Serikali ya Rais Samia ndiyo itakayoumiza sana Wanyonge. Hili tuendelee kukumbushana

Serikali ya Rais Samia ndiyo itakayoumiza sana Wanyonge. Hili tuendelee kukumbushana

Wana JF tunatafutiana ban za lazima sasa hivi kujifanya hamnazo na kujisahaulisha.

Hakuna kiongozi aliotupa wakati mgumu kimaisha kama John Joseph Pombe Magufuli. Mambo alivyoyavuruta na kutuburuza nayo kama taifa yule mzee hayaelezeki.

Hakubakisha mtu salama, kuanzia Wakulima wa Korosho, Wauza Midosho, Wafanyabiashara, Wastaafu, Walimu, Wafanyakazi wa Umma, Wanafunzi kwenye Riba Za Mikopo, Madereva kwenye Mikeka ya trafic, Wachimbaji Wadogo na Wakubwa wa Madini, Mashirika ya Ndege kama Precison Air + Fast Jet.
Yote hayo aliweza kuyafanya huku aliimba yeye ni rais wa wanyonge!

Na kuna watu hadi sasa wanamsifu juu ya maneno hayo, hata kama vitendo vilikuwa zero!
 
Ndani ya miezi yake michache ameendelea kunyonya watu wenye kipato cha chini na kufaidisha Matajiri.

Kodi iliyooongezeka kwenye mafuta si rafiki kwa maskini. Ni kodi ya kinyonyaji,wizi na ulaghai mkubwa.

Kodi kwenye miamala ni kodi hiyo hiyo endelevu ya kunyonya watanzania maskini.

Bado kodi ya kuongeza salio. Serikali inaonekana imekosa ubunifu na inaamini katika kuendelea kuwanyonya wananchi hawa maskini.

Tulikuwa tunasema tumpe muda na tumempa muda wa kuwa nyonya maskin damu. Hii ni moja ya Serikali ambazo zitaumiza sana watu wa kipato cha chini. Anyway kwa sisi wafanya biashara tunashukuru maana tutarudisha kile ambacho kilipotea wakati wa Magufuli akiwapendelea wa kipato cha chini.
Hapa hakuna kunyonywa lipa kodi kwa maendeleo ya nchi. Kodi siyo kwa matajiri tu.
 
Wananchi wanalia huku Kisesa Mwanza hawaunganishiwi umeme , maji hamna na Hakuna muendelezo wa Kisesa kuwa wilay mpya
 
Wana JF tunatafutiana ban za lazima sasa hivi kujifanya hamnazo na kujisahaulisha.

Hakuna kiongozi aliotupa wakati mgumu kimaisha kama John Joseph Pombe Magufuli. Mambo alivyoyavuruta na kutuburuza nayo kama taifa yule mzee hayaelezeki.

Hakubakisha mtu salama, kuanzia Wakulima wa Korosho, Wauza Midosho, Wafanyabiashara, Wastaafu, Walimu, Wafanyakazi wa Umma, Wanafunzi kwenye Riba Za Mikopo, Madereva kwenye Mikeka ya trafic, Wachimbaji Wadogo na Wakubwa wa Madini, Mashirika ya Ndege kama Precison Air + Fast Jet.

Wana JF tunatafutiana ban za lazima sasa hivi kujifanya hamnazo na kujisahaulisha.

Hakuna kiongozi aliotupa wakati mgumu kimaisha kama John Joseph Pombe Magufuli. Mambo alivyoyavuruta na kutuburuza nayo kama taifa yule mzee hayaelezeki.

Hakubakisha mtu salama, kuanzia Wakulima wa Korosho, Wauza Midosho, Wafanyabiashara, Wastaafu, Walimu, Wafanyakazi wa Umma, Wanafunzi kwenye Riba Za Mikopo, Madereva kwenye Mikeka ya trafic, Wachimbaji Wadogo na Wakubwa wa Madini, Mashirika ya Ndege kama Precison Air + Fast Jet.
Wacha hizo
Wakulima walipata bei nzuri
Wauza midosho walidosheka
Wafanyabishara wakajiteka
Wastaatfu wamejengewa nyumba na magari mapya yenye maua
Walimu wapo watakuwepo
Wafanyakazi wa Kuuma hao, wanajilipa mkutano, kwa vile walihudhuria mkutano, halafu wakajilipa kupata Taarifa ya mkutano waliohudhuria, na kujilipa kuwasilisha yaliyojiri mkutanoni, kama sio wauma wafanyakazi sijui niwaitaje?
Wacha hizo
 
Wenda tunamuonea, KWA namna moja au nyingine, maana mwendazake hakuwa na kipaumbele, kuanzisha ma miradi makubwa Kama vile alikuta nchi ipo kuzikwa, mfano

Bwawa la umeme, Kama vile kakuta nchi ipo gizani

Reli Kama vile alikuta hakuna usafili wa tren,

Sasa SSH rais anakabwa na ccm kisa ilani ya ccm,lazima kujikongoja na mamiladi, angalau kuwafuraisha wanachama wenzake,na lazima maisha yawe magum, mwendazake kaacha amekamua nchi , basi tu Mambo ya nchi yanabaki siri

Lakini kisiwe kigezo Cha kuwakamua watz , SSH rais Inabidi kisimama ,akiwasikiliza Ccm wananchi watalimia kucha,

Ssh Rais kutana na vyama vya siasa yapo mawazo utapewa na siku Iyo utalala usingizi mwanana, Kuna vichwa kule sio vya Dunia hii ,achana na wafia tumbo wa ccm sio wema kwako ,
Tuendlee kumtetea.....ila tusije onekana sasa tunamfanya yeye kilaza.
 
Hatatewi mtu hapa , tunamwambia ccm ni janga la kitaifa, mwenyewe,SSH rais wenda anaona vyema tu, CCM inaalibu vipaji VYA watu cheki soon wamemwingilia bahada ya siku mia , angalia utapata majibu
Tuendlee kumtetea.....ila tusije onekana sasa tunamfanya yeye kilaza.
 
Katiba mpya iondee ubunge wa viti maalum, ipunguze utitiri wa viongozi ambao wanategemea kodi za wananchi kuishi.
Kwamba katiba mpya itakuwa inawalipia Kodi watanzania, Basi tuongeze speed yakuidai hiyo katiba

Nyie watu sijui humo kwa mabichwa yenu Kuna maziwa mgando au ubongo?
 
Ndani ya miezi yake michache ameendelea kunyonya watu wenye kipato cha chini na kufaidisha Matajiri.

Kodi iliyooongezeka kwenye mafuta si rafiki kwa maskini. Ni kodi ya kinyonyaji,wizi na ulaghai mkubwa.

Kodi kwenye miamala ni kodi hiyo hiyo endelevu ya kunyonya watanzania maskini.

Bado kodi ya kuongeza salio. Serikali inaonekana imekosa ubunifu na inaamini katika kuendelea kuwanyonya wananchi hawa maskini.

Tulikuwa tunasema tumpe muda na tumempa muda wa kuwa nyonya maskin damu. Hii ni moja ya Serikali ambazo zitaumiza sana watu wa kipato cha chini. Anyway kwa sisi wafanya biashara tunashukuru maana tutarudisha kile ambacho kilipotea wakati wa Magufuli akiwapendelea wa kipato cha chini.
Hivi zile Noah tuliambiwa kila mtanzania atakuwa nayo zilitokana na nini!
 
Wana JF tunatafutiana ban za lazima sasa hivi kujifanya hamnazo na kujisahaulisha.

Hakuna kiongozi aliotupa wakati mgumu kimaisha kama John Joseph Pombe Magufuli. Mambo alivyoyavuruta na kutuburuza nayo kama taifa yule mzee hayaelezeki.

Hakubakisha mtu salama, kuanzia Wakulima wa Korosho, Wauza Midosho, Wafanyabiashara, Wastaafu, Walimu, Wafanyakazi wa Umma, Wanafunzi kwenye Riba Za Mikopo, Madereva kwenye Mikeka ya trafic, Wachimbaji Wadogo na Wakubwa wa Madini, Mashirika ya Ndege kama Precison Air + Fast Jet.
Mimi katika kipindi chake nilifurahi kwa kuwa wote tulilipa kodi. Miaka ya nyuma HSC walitunyanyasa sana sisi tuliokuwa tunalipa kodi kwa usahihi. Mpaka kufikia hatua wao kuwa mawakala. Hilo sitopenda lirudi. Mimi kipindi cha Magufuli Biashara zangu zimeenda vizuri. Nmefurahia kulipa kodi na nikiona inavyotumika.
 
Wewe jua tu kwamba amekwishajitambulisha kwamba yeye ni mtu wa walanguzi na wachuuzi; sasa hapo ataweza vipi kupigania maslahi ya hao unaowaita "wanyonge"?

Sijui ilikuwaje hadi ukawa mgumu sana wa kumwelewa. Aliposema anakwenda kufungua nchi, bado hukuelewa alikuwa na maana gani hadi udai ulikuwa bado unampa muda, muda wa nini tena?

Hivyo visenti vyenu vitakavyokuwa vinakusanywa sasa, ndiyo njia ya kuwaondolea wachuuzi na walanguzi wake mzigo uliokuwa ukiwaelemea; sasa nyinyi wanyonge ndio mtakaokuwa mnaziba mapengo hayo ya upungufu, huku wenzenu wakila kuku kwa mirija; wakiimba nyimbo "serikali isifanye biashara", huku wao ndio wakinyonya huko huko serikalini hivyo visenti vyenu mnavyovililia hapa!
Kwikwikwikwi
 
Ndani ya miezi yake michache ameendelea kunyonya watu wenye kipato cha chini na kufaidisha Matajiri.

Kodi iliyooongezeka kwenye mafuta si rafiki kwa maskini. Ni kodi ya kinyonyaji,wizi na ulaghai mkubwa.

Kodi kwenye miamala ni kodi hiyo hiyo endelevu ya kunyonya watanzania maskini.

Bado kodi ya kuongeza salio. Serikali inaonekana imekosa ubunifu na inaamini katika kuendelea kuwanyonya wananchi hawa maskini.

Tulikuwa tunasema tumpe muda na tumempa muda wa kuwa nyonya maskin damu. Hii ni moja ya Serikali ambazo zitaumiza sana watu wa kipato cha chini. Anyway kwa sisi wafanya biashara tunashukuru maana tutarudisha kile ambacho kilipotea wakati wa Magufuli akiwapendelea wa kipato cha chini.
 

Attachments

  • IMG_0470.MP4
    13 MB
Back
Top Bottom