Serikali ya China inafanikiwa vipi kufanya biashara huku Tanzania tukiaminishwa Serikali haiwezi chochote(Biashara na huduma)

Hatari sana
 
Serikali ya Wachina wanatoa huduma, hawafanyi biashara..
Umepewa data hapo kuwa wanafanya niashara,sasa tu na wewe za kwako kuwa hawafanyi biashara.
Sasa labda nikuulize swali haya makampuni ya serkali ya china ya ukandarasi yaliyojaa Tanzania yanafanya biashara au yanatoa huduma?
 
Hata sisi tukiwa na sheria ya kuuwa wabadhirifu na wezi wa mali za umma serikali yetu itaendesha biashara na kutowa huduma kuliko serikali ya China.
 
Hata sisi tukiwa na sheria ya kuuwa wabadhirifu na wezi wa mali za umma serikali yetu itaendesha biashara na kutowa huduma kuliko serikali ya China.
Hata wewe na nani ccm yako?
Kaa kimya
Ungekuwa karibu ningekuchapa makofi
 
Umepewa data hapo kuwa wanafanya niashara,sasa tu na wewe za kwako kuwa hawafanyi biashara.
Sasa labda nikuulize swali haya makampuni ya serkali ya china ya ukandarasi yaliyojaa Tanzania yanafanya biashara au yanatoa huduma?
Mimi nazungumzia serikali ya china kwa wananchi wake ndani ya china wanatoa huduma hawafanyi biashara unlike huku kwetu nikatoa mfano BRT wanaangalia faida na si huduma . Ofocoz linapokuja swala la nje ya china lazima waangalie faida more business
 
Kunyonga pekee kunaweza tibu changamoto zote katika vitu vya umma ?
Nidhamu ya uoga ni muhimu sana katika Nchi !! Ushuhuda tuliuona japo bado kulikuwa na mapungufu makubwa lakini ilionekana kumbe inawezekana !!
Wahenga walisemaga Ukicheka na………… utavuna mabua 🙏🙏
 
China wanaua wala rushwa na wezi wa mali ya umma bila kujali rangi, dini wala kabila.

Nyie hamuwezi sababu mnaangaliana usoni kosa kafanya nani, kama ni wa dini yako au kabila lako mtafumba macho na kuruhusu ufisadi uendelee midhali ni mwenzenu na anashiriki misa na kuleta sadaka iliyonona au kuleta michango iliyonona ya harusi na misiba.

As long as you can not stand for what is right regardless ya background ya mtu, shirika la umma(SU) kwenu litabaki ni Sina Uchungu(SU) na hivyo hamtaweza kuyaendesha kwa faida kama wachina na ndiyo inabidi mlete investors and foreigners.

It's all down to integrity, you don't have that!
 
Taasisi za umma kufanya biashara ni kichekesho kwa maana vyombo kama CAG na PPRA wao kazi yao kubwa ni kuuliza maswahili ya ajubu mfano ulimpataje huyu mwekezaji ? Hivi nyie mliwahi ona wapi kutangaza tender kwa ajili ya kufanya biashara?
 
Hata ukitoa mawazo hayawez kutekelezwa kwa maana wenye maslah yao watakupga vita. Ndo maana watu wanye mawazo mazur wakiwasilisha wanatupiliwa mbali kwa maslah ya wachache
Na wanaweza wakambambikia jambo lolote baya ili kumnyamazisha milele !!
Wakijidanganya wao wataishi milele kwa furaha !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…