Serikali ya kenya Kenya Kutumia $885mn (1.8trilion ) kujenga daraja la 500m Likoni

LDC problems.
Concentrate on your own shithole.

Kenya is a land of rule of law. Compensations must be paid, unlike your dictatorial kingdom of makufuli.

Furthermore, the feasibility study was done by Japan. They arrived at the cost.
Ah ah nyie jamaa mmezoea kupigwa hadi mnahalalisha ujinga.....hizo compensation mnalipa salami mnahalalisha day.. ..halafu kwahiyo wajapan wakiwaambia Kula magic mnakula ndo maana mmeuza bandari kwa wachina
 
Ah ah na nyie kwa akill zenu mnakubali ujinga...kwani hua mnatumia makalio kufikili?
 
Unawashwa kuskia hzo hela zitasimamia mpka SEZ kabisa...
Tatizo ulikurupuka, hukuielewa movie km inaendaja...so rudi ukasome vizuri tu
 
Heheeee!!pesa yote eti ni ya nn?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]imekuumia kuskia hyo hela inasimamia mpka SEZ kabisa...

Tatizo unafikiria km hku ni chato, mawazo ya mwana ccm huchukuliwa ndio ukwel...pole babu
 
Kanya-ndogo-kundu...dah we mkenya wa mombasa nn
 
Heheeee!!pesa yote eti ni ya nn?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]imekuumia kuskia hyo hela inasimamia mpka SEZ kabisa...

Tatizo unafikiria km hku ni chato, mawazo ya mwana ccm huchukuliwa ndio ukwel...pole babu
Inafurahisha zaidi ninapokusoma katika uandishi wa namna hii. [emoji382] [emoji382]
 
LDC problems.
Concentrate on your own shithole.

Kenya is a land of rule of law. Compensations must be paid, unlike your dictatorial kingdom of makufuli.

Furthermore, the feasibility study was done by Japan. They arrived at the cost.
Uuh...so Japanese are your God? If they told you the cost is usd 885mil you just say amen..and you can't even ask how they arrived to that figure?

Chinese told us the cost for our sgr is usd 7bil+....but now we're doing it for usd 3bil.
 
Duh??!!! this robbery is of another level😮😮😮😮😮😮😮😮 khaaaaa
 
Ndo nilikwambia km ulikurupuka...cheki hyo kwanza[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Code:
Halafu nimekufungulia usome vizuri...tatizo we mkurupukaji...sijui ni kingereza huelewi au nn?[emoji116][emoji116][emoji116]
 
Tatizo mlitaka low quality...ndo manake mturuki anawajengea kituko sai...
Uuh...so Japanese are your God? If they told you the cost is usd 885mil you just say amen..and you can't even ask how they arrived to that figure?

Chinese told us the cost for our sgr is usd 7bil+....but now we're doing it for usd 3bil.
 
Endelea kuumia...kitu cha 1.5km kinawaumiza...uliuliza compensation ni ya nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Punguzeni presha jamani, manake naona mnamwaga povu lkn kw kisngizio eti pesa nyingi
Duh??!!! this robbery is of another level[emoji50][emoji50][emoji50][emoji50][emoji50][emoji50][emoji50][emoji50] khaaaaa
 
Povu rukhsa[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
[emoji116][emoji116][emoji116]
Inafurahisha zaidi ninapokusoma katika uandishi wa namna hii. [emoji382] [emoji382]
 
Heheeee!!pesa yote eti ni ya nn?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]imekuumia kuskia hyo hela inasimamia mpka SEZ kabisa...

Tatizo unafikiria km hku ni chato, mawazo ya mwana ccm huchukuliwa ndio ukwel...pole babu
Bwaaaaaahhhhhh mkikuyu una furahi kutafuna Pesa za wakenya kifisadi ngoja uchaguzi ujao mchinjane
 
Hapa kiasi cha pesa kilichotajwa ni zaidi ya $2B, daraja pekee ni zaidi ya $800M, hivyo vingine vitameza $1.2B, lakini hadi sasa pesa iliyopatikana ni hiyo Ksh 46B, sasa wapi pameandikwa daraja litagharimu Ksh 46B?. Hahahaha, Hahahaha, wajinga sana ninyi.
 
Halafu hili ni lefu zaidi ya njia tatu kila upande gharama chini zaidi
 
waswahili mipumpavuuu tatizo lugha hata hawaielewi!! wanatirirka povu tu, pesa ni zetuuuu kwani mnaumiaa!?😛😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…