Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #81
Kwa taarifa yako Tanzania ndio inategemea bidhaa kutoka Kenya kutokana na umasikini wake .Soko kubwa LA bidhaa za Kenya liko Tanzania hivyo Kenya inaitegemea sana Tanzania kiuchumi
Pesa ya mauzo ya hizo bidhaa huwa inaingia Kenya au Tanzania? Kwani hizo bidhaa huwa wanaleta kama sadaka au donation?Kwa taarifa yako Tanzania ndio inategemea bidhaa kutoka Kenya kutokana na umasikini wake .
una akili finyu ngombe hazifugwi na Masai tu hata wahindi na wazungu wanafuga.Wafugaji ni makabila yote na race zote MTU ni kuamua tu kuwa mfugaji huyo Gavana Mike sonko ni mfugaji pia ana mifugo kibao kajiado ilipokosa malisho kwa ukame gavana wa kajiado ole lenku ambaye ni gavana Masai wa jimbo LA kajiado linalopakana na Tanzania ndio akamshauri wahamishie ngombe zao Tanzania sababu waliona ndiko kama shamba LA bibi .wakakuta enzi zimebadilika zikadakwa ngombe zao ndio ukamsikia gavana wa kajiado akimpromoshea kwa hadira matusi raisi magufuli baada ya ngombe zake kupigwa mnada TanzaniaEti ng'ombe wa gavana sharobaro Mike Sonko ndo walikamatwa? Mike Sonko si mmaasai
Ata wewe kuwa tanzania wanakuonea wivuNawaonea wivu sana Wakenya .
Wewe kuna somewhere ulitumbuliwa mkuu?Nawaonea wivu sana Wakenya .
Wewe ni lipumbavuuuu!!Mmmmmm hiyo mifugo ilikuwa yake au ya familia za wanasiasa wa Kenya? Yule alikuwa mchunga ngombe tu .Kichwa cha habari kisomeke wanasiasa wa Kenya wamiliki ngombe zilizoshikwa Tanzania wawaibia wakenya kodi zao na wajilipa fidia ya ngombe zao walizokuwa wakilisha Tanzania kinyume cha sheria
Fara tu wewe, hamia Kenya.Naona aibu sana kuwa miongoni mwa raia wa Tanzania .
Kwi! Kwi! Kwi!Fara tu wewe, hamia Kenya.
Sijawahi kufanya kazi serikali ya Tanzania , bali mimi nimeajiri watanzania wengi sana .Wewe kuna somewhere ulitumbuliwa mkuu?
Point of correction: Ng'ombeMmmmmm hiyo mifugo ilikuwa yake au ya familia za wanasiasa wa Kenya? Yule alikuwa mchunga ngombe tu .Kichwa cha habari kisomeke wanasiasa wa Kenya wamiliki ngombe zilizoshikwa Tanzania wawaibia wakenya kodi zao na wajilipa fidia ya ngombe zao walizokuwa wakilisha Tanzania kinyume cha sheria
Unapenda kulipa kodi kweli?[emoji30][emoji30][emoji30]Sijawahi kufanya kazi serikali ya Tanzania , bali mimi nimeajiri watanzania wengi sana .
Hela za sisi matajiri wafanyabiashara tuliofanikiwa ndio zinazoendesha serikali ya TanzaniaUnapenda kulipa kodi kweli?[emoji30][emoji30][emoji30]
Mkenya wa vifaranga anafidiwa nini wakati alishauza akatia pesa mfukoniUsilolijua ni kama usiku wa giza wafugaji wa Kenya mifugo yao inakufa kwa ukame kwa maelfu na ushahidi upo serikali ya Kenya haijawahi wafidia!!!! Wanajifidia wanasiasa wamiliki hizo ngombe hujiulizi swali dogo tu kwa nini mumiliki wa vifaranga mkenya vilivyopigwa moto Tanzania mbona hawajamfidia huyo mkenya mwenzao aliyemuuzia mtanzania? jibu huyo Muuza vifaranga mkenya sio mwanasiasa kule Kenya
[emoji23] [emoji12] We ni mwehu [emoji87]Mmmmmm hata Mungu hakumpenda Jirani yake shetani kule mbinguni
Thanks for correctionPoint of correction: Ng'ombe
Kaulize kwa nini wazirri wa mambo ya nje na media za Kenya zinakomaa kuwa vifaranga vya mkenya vimechomwa wanataka maelezo kwa balozi wa Tanzania wakati ownership ilishachange vifaranga sio vyao kisheriaMkenya wa vifaranga anafidiwa nini wakati alishauza akatia pesa mfukoni
Biashara yao. That's allKaulize kwa nini wazirri wa mambo ya nje na media za Kenya zinakomaa kuwa vifaranga vya mkenya vimechomwa wanataka maelezo kwa balozi wa Tanzania wakati ownership ilishachange vifaranga sio vyao kisheria
We umezaliwa na kukaa dar mambo ya mipaka na ujirani mwema utayajulia wapi.Mbona sisi mifugo yetu mingi tu inslisha kwao miaka na miaka na hawana shida nasi sababu wanajua majira yanazunguka kukiwa na ukame huku kwingine neema. Sio kila kitu Sheria vingine ni busara unaangalia je nini matokeo,sio kila kitu kukurupuka tu.Wafugaji wanalishiana enzi na enzi.hahahahaha waendelee kuwafidia lakini wawafundishe kuheshimu mipaka na sheria za nchi nyingine...............