Serikali ya Kenya kuwaajiri madaktari kutoka Tanzania, Uhabeshi na Cuba

Serikali ya Kenya kuwaajiri madaktari kutoka Tanzania, Uhabeshi na Cuba

usalama kwanza.....sio madaktari wote wa Kenya wanapenda huo mgomo lakini wametishiwa iwapo watalejea kazini peke yao.
 
Sio serikali imeshindwa wameshindwana viwango! Sasa kama mtanzania yuko tayari kufanya kazi kwa mshahara ambao serikali inaumudu hakuna tatizo.Serikali haina tatizo la kushindwa kulipa viwango vilivyopo.Sasa wale madaktari wana miezi mitatu wako kwenye mgomo( WANALIPWA BILA KUFANYA KAZI) ni sawa na kusema wameacha kazi.Ndio maana KENYA wanaona waajiri tu wengine
Wawafukuze, watangaze ajira huko huko kwao anayetaka aombe upya, uone kama hawataomba maana Kuna wengine wamelazimishwa na wenzao kugoma hivyo watakuwa wameonewa nina amini serikali ya Kenya inatambua hilo
 
Sio serikali imeshindwa wameshindwana viwango! Sasa kama mtanzania yuko tayari kufanya kazi kwa mshahara ambao serikali inaumudu hakuna tatizo.Serikali haina tatizo la kushindwa kulipa viwango vilivyopo.Sasa wale madaktari wana miezi mitatu wako kwenye mgomo( WANALIPWA BILA KUFANYA KAZI) ni sawa na kusema wameacha kazi.Ndio maana KENYA wanaona waajiri tu wengine
Wewe Yehoyada nina wasiwasi na upeo wako wa uelewa wa mambo. Yaani wenzako wana negotiate kwa ajili ya maslahi yao halafu wewe ujitie kiherehere kwenda kufifisha juhudi zao halafu wakuangalie tu? Hivi mtu akiwa UVCCM na uwezo wa kufikiri hupotea sio? Wewe unafikiri yanayotokea South Africa ni kwa sababu ya nini? Mojawapo ya sababu ni kwa hao wageni kuwa tayari kuajiriwa kwa malipo kiduchu ambayo wao hawayaafiki na hivyo kuwakosesha ajira wenyeji. Hili nalo unahitaji tuition? Acha kuaibisha walimu waliokufundisha, vinginevyo kama ulifaulu kwa kukariri.
 
Madaktari wa TZ kuweni makini na maisha yenu, msije mkaletewa Mungiki ikala kwenu!
Kuna zaidi ya madaktari 3,000 Tanzania wako mitaani jobless. Kwa miaka 2 sasa hatujaajiri madaktari kwani hatuna uhaba nao, na vyuo vyetu vikuu vinaendelea kufyatua madaktari 2,000 per annum.

Hivyo hiyo ni neema kwao. Usalama wao definately serikali ya Kenya itaulinda. Msiwaogopeshe. It is a good opportunity for them. Acha vijana wetu wakafanye kazi Kenya. Kwanza huo mshahara waliougomea medics wa Kenya ni mara tatu ya mshahara ambao tungewalipa sisi kama tungewaajiri. Na tumeshindwa kuwaajiri kwani nafasi zimejaa na wage bill yetu inatumia almost 55% ya makusanyo ya TRA.

Hata sisi wakati wa mgomo wa akina Dr Ulimboka tulitishia kuwatimua madaktari wote waliokuwa kwenye mgomo na nafasi zao zilikuwa zichukuliwe na madaktari toka China. Tishio hilo ndilo lilimaliza mgomo. Serikali si ya kuchezea. Wakenya wamechelewa sana kuchukua hatua hiyo, hivyo wagonjwa wengi wasio na hatia wamepoteza maisha ambao wangepona kwa kupata huduma za kitabibu. Vijana wetu waende kuokoa maisha ya ndugu zetu Wakenya. Undungu ni kusaidiana kwenye matatizo. Ndiyo ushirikiano wa EAC unaopaswa kuwa. Kwa miezi 4 Wakenya wamekuwa wakipukutika kwa kukosa madaktari wakati sisi tuna ziada ya madaktari wako jobless mitaani. Hii siyo vizuri.
 
Naipongeza hatua hii; watanzania wapate ajira. Pamoja na hayo, vyeti viwekwe mezani vihakikiwe kwanza wasije wakatutia aibu huko. [HASHTAG]#WekaChetiMezani[/HASHTAG]
 
Dakatri mwenye akili hawezi kukubali offer ya aina hiyo maana mbali na kusaliti madaktari wenzake lakini pia anahatarisha maisha yake.
 
Ila hapa naona Tanzania wakifaidi sana iwe kwamba mpango huu utaendelea. Vipi madaktari watz wataajiriwa wote Kenya na Tanzania?? Naona hapa noma sana
Tanzania si wanabana matumiz bado, graduate wanakaa mtaan miaka 2 hafu upate gape nje ujishauri kisa Tanzania hii ya wivu na matamko? Binafsi nashauri waende wakpata nafasi maana hapa kwetu dharau nying sana ktoka kwa wanasiasa! Ifke muda waone muhm wao, hapa kwetu wamekalia uhakiki watumishi hewa mwaka mzma ***** kabsa! Vjana wameumia mpaka basi hafu bado hawajui hatima yao, hawa wanasiasa wamekalia matamko tu! Vjana nendeni aisee! Tz nao watachukua wakenya waliogoma waje wawape mshahara wanaotaka!
 
Nilimsikia rais wa chama cha madaktari Tanzania (MAT) anasema interns wa Kenya wana earn zaidi ya registered doctors wa bongo.

Nadhani wengi wataacha kazi na kuna uwezekano ghasia dhidi ya wageni zikaanza Kenya kama ilivyo SA.

Kwa sasa bongo Kuna madaktari zaidi ya 1500 wako mtaani
Wakenya Tanzania kwao ni sebuleni.Mbona wakianzisha vurugu wao ndio watapata hasara? Manake huku Tanzania wamejaa wengi sana na tunaishi kama ndugu!
 
Let me warn the TMA members that the Kenyans are very difficult and dangerous people to work with. You will end up being murdered. So never accept that deal please
Acha kudanganya, mtu Hana ajira aendelee tusubili tu?, acha wakatafute hujui kuna wahitim wengi wapo kitaa na hawana ajira, I Hali Zahanati zetu hazna ma Dr?,eti bado tunakagua vyeti feki, wengine wachukua lkz 2months,
 
Mwenyekiti wa Baraza la Magavana, Peter Munya ametangaza kuwa Serikali itaajiri madaktari kutoka Tanzania, Ethiopia na Cuba ndani ya wiki tatu zijazo ili kuchukua nafasi ya madaktari walio katika mgomo.

Haya yamekuja siku moja tu baada ya Rais Kenyatta kusema kuwa madaktari hao wanairubuni(blackmail) serikali na wanachotaka kwa Serikali ni kikubwa mno na hakiwezi kufanywa ndani ya usiku mmoja.

========

Council of Governors Chair Peter Munya has announced that the government will hire doctors from Tanzania, Ethiopia and Cuba in the next three weeks to replace striking doctors.

Speaking during the ongoing devolution conference in Naivasha, Munya directed doctors who are yet to resume duty to go and sign Recognition Agreements with their individual county governments.

The striking doctors are, however, insisting that the recognition agreement and the CBA as amended and revised should be signed first before they can return to work.

In a statement to newsrooms, the Kenya Medical Practitioners, Pharmacists and Dentists Union (KMPDU) Secretary General Dr Ouma Oluga and other union officials have urged the doctors to maintain their resolve insisting that the recognition agreement and CBA must be signed to end the 94-day strike.

“We await to conclude the signing of Recognition Agreements, CBA and then after RTWF as was guided by the Court of Appeal under the Mediation of Religious Leaders. We hope this shall be done soon,” read the statement.

Despite government withdrawing a deal negotiated during the meditation process, the doctors now say that they cannot be coerced and bulldozed into returning to work without inking the negotiated deal.

“While the payroll and the hospital belongs to the government, your skill is selfishly yours. But let nobody make you think that it must be forced on you to use it,” said Oluga.

But the council of governors remains adamant that the deal is no longer on the table, accusing the union of sabotaging the health sector.

This comes just a day after President Uhuru Kenyatta on Tuesday, March 7 termed demands by doctors as blackmail, saying that what the medics are demanding in their 2013 Collective Bargaining Agreement is too high and cannot be achieved overnight.

The Head of State further warned the striking medics of consequences should the ongoing mediation process fail.

“If this round they are engaged with religious leaders fail, we will be in a bit of a problem with them,” warned Kenyatta. “This is blackmail and we are not going to entertain it.”

While terming the doctors as dealing an unfair hand, Kenyatta reiterated the government’s commitment to a fair resolution to the doctors and also to the Kenyans who pay.

“It is clear to me that the doctors’ grievances will never be resolved by creating new grievances of their own. Two wrongs have never made a right,” lamented the President. “There is no fairness in that.”

In January, the government had intimated that it was exploring possibilities of recruiting foreign doctors in a bid to restore health services in public hospitals.

Speaking during a joint media conference then, Health Cabinet Secretary, Cleopa Mailu, who was accompanied by Treasury CS, Henry Rotich, and Public Service Commission (PSC) chair, Prof Margaret Kobia, expressed disappointment in the doctors’ union for rejecting the government’s offer.


Source: Citizen
tukija kufanya kazi huko mtatupatia ulinzi?
 
Actually intelligence officials intercepted communication between three officials of the union on monday evening, after being breifed about it thats why you saw uhuru came out on tuesday breathing fire. I remember Atwoli advised them to first take the offer then demand more later.. Now they will walk away with rotten egg in their face.. You can't take on a government and win, it always has a monopoly of everything
So now the government is admitting to spying on Unions ?
 
Tatzo kila kitu watu wanaingza siasa, hakuna kitu kinachonikera kama kuleta ccm na chadema kwenye vitu muhimu vya maisha ya watu, ccm na chadema zkae pemben ktk mambo muhm kama haya, usenge wote unaoendelea chanzo ni kuweka mambo ya ccm vs chadema, ss ni watanzania tunaohtaj mahtaj muhm na sio chama cha siasa!
 
Serikali ya Kenya imesema itawafuta madaktari wote kazi wasio report kazini baada ya masaa 12 ,imesema itaajiri Madaktari kutoka Tanzania nawashairi Madaktari changamkieni ajira
 
Kwa sasa tanzania Kuna madaktari zaidi ya 1500 wako mtaani,toka 2015 hii fursa njema kesho tunasubiri ajira hiyo hao wapumzike tu,it's not ethically patient die in pain while their fellow standing aside and look!!! its brutality,
 
Serikali ya Kenya imesema itawafuta madaktari wote kazi wasio report kazini baada ya masaa 12 ,imesema itaajiri Madaktari kutoka Tanzania nawashairi Madaktari changamkieni ajira
hapo umesema vyema tunahamu kubwa kuwahudumia ndugu zetu
 
Back
Top Bottom