Serikali ya kenya Kenya Kutumia $885mn (1.8trilion ) kujenga daraja la 500m Likoni

Serikali ya kenya Kenya Kutumia $885mn (1.8trilion ) kujenga daraja la 500m Likoni

LDC problems.
Concentrate on your own shithole.

Kenya is a land of rule of law. Compensations must be paid, unlike your dictatorial kingdom of makufuli.

Furthermore, the feasibility study was done by Japan. They arrived at the cost.
Ah ah nyie jamaa mmezoea kupigwa hadi mnahalalisha ujinga.....hizo compensation mnalipa salami mnahalalisha day.. ..halafu kwahiyo wajapan wakiwaambia Kula magic mnakula ndo maana mmeuza bandari kwa wachina
 
Ah ah na nyie kwa akill zenu mnakubali ujinga...kwani hua mnatumia makalio kufikili?
 
Unawashwa kuskia hzo hela zitasimamia mpka SEZ kabisa...
Tatizo ulikurupuka, hukuielewa movie km inaendaja...so rudi ukasome vizuri tu
Hahahaha, lete ushahidi kama hilo darasha litatumia 46B. Hahahaha mnaona kukubaliana na ukweli kwamba mnaendelea kuibiwa kama kawaida yenu. $886M kujenga daraja moja ni aibu ya karne, iweje gharama ya daraja moja iwe ni Mara mbili ya gharama za Thika high way?, wajinga sana ninyi.
 
Heheeee!!pesa yote eti ni ya nn?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]imekuumia kuskia hyo hela inasimamia mpka SEZ kabisa...

Tatizo unafikiria km hku ni chato, mawazo ya mwana ccm huchukuliwa ndio ukwel...pole babu
Hivi kwenyu pia kuna SGR?

Reli yenu hapo naifananisha na benguela railway ya Angola. From lobito port to southern DRC. Ina urefu wa zaidi ya kilomita 1k..kama 1300km. Angalia cost waliyotumia kujenga Hiyo railway. Angalia locomotives zake, vichwa na behewa. Halafu imejengwa na same company iliyojenga hiyo yenu. Ndio size yenu hiyo chinnese standard neno hilo liliwazuzua.

Halafu hapo likoni hakuna cha kusema kuna pesa ya SEZ! Pesa yote ni ya daraja tu na 85% ndio loan na the rest ni grants. Halafu unajua mkijenga madaraja sita tu kama hilo la likoni kwa kutumia cost hizo thamani yake ikoje? Hahah yani mkijenga 6 kama hilo ni pesa inayotosha kujenga hiyo reli yenu from Mombasa to UG border.
 
mjinga ni anaye comment bila hata kuresearch na kujitahidi kutuaminisha tufwate maoni yake.Just Google or simply search huko YouTube.
Ndogo kundu Special economic zone project na Mombasa gate project(likoni bridge)are two totally different projects but financed by one financial institution, jica to a tune of 88b ksh.46b goes to the bridge rest to sez.
Kanya-ndogo-kundu...dah we mkenya wa mombasa nn
 
Heheeee!!pesa yote eti ni ya nn?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]imekuumia kuskia hyo hela inasimamia mpka SEZ kabisa...

Tatizo unafikiria km hku ni chato, mawazo ya mwana ccm huchukuliwa ndio ukwel...pole babu
Inafurahisha zaidi ninapokusoma katika uandishi wa namna hii. [emoji382] [emoji382]
 
LDC problems.
Concentrate on your own shithole.

Kenya is a land of rule of law. Compensations must be paid, unlike your dictatorial kingdom of makufuli.

Furthermore, the feasibility study was done by Japan. They arrived at the cost.
Uuh...so Japanese are your God? If they told you the cost is usd 885mil you just say amen..and you can't even ask how they arrived to that figure?

Chinese told us the cost for our sgr is usd 7bil+....but now we're doing it for usd 3bil.
 
Duh??!!! this robbery is of another level😮😮😮😮😮😮😮😮 khaaaaa
 
Ndo nilikwambia km ulikurupuka...cheki hyo kwanza[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Ninyi ni watu wa hovyo, ndio sababu wachina wanawachezea sana.
Code:
Halafu nimekufungulia usome vizuri...tatizo we mkurupukaji...sijui ni kingereza huelewi au nn?[emoji116][emoji116][emoji116]
20191005_233249.jpeg
20191005_233200.jpeg
 
Tatizo mlitaka low quality...ndo manake mturuki anawajengea kituko sai...
Uuh...so Japanese are your God? If they told you the cost is usd 885mil you just say amen..and you can't even ask how they arrived to that figure?

Chinese told us the cost for our sgr is usd 7bil+....but now we're doing it for usd 3bil.
 
Endelea kuumia...kitu cha 1.5km kinawaumiza...uliuliza compensation ni ya nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Punguzeni presha jamani, manake naona mnamwaga povu lkn kw kisngizio eti pesa nyingi
Duh??!!! this robbery is of another level[emoji50][emoji50][emoji50][emoji50][emoji50][emoji50][emoji50][emoji50] khaaaaa
Screenshot_20191005-232954_Opera%20Mini%20beta.jpeg
 
Povu rukhsa[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
[emoji116][emoji116][emoji116]
Inafurahisha zaidi ninapokusoma katika uandishi wa namna hii. [emoji382] [emoji382]
Screenshot_20191005-232954_Opera%20Mini%20beta.jpeg
 
Heheeee!!pesa yote eti ni ya nn?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]imekuumia kuskia hyo hela inasimamia mpka SEZ kabisa...

Tatizo unafikiria km hku ni chato, mawazo ya mwana ccm huchukuliwa ndio ukwel...pole babu
Bwaaaaaahhhhhh mkikuyu una furahi kutafuna Pesa za wakenya kifisadi ngoja uchaguzi ujao mchinjane
 
Ndo nilikwambia km ulikurupuka...cheki hyo kwanza[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Code:
Halafu nimekufungulia usome vizuri...tatizo we mkurupukaji...sijui ni kingereza huelewi au nn?[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1224636View attachment 1224637
Hapa kiasi cha pesa kilichotajwa ni zaidi ya $2B, daraja pekee ni zaidi ya $800M, hivyo vingine vitameza $1.2B, lakini hadi sasa pesa iliyopatikana ni hiyo Ksh 46B, sasa wapi pameandikwa daraja litagharimu Ksh 46B?. Hahahaha, Hahahaha, wajinga sana ninyi.
 
Hahaha wakati Tanzania inajenga daraja lenye urefu wa 3.2 kilometres kwa gharama ambayo ni sawa na kujenga madaraja mengine mawili zaidi kama hayo kwa hiyo pesa ya Kenya ya kujenga daraja moja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna nchi zimerogwa

Halafu hili ni lefu zaidi ya njia tatu kila upande gharama chini zaidi
 
waswahili mipumpavuuu tatizo lugha hata hawaielewi!! wanatirirka povu tu, pesa ni zetuuuu kwani mnaumiaa!?😛😀
 
Back
Top Bottom