Ujumbe wa ovyo kuandikwa na mtu wa ovyo kabisaMATAGA msidhani haya mambo yako gizani. Dunia nzima inayaona - tumieni walau hata asilimia 25% tu ya ubongo ili mpone na kiama ya dunia inayowajia.
Haya.... endeleeni tu lakini msijelalamika hatukuwaambia yakiwakuteni ya kuwakuteni!
Alaaa! jidanganyeni tu!USA linaendelea kuwa taifa kubwa na la hovyo sana dunia, kila siku kutoa matamko ya siyo kuwa na kichwa wala miguu.
Walionya na kutoa tamko la kuhusu corona kiko wapi? Watuache nani huwa anaingila mambo yao wao ya ndani? Ukitaka kujua USA wakati mwengine ni wajinga angalia aina ya rais waliye naye wakati huu.
Amemtukana nani na kwa tusi lipi ?!. Kiswahili si lugha yetu ?!. Tamka tusi hata moja na akiyetukanwaAngia kuanza kutafuta wadhamini kwa Wagombea Urais wapi imetumika nguvu mkuu. Au ndiyo mabeberu wanataka kutimiza adhima yao waliyokubaliana na kibalaka wao ya kuhakikisha amani inavurugika Tanzania.
Huyo anawatukana viongozi wa serikali atakavyo wapi amezuia kutoa hizo lugha zake za kifedhuri
Huna hoja zaidi ya mihemko
ushauri Fanya kazi achana na uanaharakati wa kijinga
Usitumie mabavu kumnyanyasa asiye na mabavu. Ni kanuni simple ya maisha .Ngoja tuone kwanza, hivi vyama vya upinzania havijawahi kufanya makosa!? Vyenyewe ni 'malaika' kwenye uso wa Marekani. Hata vinapotoa matamko ya kuvunja amani na umoja wa taifa ama kuvunja taratibu na sheria, US na washirika wake hawaoni!? Wasitake kutulazimisha tuamini kuwa wapinzani wanatumwa na hao hao watoa " maonyo"!
===
Uchaguzi 2020 - Video: Polisi wakisindikiza msafara wa Lissu unaoshangiliwa na kupungiwa mikono na maelfu ya wananchi
- - -
Au hii clip aliyoleta Salary Slip ni fake!?
Upuuzi!Lazima wakuingilie sababu wao ndio wanakulisha. Kila siku mnapeleka bakuli huko halafu mnataka wawaache tu mfanye upuuzi?
Mkitaka msiingiliwe msiende kukopa wala kuomba, na madeni yote ya nyuma mlipe. Mkifanya hivyo mtakuwa free country na mtafanya mtakayo, mkiamua hata kuubeba mlima Kilimanjaro to Chato watakaa kimya
Thibitisha
wooooo nini hapo japo kwa sauti ndogo
Wakati jiwe anatukana watanzania haukuona ufedhuli?Angia kuanza kutafuta wadhamini kwa Wagombea Urais wapi imetumika nguvu mkuu. Au ndiyo mabeberu wanataka kutimiza adhima yao waliyokubaliana na kibalaka wao ya kuhakikisha amani inavurugika Tanzania.
Huyo anawatukana viongozi wa serikali atakavyo wapi amezuia kutoa hizo lugha zake za kifedhuri
Kwa sababu hamuwalishi wala kuwatibia. Sisi nchi hii inamtegemea Mmarekani kwa mambo mengi mpaka vyandarua ili tusife na malaria, watashindwaje kutusimamia yetu?Mwambieni balozi wa marekani atulie, tunayajua yanayotekea marekani na hatujawahi kuingilia
Mjinga akikutana na mwerevu ujinga wake huonekana dhahiri lakini huyohuyo akikutana na mjinga hata kuliko yeye humwona mwerevu kuliko yeye kwa kuwa wanaelewana. Kilinganisha Rais wa Marekani na Rais yeyote wa Afrika Giza ni sawa ya kilinganisha Simba na Paka maana ni tofauti kwa kila kitu ingawa ni wanyama wa familia moja.USA linaendelea kuwa taifa kubwa na la hovyo sana dunia, kila siku kutoa matamko ya siyo kuwa na kichwa wala miguu.
Walionya na kutoa tamko la kuhusu corona kiko wapi? Watuache nani huwa anaingila mambo yao wao ya ndani? Ukitaka kujua USA wakati mwengine ni wajinga angalia aina ya rais waliye naye wakati huu.
wewe kweli akili finyu unadhania ni simple kwamba Tz kuna virus bas hawaji
mwaka huu ni tofauti inaonesha.Hao ni mbwa wasiokuwa na meno, vi maandishi vyao kila siku wanaandika alafu nyumbu wanashangilia, lakini mkizama kwenye mto wenye mamba hovyo mnaliwa kichwa.
ikulu anaingia bila hata ya matamkoSafi saana umeanza kutumia akili na sio mihemko
unafikiri hilo Onyo la USA litafanikisha TL kwenda ikulu ?
mwaka huu hawa Wamarekani wametupania kama ilivyokuwa kwa Gaddafi.Wafanye yao watuache na yetu. Lissu akizingua tunamtegua kiuno na maisha yanaendelea. Toka 1992 tumeona na kuyakabili mengi, la msimu huu haliwezi kuwa geni. Mwisho wa siku hili ni taifa huru na lina namna zake za kushughulikia mambo yake.
Kvma vibuyu marekani