Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
kwaiyo Zimbabwe ina uspecial zaidi ya Tz mpaka yenyewe iachwe then Tz ivamiwe ?
kwa faida ya ujinga ulionao ni kuwa ni vigumu kulivamia taifa huru ambalo raia wengi wanaiunga mkono serikali yao
kwann USA alikimbia hapo Somalia failed state ?
Soma tena kwa utulivu
Wala si kazi kubwa , hao hao askari wenu mliokuwa hamjawalipa mshahara ndio wanaanza kazi
Zimbabwe: Govt to Return Land Back to White Former Farmers