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura
6. Astery Ndege aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Aste Insurance Brokers
7. Mfanyabiashara Daniel Chizua aliyedaiwa kukutwa na Kobe Wawili
8. Raia wa China, Liang Hu aliyedaiwa kuua Tembo 511
9. MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet
10. Wafanyabiashara Noah Mmasanga, Richard Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo na wengine wengi.
Vilevile kuna hukumu zinatolewa bila hata ya Kwenda Mahakamani. Mfano TCRA iliwapiga faini Airtel: 1.6 bilioni, TTCL: 1.6 bilioni, Halotel: 900 milioni, Zantel: 850 milioni, Tigo: 500 milioni na Vodacom: 450 milioni.
Je, ni lini Tutapata Mabilionea Wapya sababu Waliopo Wanazidi kuaga dunia.
Nashauri wachunguzi wa mambo wafanyie kazi Vifo vya hawa Matajiri wa Kitanzania ambao wamekufa kwa kufuatana . Isijekuwa ni hela zao zimewatoa roho. Mungu alaze roho zao mahali pema peponi Subhash Patel, Mr Reginald Mengi, Dr Rajni Kanabar, Ali Mufuruki, Salim Hassan Turky, Mr Salum Shamte nk.
Halafu na wakishakufa "" JAMAA "" haendi kwenye mazishiWhy matajiri wengi wamekufa awamu hii pendwa
Ile Tanzania ya kisiwa cha amani ni ndoto. Ilikuwa pepo kwa mzawa na mgeni pia. Sasa ni jehanamu kwa wote. Hakuna mwenye furaha. Tabasamu la kinafiki tu. Kumbuka hao tumewaombea wawekwe mahali pema peponi. Kufa ni faida! Kuna siku niliwaza hawa Ruge, Singa na masheik wa Uamsho watatoka lini jela ya bila hatia! Nikapitiwa.We acha watu wema na wa maana kwenye Jamii wanaondoka yanabaki mabashite type
Wakishamaliza kuzichungulia kwenye mabenk wataamia kwenye simu.Kiwa na hela bank siyo salama kabisa katika utawala huu wa kijamaa wenye vi-element vya kikomunist mamboleo
Duh, hii inasikitisha unakuta Mtu umejinyima mengi kukusanya hizo pesa...labda ili ulitaka uje uanze jambo lako la maana hapo mbeleni.Najua kesi ya jamaa yangu wa karibu kabisa aliyepigwa zaidi ya mil 90. Kashindwa kutoa hela, kaenda kuuliza anaambiwa nenda makao makuu ya Benki, huko wakamwabia serikali inasema kuna mashaka na hela yako... kabanwa mbavu aeleze amezipataje. Bahati mbaya jamaa biashara zake hazikuwa rasmi (kilimo), akakosa vithibitisho. Wakataifisha.
Ile Tanzania ya kisiwa cha amani ni ndoto. Ilikuwa pepo kwa mzawa na mgeni pia. Sasa ni jehanamu kwa wote. Hakuna mwenye furaha. Tabasamu la kinafiki tu. Kumbuka hao tumewaombea wawekwe mahali pema peponi. Kufa ni faida! Kuna siku niliwaza hawa Ruge, Singa na masheik wa Uamsho watatoka lini jela ya bila hatia! Nikapitiwa. Kuamka nikamsikia anayewashikilia huko akisema hatosaini wauaji wanyongwe hadi kufa. Nikawaza kuwa naye ni muuaji anayesutwa na dhamiri yake. Nikamaizi sijaamka naota tu. Jinamizi la mchana!
Am telling you... kujionyesha kama una hela sasa hivi ni hatari. Uwe na maelezo ya kutoshaDuh, hii inasikitisha unakuta Mtu umejinyima mengi kukusanya hizo pesa...labda ili ulitaka uje uanze jambo lako la maana hapo mbeleni.
Iwepo wapi just incase naweza shinda biko rafiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe rafiki hela ndefu ipo![emoji23]
Nasikia uzee umechangia..Why matajiri wengi wamekufa awamu hii pendwa