Wananchi tunalalamika na mzigo wa kodi usio wa haki.
Wanaanza kudai kodi ya pango day 1 umepangisha baada ya safari ndefu Isiyowahusu wao ya ujenzi wa nyumba.
https://www.jamiiforums.com/threads/wizi-wa-tra-kupitia-kodi-ya-pango.2058986/
Wao Kodi hawalipi, ila sisi.
Kulikoni bus hili la Namungo kusajiliwa SM? Yaani, pasipo na kulipiwa kodi?
Tunayasikia ya hivi pia kule Nyanyembe Nyota Wakubwa.
Kwamba ni mwendo wa makulaji kwa urefu wa kamba zenu siyo?
Wanaanza kudai kodi ya pango day 1 umepangisha baada ya safari ndefu Isiyowahusu wao ya ujenzi wa nyumba.
https://www.jamiiforums.com/threads/wizi-wa-tra-kupitia-kodi-ya-pango.2058986/
Wao Kodi hawalipi, ila sisi.
Kulikoni bus hili la Namungo kusajiliwa SM? Yaani, pasipo na kulipiwa kodi?
Tunayasikia ya hivi pia kule Nyanyembe Nyota Wakubwa.
Kwamba ni mwendo wa makulaji kwa urefu wa kamba zenu siyo?