Hiyo sheria ni kwa shule zipi za Serikali au private?Kwa Tz sheria imelekebishwa watoto wanaotakiwa kukaa bording ni kuanzia darasa la iv
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni mjinga sana na mpumbavuKenya kuna vitu akili hawana kabisa wajinga sifuri
Mtu mume na mke wote mume wanajeshi yuko kikosi cha Kenya kilichoko Somalia
Mwingine mwanajeshi mwanamke yuko Kikosi cha jeshi cha Kenya kilichoko kongo
Mtoto wao unapotaka kuwa awe na wazazi wake asiwe bweni asome wapi congo au Somalia day school?
Wakenya kwa hili hopeless kabisa
Unakuta mfano mama changudoa malaya anajiuza chumba anakitumia kujiuza humo humo wanachokaa na mtoto anaishi na mtoto uwanja wa fisi kwa malaya usalama wa huyo mtoto ni bweni
Factors za kupeleka watoto bweni ziko nyingi mno mojawapo ni kuhakikisha mtoto anaondoka eneo hatarishi kwa mtoto
Kuna day mtoto anasafiri umbali mrefu mno kwenda shule
Pia kuna wafugaji huhama hama kutoka eneo moja kwenda lingine ambalo hata shule hizo za day hazipo solution yao ya watoto wao kusoma ilikuwa bweni
Kuna Wakenya Diaspora mume na mke wako nje watoto husomesha Bweni Kenya sababu hawawezi afford kusomesha watoto wao nchi waliko Anataka wasome day ipi? Uamuzi wa kijinga Ruto na serikali yake wa wamefanya
Kenya wamefanya uamuzi wa kijinga sana .Tanzania tusije kuiga.uamuzi huo Utamlipukia puani Ruto sio muda mrefu utelekezaji ukianza.Mark my words.
Nimeshawapekeka sana tu wako vizuri kuliko misoma day kuanzia maadili hadi ufaulu fuatilia matokeo yote ya shule za msingi miaka kibao best performers hawatoki day schools za Primary aslimia kubwaWe ni mjinga sana na mpumbavu
Peleka mwanao boarding acha kushawishi wengine
Unakwepa malezi wewe mvivu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ujiandae kama wewe ndio ulishauri bweni zifutwe jiandae kufutwa kazi na kuonekana bwege na ushauri wako wa kibwegeWe ni mjinga sana na mpumbavu
Peleka mwanao boarding acha kushawishi wengine
Unakwepa malezi wewe mvivu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
NtakunyooshaUjiandae kama wewe ndi ulishauri bweni zifutwe jiandae kufutwa kazi na kuonekaba bwege na ushauri wako wa kibwege
It is just a matter of time utakuwa kicked out hopeless wewe kama uko serikalini mpuuzui wewe
Kwenda huko mjinga weweNtakunyoosha
Watu wapumbavu kama wewe dawa yenu inachemka
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe huwa huna hoja, huna akili. Hopeless kabisa. Kwa hiyo unataka mtoto wa miaka mitano-kumi aende bweni? Majukumu yako kama mzazi unamuachia nani?Hiyo sheria ni kwa shule zipi za Serikali au private?
Kama inahusisha private schools ni hopeless decision
Mambo mengine washirikishwe wazazi kuamua kipi kiwe kipi sio kukaa ofisini tu na kuamua bila kushirikisha wazazi
Hayakuhusu kila mzazi anajua wajibu wake hahitaji kuelekezwa na serikali amleaje mwanae na asome bweni au day sio kazi ya serikali hiyoWewe huwa huna hoja, huna akili. Hopeless kabisa. Kwa hiyo unataka mtoto wa miaka mitano-kumi aende bweni? Majukumu yako kama mzazi unamuachia nani?
Watu kama hampo tayari kuzaa ni heri muache.
Mambo ya kuingiliana personal issues na serikali sitakiWewe huwa huna hoja, huna akili. Hopeless kabisa. Kwa hiyo unataka mtoto wa miaka mitano-kumi aende bweni? Majukumu yako kama mzazi unamuachia nani?
Watu kama hampo tayari kuzaa ni heri muache.
Toka lini serikali imegeuka kujipa jukumu la kushuka chini kumuelekeza mzazi aleaje mwanawe au asomeshe wapi? Day au boardingSafi sana wakenya,mnajitambua sana
Nmekuambia wewe mpumbavuKwenda huko mjinga wewe
Wapumbavu kama nyinyi ndio mnasababisha nchi isende mbele pumbafu wewe
Umnyooshe nani nani bwege wewe
Akili huna kwanza kama kuna mtu aliikupa cheo mwambie kabisa aliyekupendekeza wewe upate cheo bwege asimwamini tena
Maelezo mareefu lakini pumba tupu.. Mfano katika wazazi 1000 ni wangapi wana hizo scenario unazosema? Pili changamoto za watoto kufanyiwa mambo mabaya kama kulawitiwa na mengineyo ni nyingi mnoo, so bora watoto wawe na wazazi wao mpaka walau sekondari.Kenya kuna vitu akili hawana kabisa wajinga sifuri
Mtu mume na mke wote mfano wote wanajeshi mume mwanajeshi yuko kikosi cha Kenya kilichoko Somalia
Mwingine mwanajeshi mwanamke mkewe yuko Kikosi cha jeshi cha Kenya kilichoko kongo
Mtoto wao unapotaka kuwa awe na wazazi wake asiwe bweni asome wapi congo au Somalia day school?
Wakenya kwa hili hopeless kabisa
Unakuta mfano mama changudoa malaya anajiuza chumba anakitumia kujiuza humo humo wanachokaa na mtoto anaishi na mtoto uwanja wa fisi kwa malaya usalama wa huyo mtoto ni bweni
Factors za kupeleka watoto bweni ziko nyingi mno mojawapo ni kuhakikisha mtoto anaondoka eneo hatarishi kwa mtoto
Kuna day mtoto anasafiri umbali mrefu mno kwenda shule
Pia kuna wafugaji huhama hama kutoka eneo moja kwenda lingine ambalo hata shule hizo za day hazipo solution yao ya watoto wao kusoma ilikuwa bweni
Kuna Wakenya Diaspora mume na mke wako nje watoto husomesha Bweni Kenya sababu hawawezi afford kusomesha watoto wao nchi waliko Anataka wasome day ipi? Uamuzi wa kijinga Ruto na serikali yake wa wamefanya
Kenya wamefanya uamuzi wa kijinga sana .Tanzania tusije kuiga.uamuzi huo Utamlipukia puani Ruto sio muda mrefu utelekezaji ukianza.Mark my words.
Sijasoma takataka uliyahara Ila we ni mpuuzi TuKenya kuna vitu akili hawana kabisa wajinga sifuri
Mtu mume na mke wote mfano wote wanajeshi mume mwanajeshi yuko kikosi cha Kenya kilichoko Somalia
Mwingine mwanajeshi mwanamke mkewe yuko Kikosi cha jeshi cha Kenya kilichoko kongo
Mtoto wao unapotaka kuwa awe na wazazi wake asiwe bweni asome wapi congo au Somalia day school?
Wakenya kwa hili hopeless kabisa
Unakuta mfano mama changudoa malaya anajiuza chumba anakitumia kujiuza humo humo wanachokaa na mtoto anaishi na mtoto uwanja wa fisi kwa malaya usalama wa huyo mtoto ni bweni
Factors za kupeleka watoto bweni ziko nyingi mno mojawapo ni kuhakikisha mtoto anaondoka eneo hatarishi kwa mtoto
Kuna day mtoto anasafiri umbali mrefu mno kwenda shule
Pia kuna wafugaji huhama hama kutoka eneo moja kwenda lingine ambalo hata shule hizo za day hazipo solution yao ya watoto wao kusoma ilikuwa bweni
Kuna Wakenya Diaspora mume na mke wako nje watoto husomesha Bweni Kenya sababu hawawezi afford kusomesha watoto wao nchi waliko Anataka wasome day ipi? Uamuzi wa kijinga Ruto na serikali yake wa wamefanya
Kenya wamefanya uamuzi wa kijinga sana .Tanzania tusije kuiga.uamuzi huo Utamlipukia puani Ruto sio muda mrefu utelekezaji ukianza.Mark my words.
Mtu akija na wazo zuri anapongezwa, tatizo nyie mmezoea mapambio, hata mtu akija na hoja nzuri akiwa tuu tofauti mnamponda mtu badala ya kujadili hoja yake. JPM alipomfukuza CAG Prof Assad nyie pengine ndiyo mlishadidia, na sasa mahakama imesema alivunja katiba mnashangilia tena. Jifunzeni kuiangalia hoja yenyewe kama ina mantiki au laa badala ya kuangalia imetoka Kenya au Rwandan...kenya ndiyo wametangaza kupiga marufuku boarding school na hawajaanza kupractice hiyo marufuku, lakini cha ajabu umeshaanza kuponda nchi yako. Unaona kenya ni mbinguni?
I pity you
Hivi kabla ya hizi academy kuanza miaka ya nyuma kulikuwa na boarding za primary? Boarding zote zilikuwa kuanzia secondary... Mfano Tanzania kwa sasa kila kata kuna shule za msingi na sekondari sasa tatizo liko wapi?Nimekupa mfano mmojawapo kuna maelfu ya wanajeshi Huish.makambini hata ndani ya Kenya na huhama hama kila wakati kwenda mikambi mingine maporini
Solution ya watoto ni bweni
Hiyo nimetoa mfano proffession moja tu
Kuna madereva safari ndefu hawawi nyumbani na mkee ni house girl kwenye nyumba ya tajiri mmoja anakaa huko huko.Bosi hataki housegirl mwenye mtoto.aje naye kwake akae naye
Kukataza bweni Ruto na serikali yake hawajiekewi kabisa wako sifuri
Msimamo wangu time will tell utelekezaji ukianza .Wakenya nawajua they are no nonsense people. Utelekezaji ukianza Ruto atapata resistance kubwa mno toka kwa wakenya
January 2023 sio mbali asubiri muziki wake toka kwa wakenya
Watanzania huo uamuzi tukae nao mbali tusithubutu kuiga ni wa kijinga na utapata resistance kubwa mno utelekezaji ukianza
Hao watoa maamuzi pressure ikiwa kubwa ya wakenya kupinga Raisi Ruto kujikosha atawapiga chini wote na kuwafuta vyeo kuwa walimshauri vibaya!!!