Serikali ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ijiuzulu kwa kushindwa kutumia rasilimali za nchi hii kwa maendeleo ya watu wote

Inaumiza sana
Mpaka unajiuliza hivi hawa vihongozi wetu zipo kweli kichwani.
Haiwezekani mtu mmoja atembelee V8 ya 400 millions huku watu 40000 wakinywa maji na mbwa pamoja na ng'ombe kisa tu pump ya million 100 imekosekana
Wapo kwa ajili ya maslai yao,
 
Maendeleo ya kitaifa huanzia kichwani kwa mtu mmoja mmoja. Kama unao ubunifu hujakatazwa kuutumia kwa faida ya jamii inayokuzunguka.

Ni mtazamo wa kizamani kuendelea kulialia wakati tumezungukwa na rasilimali za kila aina. Kulaumu serikali kwa kushindwa kuleta maendeleo wakati wewe ni mtanzania ni aibu kwako pia.

Kutumia picha za kudhalilisha kuonyesha umaskini wakati na wewe unayo passport ya Tanzania ni kuendelea kujidhalilisha pia.
 
Mkuregenzi ananuliwa v8 la milioni 400 la kumpeleka kazini na kupeleka watoto wake shule ndio Kazi kubwa ya haya ma v8 Ili ailinde tu ccm
CCM ya sasa ni Zimwi katika uhalisia wake.Wanaifyonza nchi hii kuliko Kupe au Ruba,na ndiyo maana wakuhisi tu unatishia,unanyemelea au kutamani kuwaondoa katika utawala wao hata kwa njia halali kama uchaguzi huru ama Katiba/sheria mpya, lazima wakuangamize kisiasa,kiuchumi,kijamii na hata jela/kifo kabisa.
They have turned into Vampires!
 
True ni kikundi cha wapigaji wachache wa kunufaika na kodi zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…