DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
- #21
Kuna mwamba alitabiriNdio mwanzo wa kuondoa serikali madarakani.
Tangu mwaka 2022 tarehe 13 May
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mwamba alitabiriNdio mwanzo wa kuondoa serikali madarakani.
kwahiyo wanapigana na jobless au?Mh Diale ambaye ni Waziri wa Ulinzi wa Kenya ametangaza hali ya Hatari nchini humo
Source: Citizens Tv
Niaje? Wacha na sisi tukule.Ni chakula chao lakini....
View attachment 3026139
lotakalo anzia Kenya bas litaingia Tz muda si mrefu , Kenya ni role model wa TzMh Diale ambaye ni Waziri wa Ulinzi wa Kenya ametangaza hali ya Hatari nchini humo
Source: Citizens Tv
Huyo jamaa ni 'crook' aliyehitimu katika kazi hiyo. Yaani ana lugha nzuri sana, siyo wakati huo wa Kampeni pekee, lakini msikilize kila anapozungumzia jambo, utadhani ni kiongozi mwenye dira kwelikweli; lakini ukitazama anayofanya, ni nyume kabisa na hizo hadaa anazo eneza kila mahali.Ruto alikuwa na lugha nzuri kweli wakati wa kampeni, sijui kwa nini wanasisa wako hivyo!
Kalia hayohayoMwenye hiyo mandate ni Rais tu. Hadi Ruto aseme.
Hali ya Hatari katangaza Waziri badala ya Amir Jeshi mkuuToo late, Rutto anavizia hela za kupeleka Polisi Haiti, kwa hiyo anataka kuonyesha jeshi lake linaheshimu haki za binadamu, Hii imesham-cost kisiasa, angeweza kuzuia maandamano mapema tu. Hii ni Afrika, inapobidi, piga rungu kweli kweli
Sasa hivi Rigathi Gachagua anachekea chooni
Sijui hiyo 'role model' unaihusisha na mambo gani wewe. Binafsi sijawahi kuhusisha nchi hiyo na matendo ya Tanzania.lotakalo anzia Kenya bas litaingia Tz muda si mrefu , Kenya ni role model wa Tz
Amedisappointed sana , aliaminika na kutarajiwa kwa mema mengi mazuri kwa maslahi ya uma lakini imekuwa kinyume chake kabisa.Huyo jamaa ni 'crook' aliyehitimu katika kazi hiyo. Yaani ana lugha nzuri sana, siyo wakati huo wa Kampeni pekee, lakini msikilize kila anapozungumzia jambo, utadhani ni kiongozi mwenye dira kwelikweli; lakini ukitazama anayofanya, ni nyume kabisa na hizo hadaa anazo eneza kila mahali.
Asije kurudi ICC tuToo late, Rutto anavizia hela za kupeleka Polisi Haiti, kwa hiyo anataka kuonyesha jeshi lake linaheshimu haki za binadamu, Hii imesham-cost kisiasa, angeweza kuzuia maandamano mapema tu. Hii ni Afrika, inapobidi, piga rungu kweli kweli
Sasa hivi Rigathi Gachagua anachekea chooni
wa kenya sio wenzetu, hapa TZ hatuwezi kujaribu hata theluthilotakalo anzia Kenya bas litaingia Tz muda si mrefu , Kenya ni role model wa Tz
Hili linashangaza kidogo.Hali ya Hatari katangaza Waziri badala ya Amir Jeshi mkuu
Labda keshasepa 😂😂😂
Mh Diale ambaye ni Waziri wa Ulinzi wa Kenya ametangaza hali ya Hatari nchini humo
Source: Citizens Tv