Hatari sana kwa kweli.
Ina maana timu ya Namungo ni mradi wa Halmashauri ya Ruangwa?
Una maana Namungo na KMC ni timu za serikali zenye kuendeshwa kwa kodi za wananchi zikiwemo hizi za majengo wengine tunazozilalamikia? Mwongozo wako tafadhali.Namungo ni timu inayomilikiwa na halmashauri ya wilaya ya Ruangwa hivyo mmiliki wa basi hilo si namungo bali ruangwa dc na timu ya ruangwa dc kama ilivyo kwa KMC FC.
Nchi inahitaji ukombozi kuwapa tuliowachagua kutuwakilisha na kuiongoza. Siyo hawa waliojinyakulia wasiojua wanawajibika wapi.Mambo ya connection hayo..
Hapa mbuzi amekula kwa urefu wa kamba yake, kaamua kuila na kamba yenyewe, sasa mbuzi wetu mamvi mpaka piko ni mbuzi huru anakula atakavyo na kwa umbali wowote.Wananchi tunalalamika na mzigo wa kodi usio wa haki.
Wanaanza kudai kodi ya pango day 1 umepangisha baada ya safari ndefu Isiyowahusu wao ya ujenzi wa nyumba.
https://www.jamiiforums.com/threads/wizi-wa-tra-kupitia-kodi-ya-pango.2058986/
Wao Kodi hawalipi, ila sisi.
View attachment 2493683
Kulikoni bus hili la Namungo kusajiliwa SM? Yaani, pasipo na kulipiwa kodi?
Tunayasikia ya hivi pia kule Nyanyembe Nyota Wakubwa.
Kwamba ni mwendo wa makulaji kwa urefu wa kamba zenu siyo?
hapana timu inaendeshwa kwa ufadhili ila inamilikiwa na halmashauri.hata huko nyuma tulikuwa na timu nyingi zilizokuwa zinamilikiwa na mashirika ya umma,lkn utofauti wake ni kuwa zilikuwa zinatumia fedha za serikali.tulikuwa za timu za ujenzi,afya,magereza,polisi,jkt,ushirika moshi nk.kwa sasa kuna maboresho kidogo,wafadhili pamoja na mapato ya timu ndo yanayoendesha timu.pia hilo basi linatumika kwa shughuri mbalimbali za halmashauri.Una maana Namungo na KMC ni timu za serikali zenye kuendeshwa kwa kodi za wananchi zikiwemo hizi za majengo wengine tunazozilalamikia? Mwongozo wako tafadhali.
Acha uongo weweNamungo ni timu inayomilikiwa na halmashauri ya wilaya ya Ruangwa hivyo mmiliki wa basi hilo si namungo bali ruangwa dc na timu ya ruangwa dc kama ilivyo kwa KMC FC.
hapana timu inaendeshwa kwa ufadhili ila inamilikiwa na halmashauri.hata huko nyuma tulikuwa na timu nyingi zilizokuwa zinamilikiwa na mashirika ya umma,lkn utofauti wake ni kuwa zilikuwa zinatumia fedha za serikali.tulikuwa za timu za ujenzi,afya,magereza,polisi,jkt,ushirika moshi nk.kwa sasa kuna maboresho kidogo,wafadhili pamoja na mapato ya timu ndo yanayoendesha timu.
Kuna shida sehemu.Wananchi tunalalamika na mzigo wa kodi usio wa haki.
Wanaanza kudai kodi ya pango day 1 umepangisha baada ya safari ndefu Isiyowahusu wao ya ujenzi wa nyumba.
https://www.jamiiforums.com/threads/wizi-wa-tra-kupitia-kodi-ya-pango.2058986/
Wao Kodi hawalipi, ila sisi.
View attachment 2493683
Kulikoni bus hili la Namungo kusajiliwa SM? Yaani, pasipo na kulipiwa kodi?
Tunayasikia ya hivi pia kule Nyanyembe Nyota Wakubwa.
Kwamba ni mwendo wa makulaji kwa urefu wa kamba zenu siyo?
Unamaanisha hata bus la KMC lina plate number kama za bus la Namungo?Namungo ni timu inayomilikiwa na halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa hivyo mmiliki wa basi hilo si Namungo bali Ruangwa dc na timu ya Ruangwa dc kama ilivyo kwa KMC FC.
Hapa mbuzi amekula kwa urefu wa kamba yake, kaamua kuila na kamba yenyewe, sasa mbuzi wetu mamvi mpaka piko ni mbuzi huru anakula atakavyo na kwa umbali wowote.
Unamaanisha hata bus la KMC lina plate number kama za bus la Namungo?