Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Daah Wakenya wangeambiwa waamie Burundi alietoa kauli sijui angekua wapi muda huu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania haiwezi kulea upumbavu hata sekunde moja.lotakalo anzia Kenya bas litaingia Tz muda si mrefu , Kenya ni role model wa Tz
😅😅😅😅😅 Tena alijua kuwapanga haswaa na wakajaa ...Ruto alikuwa na lugha nzuri kweli wakati wa kampeni, sijui kwa nini wanasisa wako hivyo!
Una maanisha Waziri wa Ulinzi Hana mamlaka ya kutangaza hali ya hatari?Mwenye hiyo mandate ni Rais tu. Hadi Ruto aseme.
Aisee.
Sisi huku ni uoga tu..KDF wa kenya ni sawa na FFu wa bongo ..comedy ziko pale pale
Yes, waziri wa ulinzi hana mamlaka hayo maana yeye ni mteule tu, mamlaka hayo yanabakia kwa amri jeshi mkuu ambaye ni Rais aliyechaguliwa moja kwa moja na wakenya.Una maanisha Waziri wa Ulinzi Hana mamlaka ya kutangaza hali ya hatari?
Hawa baada ya maandamano Wana gonga msosiNi chakula chao lakini....
View attachment 3026139
Waendelee kuwachekea harafu waambieni waandamanaji na Kesho waandamane waone moto.👇👇
Mr. WilliamsRuto and AdenDuale, this is illegal. You have no power to deploy KDF without parliamentary authority. You will pay for these flagrant abuse of power and atrocities against the people. The revolution will continue until you are removed from power!
Kuna mwanajeshi Ni snipper Wamemdaka GenZ pale Bungeni wamemramba kweli kweli..Waendelee kuwachekea harafu waambieni waandamanaji na Kesho waandamane waone moto