Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

MATAGA msidhani haya mambo yako gizani. Dunia nzima inayaona - tumieni walau hata asilimia 25% tu ya ubongo ili mpone na kiama ya dunia inayowajia.

Haya.... endeleeni tu lakini msijelalamika hatukuwaambia yakiwakuteni ya kuwakuteni!


Ujumbe wa ovyo kuandikwa na mtu wa ovyo kabisa
 
Alaaa! jidanganyeni tu!
 
Amemtukana nani na kwa tusi lipi ?!. Kiswahili si lugha yetu ?!. Tamka tusi hata moja na akiyetukanwa
 
Huna hoja zaidi ya mihemko

ushauri Fanya kazi achana na uanaharakati wa kijinga

Nyani akiona kundule tegemea Sokwe kuamia ngedere shambani.

Heri wewe umeliona la kwako sasa tutapumzika na kuamia ngedere shambani.
 
Usitumie mabavu kumnyanyasa asiye na mabavu. Ni kanuni simple ya maisha .
 
N Upuuzi!
 
Wakati jiwe anatukana watanzania haukuona ufedhuli?
 
Wafanye yao watuache na yetu. Lissu akizingua tunamtegua kiuno na maisha yanaendelea. Toka 1992 tumeona na kuyakabili mengi, la msimu huu haliwezi kuwa geni. Mwisho wa siku hili ni taifa huru na lina namna zake za kushughulikia mambo yake.

Kvma vibuyu marekani
 
Mwambieni balozi wa marekani atulie, tunayajua yanayotekea marekani na hatujawahi kuingilia
Kwa sababu hamuwalishi wala kuwatibia. Sisi nchi hii inamtegemea Mmarekani kwa mambo mengi mpaka vyandarua ili tusife na malaria, watashindwaje kutusimamia yetu?

Tujitegemee kila kitu uone kama US watatuingilia hayo uitayo ya kwetu
 
Mjinga akikutana na mwerevu ujinga wake huonekana dhahiri lakini huyohuyo akikutana na mjinga hata kuliko yeye humwona mwerevu kuliko yeye kwa kuwa wanaelewana. Kilinganisha Rais wa Marekani na Rais yeyote wa Afrika Giza ni sawa ya kilinganisha Simba na Paka maana ni tofauti kwa kila kitu ingawa ni wanyama wa familia moja.

Simba, binadamu na paka wote walikuwa wanaishi porini na kupata mahitaji yao yote hukohuko lakini maisha ya porini yalipomshinda binadamu na kukimbia, paka pia alikimbia akiambatana na binadamu hadi leo na angabaki porini na simba, leo paka angekuwa hayupo duniani.

Rais wa Marekani utajiri wote alionao ni wa jasho lake sio kutokana na kodi za wananchi anaowaongoza kama ilivyo kwa Marais tunaojua wanapora .atrilion ya kodi za wananchi masikini kwa manufaa yao na wakizunguka na mabulungutu ya fedha za raia wakiwagawia jamaa zao eti ni viongozi wa wanyonge.

Kisiasa tofauti za Wamarekani ni ndogo sana ndo maana hawauani kama kwetu kwa sababu ya siasa bali kwa sababu nyingine kabisa.
 
wewe kweli akili finyu unadhania ni simple kwamba Tz kuna virus bas hawaji

Yes very simple kupiga propaganda ya aina hiyo. Inaonekana ujui mambo hayo kwa Sana ww unachukulia vitu juu juu tu
 
Hao ni mbwa wasiokuwa na meno, vi maandishi vyao kila siku wanaandika alafu nyumbu wanashangilia, lakini mkizama kwenye mto wenye mamba hovyo mnaliwa kichwa.
 
Hao ni mbwa wasiokuwa na meno, vi maandishi vyao kila siku wanaandika alafu nyumbu wanashangilia, lakini mkizama kwenye mto wenye mamba hovyo mnaliwa kichwa.
mwaka huu ni tofauti inaonesha.

tuombe Mungu tu wasije kufikia kum Gaddafi mtu!
 
mwaka huu hawa Wamarekani wametupania kama ilivyokuwa kwa Gaddafi.

tuombe Mungu wenye mamlaka wafunuliwe macho, maana!
 
huu ujinga wa kushadadia kauli za mabeberu ni dalili ya kufeli kifikra, hivi sisi waafrika hatuwezi tatua changamoto zetu mpaka tusemewe na hawa mabwana? mleta uzi jitafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…