Serikali ya CCM ikubali kulamba matapishi ya makosa yake; yaani unatumia 5% ya GDP kujenga bwawa la umeme halafu uagize umeme nje? Mnajisikiliza??

Serikali ya CCM ikubali kulamba matapishi ya makosa yake; yaani unatumia 5% ya GDP kujenga bwawa la umeme halafu uagize umeme nje? Mnajisikiliza??

Na pia kama Tuna Nia ya Kufanya Cross-border trading ya Umeme kwenye Pools mbalimbali ni lazima kabisa tuwekeze Sana kwenye Ujenzi wa transmission lines leo tuna Surplus kwasababu ya Mwalimu Nyerere kuingia lakini Umeme huo hakuna Njia Tunaweza kufiksha Kenya na Kutrade kwenye Pools, Tuwekeze zaidi Kujenga transmission line za Msongo wa Juu wa Voltage 400KV
Kumbe maana yake, hata hii tunaambiwa ni pool, Tanzania itakuwa inachangia kidogo sana ama tuseme hakuna maana hatuna mifereji imara ya kuufikisha huo umeme.

Maana yake ni vile hatuambiwi tu, inawezekana hata ukienda Mwalimu Nyerere ukakuta operations zipo less than 50% kitu ambacho kwangu ni kama loss fulani hivi
 
Kwamba fedha zimekauka hawawezi kupata za kujenga miundombinu na kuifanya efficient ? Kabla ya Bwawa na Kabla ya hawa kununua Ethiopia walikuwa wanatumia Vibatali ?

Issue ni kwamba hatua moja imefanyika waendelee kufanya nyingine, sio kuacha kufanya mambo eti ni mradi wa Trilioni ngapi (unadhani usingefanyika huo kwa kipindi hicho si hizo pesa eventually tungewapa kina Dowans) au kama tunavyowapa hawa wenye mirija yao kwa mgongo wa Umeme kupotea !!??? Kwanini tusijenge hio mioundombinu ili tufike huko border na kuwauzia ziada wote waliotuzunguka ?

Kwanini kama ziada ni kubwa wasipunguze gharama hata wote mijini na vijijini kuwa Tariff Zero ili waweze kupikia kwa kutumia umeme badala ya kuagiza LPG kutoka nje ?

Its about time tuache kulishana lawama na excuses bali action na results...
 
Mbona wameeleza vizuri tu na nimewaelewa
 
Mi nimesema miundombinu nikilenga power grid ile miundombinu ya kusambaza umeme mkubwa kutoka kwenye generation source.

Japo mi sio mtaalamu sana ila kuna power grid na kuna hii miundombinu ya distribution ya kawaida ya umeme wa nguzo za mitaani.

I think hapa hoja kuu iwe ni hiyo miundombinu ya kutoa umeme kwenye generation site, ndio kwa Tanzania itakuwa ni poor ndo maana inakuwa expensive kupeleka umeme wa ziada kwenye northern circuit kiasi tutoe Kenya ambao umetoka Ethiopia
Loss ya tramssion,ni kweli ukiwa na poor infrastructures,wakati wagunduzi wa umeme wanagundua nyaya zinazozuia tramssion loss zilitakiwa ziwe za Material ya Gold sio copper,as long as unatumia copper hata uwezi Kukosa transmission loss , point inarudi pale pale tu
 
..huo umeme tunaonunua mpakani chanzo chake ni ETHIOPIA kwa hiyo hoja yako kuwa Rufiji ni mbali sio sahihi.
Get the fact b4 you open big mouth, Ethiopia inauzia umeme Kenya Kwa Grid yake geographical wako karibu na Kenya on behalf wanauza kwetu as agent Kwa Ethiopian
 
View attachment 3265668

Watu wameng'ang'ania kujadili uhalali wa kuagiza umeme nje ya nchi. Kuna shida ingine kubwa haimulikwi.

Tatizo haswa la Tanzania ni kwamba, baada ya ule mradi wa bwawa la umeme kupitishwa na kuanza rasmi, kuna kitu kingine kilipaswa kufanywa sambamba na mradi wa bwawa la Nyerere, nacho ni Power Grid Transmission infrastructures ambayo ingemudu kusafirisha hicho kiasi kinachozaliswa.

Kwenye uchumi kuna bidha ambazo zonaendana matumizi, ukipika chai, lazima uwena sukari na majani ya chai. Sasa huwezi tu kununua sukari halafu ukasahau majani ya chai.

Walichofanya serikali ya CCM ni kutumia Trillioni 9 (5% ya GDP) kujenga capacity kubwa kiasi hicho na kusahau kuwekeza kwenye Power Grid. Maana yake ni kwamba, kama huna efficiency kwenye transmission, lazima iwe ghali na ineffective kupeleka umeme kule ambapo grid ni changamoto.

Kwa mahesabu ya haraka haraka, ku invest kwenye grid ya 600km inaweza kugharimu kama $1.2 billion (kama trilioni 3 hivi). Na hii risk nadhani ingepaswa kuonekana kwenye andiko la mradi.

Ambacho wangepaswa kufanya serikali ya Samia ni kuomba radhi watanzania kwa kufanya mradi mkubwa wa matrilioni bila kujua ukiisha huo umeme utasafirishwa vip.

Kwahiyo watu wasijikite sana na masuala sijui ya ni halali au sio halali kuagiza umeme nje, au sijui eti hasara ya bilioni 30 kwa mwaka, kuna hoja kubwa ya upotevu wa trillioni 9 ambao kwasasa ni wazi capacity yake haitumiki kwa asilimia 100 kwasababu ya poor grid

Kwahiyo wote mnaotetea kununua nje umeme hamjisikilizi. Na kununua umeme nje sio sustainable, kwasababu hujui ni kwa haraka kiasi gani huo umeme wa nje utamudu demand growth ya Tanzania.

Maana yake hapa ningetegemea serikali ije na project ingine ya kujenga power grid ya 600km ambayo ni uwekezaji kama wa 3 trillion hivi. Huwezi kusema tu tutakuwa tunanunua umeme Ethiopia halafu ukaishis tu hapo bila way forward, ukizingatia una bwawa la 9 trillion pesa zimelala tu hapo.

Inasikitisha
Wimbo wa Luckydube

" One Monster Dies another One Comes alive"

1988
 
Loss ya tramssion,ni kweli ukiwa na poor infrastructures,wakati wagunduzi wa umeme wanagundua nyaya zinazozuia tramssion loss zilitakiwa ziwe za Material ya Gold sio copper,as long as unatumia copper hata uwezi Kukosa transmission loss , point inarudi pale pale tu
Umeme Uko Rufiji Hapo?😅😅😅
 
Get the fact b4 you open big mouth, Ethiopia inauzia umeme Kenya Kwa Grid yake geographical wako karibu na Kenya on behalf wanauza kwetu as agent Kwa Ethiopian
Hahaha.......Yaani Mnachekesha sana.

Sasa Matrilioni yoote mliyotumia si bora mngenunua tu huko huko?
 
Back
Top Bottom