Serikali ya Kenya kuwaajiri madaktari kutoka Tanzania, Uhabeshi na Cuba

Ila hapa naona Tanzania wakifaidi sana iwe kwamba mpango huu utaendelea. Vipi madaktari watz wataajiriwa wote Kenya na Tanzania?? Naona hapa noma sana
Itasaidia hao madaktari wa Tanzania ila nini itakuwa hatma ya madaktari wa Kenya?
 
Poa Edward Wanjala
 
Kwa mishahara ya bongo nadhani kwetu atabaki mgsnga mkuu wa serikali na Kigwangala tu
Fanya utafiti ujue gharama za maisha za Kenya Tanzania, Kenya gharama za maisha zipo juu sana ukilinganisha na Tanzania.
 
Actually intelligence officials intercepted communication between three officials of the union on monday evening, after being breifed about it thats why you saw uhuru came out on tuesday breathing fire. I remember Atwoli advised them to first take the offer then demand more later.. Now they will walk away with rotten egg in their face.. You can't take on a government and win, it always has a monopoly of everything
 
Wacha waende tu mana serikali yetu haioni umuhimu wao.
Kukianza kuwa na uhaba huku kwetu ndio itatia akili.
Sasa hivi wanajifanya kuziba masikio na nakujifanya hawaoni.
 
Hawa ma dokta wanaudhi sana.
Wanataka mshahara milion moja ya kenya yani dola elfu 10 ya marekani. Ha ha ha ha Wahuni kweli, yani kwa mwaka avute dola laki 120. Hayo madai wanayatoa wapi hawa ndugu zetu? Mshahara aliowapa Uhuru wa ongezeko la 50% is very reasonable.
 
Naona dalali za hospitali zetu hapa bongo kukaukiwa madokta. Ninaamini wengi sana wataondoka maana huku nahisi mshahara wao ni mdogo plus maudhi ya wakuu wa mikoa na wilaya ya kuwasweka ndani hata kwa mambo yasiyo ya msingi.

Akiondoka Doctor Imekula kwake
kule haitakuwa kazi ya kudumu
 

Kunakazi zingine ni Wito na kujitoa tu
Lakini ukitaka Kukomoa ni mtihani
maana Uchumi wa nchi hizi bado kufikia huko
 
Nchi ndio huwa inakufa taratibu. Hii ni kwa sababu ya tamaa za wachache. Ni lazima intelligent ya kenya ifanye kazi kwa nguvu.
The impact of income inequality..... class struggle..... guess who is next to go on endless strike...... teachers group.....
 
I do not welcome the idea that our health system should exclusively be handled by foreigners yet this is the only strike where the participants have cede zero grounds. What i have learned from the saga is that when Raila is president, the unions should not have 4 Kamaus and zero Onyango. There is too much politics is this that we can only pray for sane minds. Going forward, i have no doubt that if the Tanzanians come here they would dutifully perform their roles. In my elementary years we had Ugandan teachers and i don't remember them facing any issues in their line of work; Kenyans will adjust but the political repercussions may be dire
 
Kwanini waliwakubalia in the first place; halafu kwenye kutekeleza ikawa issue?
 
Kwanini waliwakubalia in the first place; halafu kwenye kutekeleza ikawa issue?
Nadhani walikubaliwa na na serikali ya Mwai Kibaki sio Uhuru, ingekuwa inawezekana Mwai Kibaki angeongeza mwenyewe.
Ongezeko hilo wanalotaka haliwezekani, bila shaka yoyote madaktari wanatumiwa na upinzani kuhujumu serikali.
 
Mbona Mp Na wabunge WA county wanapewa mshahara WA million Na zaidi Na wengine ata kidato cha nne bado hapa Kenya! Daktari shule ni miaka saba kuhitimu Na Anaokoa maisha naona ata kulipwa milioni ni kidogo. Na kama uchumi ni mbaya uwe mbaya kwa Kila mtu kuanzia uhuru kwenda kwa Hawa wezi wabunge.
 
Tz kuna batches tatu (2014, 2015 &2016 ) hawa wote hawajapata ajira serikalini wapo kwenye NGOs na private hospital, GoK wakitoa advertisement zao vizuri wengi sana wataenda Kenya kujaribu maisha, ukizingatia a considerable number of them bado hawajaoa. Inawezekana Drs hata 1000 kukubali kuhamia Kenya.
 
Kwa uchumi wa nchi zetu, kukubali mshahara wa 1000$ a month kwa resident tu ni kukaribisha maafa, Engineers nao wangefuata kwa kutaka increment ya hatari. Na sidhani kama Uhuru anapenda Mpigs wanavyojilipa, sema akigusa mapato yao watampiga vita ambayo ataumia sana na yeye. Hii inshu ingetokea Tz ingekaa week moja tu, Magu angefungia mtu mahabusu au angeenda kumtoa meno kwa pliers na mgomo kuisha polepole.
 
Nadhani walikubaliwa na na serikali ya Mwai Kibaki sio Uhuru, ingekuwa inawezekana Mwai Kibaki angeongeza mwenyewe.
Ongezeko hilo wanalotaka haliwezekani, bila shaka yoyote madaktari wanatumiwa na upinzani kuhujumu serikali.
Sisi waafrika kila kitu huwa ni hujuma na upinzani tu hakuna njia nyingine ya kuweza kumaliza mzozo? Oky fine ni wapinzani wanachochea huo mzozo kamata viongozi wa NASA weka ndani sasa? Fikiria kwa makini kama serikali ilikuwa haiwezi kutoa pesa hiyo tangu Mzee Mwai wangejadiliana ilo huku bongo karibu mwezi wa 5 kuna uhaba wa madawa na vitenganishi KWENYE vituo na hospital nyingi sijui nani ameturoga sisi ngozi nyeusi
 
Kutapatapa kutasaidia nini..!? Thamini chako, mgogoro gani huo ambao hauna suluhisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…