Serikali ya Samia imeboresha lengo lake la Elimu bure

sio kweli mwaka jana tumelipa ada ya mtihani
Hatukutakiwa kulipa kwa sababu walipodaiwa watoe risiti waliwatishia watoto kuwafukuza kwa sababu zingine wanazozijua; hizo pesa walitafuna isivyo halali maana mwongozo wa kutolipa ada ulitolewa tangu Januari 2021
 
Mwanao kafaulu vizuri. Tukampangia akasome bure shule ya serikali. Wewe kwa kuwa una kiburi cha Pesa, unampeleka Feza Boys au Marian's Girls....

Unashindwaje kulipa ada ya 50K?
Paskali yuko sahihi. Hoja siyo kushindwa kulipa Elfu 50, maana kabla haijafutwa, hakuna Wanafunzi waliozuiwa kufanya Mitihani kwa kushindwa kulipa hiyo Ada.
Hoja hapa ni kwamba hawa wote ni Watoto wa Kitanzania, wanaotafuta elimu kuijenga Nchi yetu.
Hizi Shule binafsi zinazidi kuwa maarufu na muhimu sana kwa sababu Serikali haitaki kuajiri Walimu. Mwanazuoni Kitila Mkumbo anasema kuwa kuna upungufu wa Walimu Laki Mbili na Elfu Arobaini, lakini Serikali inaajiri Walimu Elfu Ishirini tu.
Kila Shule ya Msingi na Sekondari ikipata idadi ya Walimu wanaotakiwa, Shule za Binafsi zitayeyuka kama theluji.
Ada za Mitihani zilizofutwa zinafidiwa na Kodi zinazolipwa na Watanzania wote.
Ubaguzi huu unakiuka Haki za Binadamu.
 
level gani?? kama ni form four umeibiwa nenda kadai hela hayo, form four toka 2016 hamna ada za mtihani wa taifa
Kidato cha sita nimewalipia vijana 6 shule za kata
 
Mwanao kafaulu vizuri. Tukampangia akasome bure shule ya serikali. Wewe kwa kuwa una kiburi cha Pesa, unampeleka Feza Boys au Marian's Girls....

Unashindwaje kulipa ada ya 50K?

Hiyo sio sbb maena huko pia hamna bure kuna gharama kibao wazazi wanaingia..
Hiyo ada ni haki ya wanafunzi wote maana wote tunalipa kodi tozo tunachangia uchapishaji wa hiyo mitihani
 
Mwaka juzi na kwani walilipia hiyo ada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…