Serikali ya Kenya Yatangaza Hali ya Hatari (Civil Danger)Yaamrisha Rasmi Jeshi la kenya (KDF) Kuingia Mtaani na Kutuliza Raia Wanaofanya maandamano

Serikali ya Kenya Yatangaza Hali ya Hatari (Civil Danger)Yaamrisha Rasmi Jeshi la kenya (KDF) Kuingia Mtaani na Kutuliza Raia Wanaofanya maandamano

Ndio mwanzo wa kuondoa serikali madarakani.
Kuna mwamba alitabiri
Screenshot_20240625_204057_X.jpg

Tangu mwaka 2022 tarehe 13 May
 
Unatangaza hali ya hatari kwa taifa dhidi ya mamilioni ya vijana wasiokuwa na ajira wanaojipanga na kuratibu mambo yao mitandaoni, how? Mbona ni kuongeza hamaki na taharuki kwa taifa pasipo msingi wowote.
Hilo ni tangazo la kijinga na kipumbavu zaidi.

Kwa kipindi kama hichi mamlaka zilipaaswa kuja na kauli za kusisitiza amani, usalama na demokrasia.
 
Ruto alikuwa na lugha nzuri kweli wakati wa kampeni, sijui kwa nini wanasisa wako hivyo!
Huyo jamaa ni 'crook' aliyehitimu katika kazi hiyo. Yaani ana lugha nzuri sana, siyo wakati huo wa Kampeni pekee, lakini msikilize kila anapozungumzia jambo, utadhani ni kiongozi mwenye dira kwelikweli; lakini ukitazama anayofanya, ni nyume kabisa na hizo hadaa anazo eneza kila mahali.
 
Too late, Rutto anavizia hela za kupeleka Polisi Haiti, kwa hiyo anataka kuonyesha jeshi lake linaheshimu haki za binadamu, Hii imesham-cost kisiasa, angeweza kuzuia maandamano mapema tu. Hii ni Afrika, inapobidi, piga rungu kweli kweli

Sasa hivi Rigathi Gachagua anachekea chooni
Hali ya Hatari katangaza Waziri badala ya Amir Jeshi mkuu

Labda keshasepa 😂😂😂
 
lotakalo anzia Kenya bas litaingia Tz muda si mrefu , Kenya ni role model wa Tz
Sijui hiyo 'role model' unaihusisha na mambo gani wewe. Binafsi sijawahi kuhusisha nchi hiyo na matendo ya Tanzania.
Nadhani hapa unaunganisha tu matamanio yako juu ya hali iliyopo huko iingie hapa. Hilo haliwezi kufanya nchi hiyo iwe 'role model' kwa Tanzania.
Unachanganya maana ya hayo maneno 'role model', na kuyatumia isivyo.
 
Huyo jamaa ni 'crook' aliyehitimu katika kazi hiyo. Yaani ana lugha nzuri sana, siyo wakati huo wa Kampeni pekee, lakini msikilize kila anapozungumzia jambo, utadhani ni kiongozi mwenye dira kwelikweli; lakini ukitazama anayofanya, ni nyume kabisa na hizo hadaa anazo eneza kila mahali.
Amedisappointed sana , aliaminika na kutarajiwa kwa mema mengi mazuri kwa maslahi ya uma lakini imekuwa kinyume chake kabisa.
 
Back
Top Bottom