Serikali ya Kenya imepiga marufuku shule za bweni kwa ngazi ya msingi, sisi ndiyo kwanza tunakumbatia

Kwa Tz sheria imelekebishwa watoto wanaotakiwa kukaa bording ni kuanzia darasa la iv

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sheria ni kwa shule zipi za Serikali au private?
Kama inahusisha private schools ni hopeless decision

Mambo mengine washirikishwe wazazi kuamua kipi kiwe kipi sio kukaa ofisini tu na kuamua bila kushirikisha wazazi
 
We ni mjinga sana na mpumbavu
Peleka mwanao boarding acha kushawishi wengine

Unakwepa malezi wewe mvivu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
We ni mjinga sana na mpumbavu
Peleka mwanao boarding acha kushawishi wengine

Unakwepa malezi wewe mvivu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimeshawapekeka sana tu wako vizuri kuliko misoma day kuanzia maadili hadi ufaulu fuatilia matokeo yote ya shule za msingi miaka kibao best performers hawatoki day schools za Primary aslimia kubwa

Hiyo mitoto ya day ni kuku wa mdondo watoto wa mama

Check Necta Results

Mtoto hawezi kufanya vizuri kama maadili yako chini

Day schools maadili yako chini yaweza kuwa juu shuleni lakini nyumbani zero!! Mtoto hawezi perform vizuri kunatakiwa balance

Ukiwa mbovu maadili nyumbani usirarajie mtoto ku perform
 
Naunga mkono hilo maana ata mimi kumpeleka mtoto mdogo boarding siwezi lakini sio kila cha kenya lazima na sisi tufanye
 
We ni mjinga sana na mpumbavu
Peleka mwanao boarding acha kushawishi wengine

Unakwepa malezi wewe mvivu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ujiandae kama wewe ndio ulishauri bweni zifutwe jiandae kufutwa kazi na kuonekana bwege na ushauri wako wa kibwege

It is just a matter of time utakuwa kicked out hopeless wewe kama uko serikalini mpuuzui wewe
 
Ujiandae kama wewe ndi ulishauri bweni zifutwe jiandae kufutwa kazi na kuonekaba bwege na ushauri wako wa kibwege

It is just a matter of time utakuwa kicked out hopeless wewe kama uko serikalini mpuuzui wewe
Ntakunyoosha
Watu wapumbavu kama wewe dawa yenu inachemka

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ntakunyoosha
Watu wapumbavu kama wewe dawa yenu inachemka

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwenda huko mjinga wewe

Wapumbavu kama nyinyi ndio mnasababisha nchi isende mbele pumbafu wewe

Umnyooshe nani nani bwege wewe

Akili huna kwanza kama kuna mtu aliikupa cheo mwambie kabisa aliyekupendekeza wewe upate cheo bwege asimwamini tena
 
Hiyo sheria ni kwa shule zipi za Serikali au private?
Kama inahusisha private schools ni hopeless decision

Mambo mengine washirikishwe wazazi kuamua kipi kiwe kipi sio kukaa ofisini tu na kuamua bila kushirikisha wazazi
Wewe huwa huna hoja, huna akili. Hopeless kabisa. Kwa hiyo unataka mtoto wa miaka mitano-kumi aende bweni? Majukumu yako kama mzazi unamuachia nani?

Watu kama hampo tayari kuzaa ni heri muache.
 
Uvivu wa kulea na hii inasababishwa na wanawake wasiojua nafasi zao kwenye malezi. Madanga yaliyobahatisha ndoa
 
Wewe huwa huna hoja, huna akili. Hopeless kabisa. Kwa hiyo unataka mtoto wa miaka mitano-kumi aende bweni? Majukumu yako kama mzazi unamuachia nani?

Watu kama hampo tayari kuzaa ni heri muache.
Hayakuhusu kila mzazi anajua wajibu wake hahitaji kuelekezwa na serikali amleaje mwanae na asome bweni au day sio kazi ya serikali hiyo

Waambie wenzio wanaotaka kuingilia mambo ya patenting at individual level kuwa hiyo sio kazi ya serikali iwe serikali ya Kenya au Tanzania

Mtoto asome wapi day or boarding it is a parental decision not a government decision mwambieni Ruto na mibwege iliyo wizara ya Elimu Tanzania inayojitia mishauri ya Elimu isishuke down to the level of a parent decision
 
Wewe huwa huna hoja, huna akili. Hopeless kabisa. Kwa hiyo unataka mtoto wa miaka mitano-kumi aende bweni? Majukumu yako kama mzazi unamuachia nani?

Watu kama hampo tayari kuzaa ni heri muache.
Mambo ya kuingiliana personal issues na serikali sitaki
Mwanangu asome bweni au day sio issue ya serikali ni personal parental issue

Kaa mbali na personal issue uwe binafsi,serikali iwe ya Rutto au ya Samia

Mtoto asome wapi sio uamuzi wa serikali qsome Bweni au day sio kazi ya serikali kuamua ni ya mzazi
 
Safi sana wakenya,mnajitambua sana
Toka lini serikali imegeuka kujipa jukumu la kushuka chini kumuelekeza mzazi aleaje mwanawe au asomeshe wapi? Day au boarding

Hiyo kazi kikatiba Raisi wa Kenya kioengele kipi cha katiba ya Kenya kinampa huo uwezo wa kuingilia mzazi asomeshe mwanawe wapi shule ya Bweni au day?

Katiba ndio Sheria mama ya Sheria zote Raisi Ruto hilo la kuamtaka mzazi asomeshe day au Bweni mwanae kalitoa wapi kwenye katiba ya Kenya?
 
Kwenda huko mjinga wewe

Wapumbavu kama nyinyi ndio mnasababisha nchi isende mbele pumbafu wewe

Umnyooshe nani nani bwege wewe

Akili huna kwanza kama kuna mtu aliikupa cheo mwambie kabisa aliyekupendekeza wewe upate cheo bwege asimwamini tena
Nmekuambia wewe mpumbavu
Ntakunyoosha
Wewe mpuuzi kwa umri huo umeifanyia nn hii nchi??
Kazi kupiga tuu Domo
Huna adabu wewe kijana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Maelezo mareefu lakini pumba tupu.. Mfano katika wazazi 1000 ni wangapi wana hizo scenario unazosema? Pili changamoto za watoto kufanyiwa mambo mabaya kama kulawitiwa na mengineyo ni nyingi mnoo, so bora watoto wawe na wazazi wao mpaka walau sekondari.
 
Sijasoma takataka uliyahara Ila we ni mpuuzi Tu
 
kenya ndiyo wametangaza kupiga marufuku boarding school na hawajaanza kupractice hiyo marufuku, lakini cha ajabu umeshaanza kuponda nchi yako. Unaona kenya ni mbinguni?

I pity you
Mtu akija na wazo zuri anapongezwa, tatizo nyie mmezoea mapambio, hata mtu akija na hoja nzuri akiwa tuu tofauti mnamponda mtu badala ya kujadili hoja yake. JPM alipomfukuza CAG Prof Assad nyie pengine ndiyo mlishadidia, na sasa mahakama imesema alivunja katiba mnashangilia tena. Jifunzeni kuiangalia hoja yenyewe kama ina mantiki au laa badala ya kuangalia imetoka Kenya au Rwandan...
 
Huo ni uamuzi wa kijinga kuwahi kutokea. Athari za hayo maamuzi ni makubwa sana.
 
Hivi kabla ya hizi academy kuanza miaka ya nyuma kulikuwa na boarding za primary? Boarding zote zilikuwa kuanzia secondary... Mfano Tanzania kwa sasa kila kata kuna shule za msingi na sekondari sasa tatizo liko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…