Serikali ya Tanzania ianze kutumia (inunue) minibuses kwa ajili ya kusafirishia viongozi kwenye ziara kama wafanyavyo China

Serikali ya Tanzania ianze kutumia (inunue) minibuses kwa ajili ya kusafirishia viongozi kwenye ziara kama wafanyavyo China

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Ili kuepukana na gharama za ununuzi wa magari ya ghali kila mwaka kwa ajili tu ya kusafirishia viongozi mbalimbali ni vyema sasa serikali ikaja na utaratibu mpya.

Nina shauri serikali kuanza kununua minbuses maalumu kwa ajili ya kubebea viongozi katika safari kama ziara mbalimbali ili kuepuka utitri wa magari katika misafara na gharama za ununuzi wa magari ya kifahari.

Serikali ya Uchina wamekuwa na utaratibu huu wa kusafirisha wajumbe wa bunge la watu wa China katika vikao vyao pia katika ziara mbalimbali za katibu wa chama cha kikomunisti cha Uchina na Rais wa nchi hiyo Xi jinping ameonekana mara kwa mara akitumia usafiri huu katika nchi ya China.

Huyu ni katibu wa chama cha kikomunisti cha China na Rais wa China Xi jinping akitumia Minbus katika moja wapo wa ziara ndani ya China pamoja na viongozi wenzake.


6517b6c95846f.image.jpg
6517b6cdcb4dc.image.jpg
GettyImages-1231940332-e1618892331406.jpg
2d81c21b4ae74520b72b3d220a8c60cf.png
20170517034444262.jpg
a15e5202d2624dbfaa6b770cb24a5dcd.jpg
1310186745_16316089252241n.jpg

Ni vyema sasa serikali ikatazama suala hili kwa namna ya pekee ili kuepukana na hali kama hii

4-10.jpg
15-5.jpg
 
Wa Afrika tuna shida vichwani,wanaona kuwa, na ma v8 Mia kwenye misafara ni kama amri ya Mungu, IPO kwenye misaafu, Wa Afrika weusi wanapenda kuonekana watu wa heshima, na ukubwa, hata kama hwkuna cha maana wanachofanya huko maofisini,
Unakuta MTU, V8 na dereva kapewa, akija ofcn,anakuja katanua makwapa, anafoka kama chatu,utafikri kuna jambo LA maana anaweza kufanya! Madudu tu, hawa ili watie akili, unawanyanganya magari, waende kama wafsnyakazi binafsi!
 
Back
Top Bottom