Wapo kwa ajili ya maslai yao,Inaumiza sana
Mpaka unajiuliza hivi hawa vihongozi wetu zipo kweli kichwani.
Haiwezekani mtu mmoja atembelee V8 ya 400 millions huku watu 40000 wakinywa maji na mbwa pamoja na ng'ombe kisa tu pump ya million 100 imekosekana
Nadhani boss wake alitumia ugonjwa kutakatishia kodi zetu.Job kawekeza Dodoma,baada ya jiwe Dodoma inakufa inamchanganya Sana job,wapangaji utawapata wapiSpeaker alitibiwa kwa Trilion mbili nchini India
Ninasikia ana ghorofa kadhaa mjini DodomaNadhani boss wake alitumia ugonjwa kutakatishia kodi zetu.Job kawekeza Dodoma,baada ya jiwe Dodoma inakufa inamchanganya Sana job,wapangaji utawapata wapi
True ana kijiji kupitia kodi zetu kutakasia kwenye matibabu.Ninasikia ana ghorofa kadhaa mjini Dodoma
Maendeleo ya kitaifa huanzia kichwani kwa mtu mmoja mmoja. Kama unao ubunifu hujakatazwa kuutumia kwa faida ya jamii inayokuzunguka.Habari!
Huu uzi ninauandika nikiwa na jazba na ghazabu.
Nimefanya kazi mgodi wa GGM(GEITA GOLD MINE), kisha nikafanya Mgodi wa Bulyanhulu uliokuwa ukimilikiwa na Barrick kisha Acacia.
Ardhi yetu imemeza matrilioni ya fedha.
Nimefanya kazi kwenye hifadhi ya Serengeti kwenye hoteli ya kitalii FOUR seasons na kuizungukia hifadhi kwa umakini siku za off. Ni utajiri mtupu.
Ukianzia Tanga mpaka Mtwara kuna bahari, kuna maziwa, kuna hifadhi nyingi, kuna mapori mengi.
Tuna madini ya chuma, gesi, makaa ya mawe, ardhi inayosapoti kila aina ya mazao. Kama zao hili halikubali Mbeya basi Morogoro linakubali, kama Lindi halikubali Njombe linakubali n.k, n.k
Sasa mpaka leo serikali imeshindwa kutoa mkopo kwa wanafunzi wote wa chuo kikuu,
Serikali imeshindwa kutoa huduma za afya bure.
Serikali imeshindwa kuondoa nyumba za manyasi na udongo kwa kuboresha sekta ya kilimo na ufugaji.
Je, si wakati sasa serikalini kujiuzulu?
View attachment 2073871hii ni shule ya serikali jamani sio kilinge cha mganga wa kienyeji.
CCM ya sasa ni Zimwi katika uhalisia wake.Wanaifyonza nchi hii kuliko Kupe au Ruba,na ndiyo maana wakuhisi tu unatishia,unanyemelea au kutamani kuwaondoa katika utawala wao hata kwa njia halali kama uchaguzi huru ama Katiba/sheria mpya, lazima wakuangamize kisiasa,kiuchumi,kijamii na hata jela/kifo kabisa.Mkuregenzi ananuliwa v8 la milioni 400 la kumpeleka kazini na kupeleka watoto wake shule ndio Kazi kubwa ya haya ma v8 Ili ailinde tu ccm
True ni kikundi cha wapigaji wachache wa kunufaika na kodi zetuCCM ya sasa ni Zimwi katika uhalisia wake.Wanaifyonza nchi hii kuliko Kupe au Ruba,na ndiyo maana wakuhisi tu unatishia,unanyemelea au kutamani kuwaondoa katika utawala wao hata kwa njia halali kama uchaguzi huru ama Katiba/sheria mpya, lazima wakuangamize kisiasa,kiuchumi,kijamii na hata jela/kifo kabisa.
They have turned into Vampires!