Serikali ya Kenya Yatangaza Hali ya Hatari (Civil Danger)Yaamrisha Rasmi Jeshi la kenya (KDF) Kuingia Mtaani na Kutuliza Raia Wanaofanya maandamano

Serikali ya Kenya Yatangaza Hali ya Hatari (Civil Danger)Yaamrisha Rasmi Jeshi la kenya (KDF) Kuingia Mtaani na Kutuliza Raia Wanaofanya maandamano

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
Hali ni mbaya Sana kwa Majirani..
Jeshi limeingia Rasmi mzigoni..
20240625_202257.jpg
 
Too late, Rutto anavizia hela za kupeleka Polisi Haiti, kwa hiyo anataka kuonyesha jeshi lake linaheshimu haki za binadamu, Hii imesham-cost kisiasa, angeweza kuzuia maandamano mapema tu. Hii ni Afrika, inapobidi, piga rungu kweli kweli

Sasa hivi Rigathi Gachagua anachekea chooni
 
Back
Top Bottom