Serikali ya Tanzania imeshindwa kutafsiri dhana ya Burkina Faso?

UNASHDA KWELI KWENYE AKILI YAKO.MANABII FEKI WAMEKUHARIBU UBONGO WAKO.ujenz wa barabara shule na vyuo vya ufundi mahospitali na kilimo bora yanahusikaje na mambo ya kiroho,?
Nothing to prove hampo illuminated miaka 60 ya Uhuru bado tu mnahangaika na barabara , choo , na madarasa what a sheme .

Africa hata mpewe nini hamtatoka hapo mpo cursed
 
Yote hayo yapo kweli, anayesimamia elimu anafanya nini kuondosha matabaka?

70s ilikuwa ni sifa kubwa mwanafunzi akipata nafasi ya kusoma shule za serikali kuliko shule binafsi. Sasa imekuwa kinyume chake. Why?
WHY?Yaani mtu mmoja JOSEPH MUNGAI (mkenya) aharibu wengne mpaka leo hawaoni hzo tabaka kwenye elimu.tunajenga tabaka ya WATAWALA NA WATALIWA.WATAWALA WATAPATA ELIMU BORA NA KULA KEKI YA NCHI NA WATALIWA WATAENDELEA KUPATA ELIMU DUNI NA KUSOTA.Wako wapi wanaloliona hili?MAKONDA HUSEN BASHE JERY SILAA WAMEONA WAMEANZA KUTUMIKIA WANANCHI
 
Uislam haukatazi mtu kuwa bilionea, hata mabilionea wengi wa Tanzania ni Waislam, au wote ni watoto wa Marais?

Akama huelewi kutumia fursa kihalali, kuwa Muislam ujifunze.
 
Pengine hali sio njema sana , mpaka faiza umeandika hivi!
Hata hivyo ni hoja yako mleta mada ni nzuri sana.
Pitia nyuzi zangu ninazoanzisha, hazina hoja mbovu.
 
Bajeti kuwa kubwa au ndogo haina uhusiano na nilichoandika kwenye mada.

Labda umefanya uvivu wa kuisoma post #1
 
Hapana, tatizo lipo kwa watendaji.

Mimi siyo Mzanzibari ni Mzenjbar, kumbuka hilo.
 
Uislam haukatazi mtu kuwa bilionea, hata mabilionea wengi wa Tanzania ni Waislam, au wote ni watoto wa Marais?

Akama huelewi kutumia fursa kihalali, kuwa Muislam ujifunze.
Hata ukristo haukatazi mtu kuwa bilionea ...tumia akili kujua nilicho maanisha tatizo lako wewe akili zako ni finyu
 
Hakuna uhusiano wowote kati ya Uongozi m'bovu na laana!

Matumizi ya hovyo yaondolewe mama aache uvivu aingie site kututumikia


Laana yenyewe ndo hiyo watu hawapo enlightenment Rais ni reflection ya watu anaowaongoza..

Miaka 60 ya uhuru bado tunajenga madarsa na vyoo ,
 
Laana yenyewe ndo hiyo watu hawapo enlightenment Rais ni reflection ya watu anaowaongoza..

Miaka 60 ya uhuru bado tunajenga madarsa na vyoo ,
Tunarudi palepale ni uongozi m'bovu
Serikali ipinge matumizi mabovu ya neno Dr.
 
Pitia nyuzi zangu ninazoanzisha, hazina hoja mbovu.
Ni kweli kabisa nyingi zao ni hoja nzito nzuri na za kufunza , ukiachilia hizi za kidini na hizi za kisiasa za ambazo ndani yake kuna udini na upendeleo, na za kisiasa ambazo ndani yake kuna udini na chuki.
 
Nothing to prove hampo illuminated miaka 60 ya Uhuru bado tu mnahangaika na barabara , choo , na madarasa what a sheme .

Africa hata mpewe nini hamtatoka hapo mpo cursed
Siyo "curse" ni uroho na kufata mifumo tuliyowekewa na wageni ndicho kinatusumbuwa.
 
Nothing to prove hampo illuminated miaka 60 ya Uhuru bado tu mnahangaika na barabara , choo , na madarasa what a sheme .

Africa hata mpewe nini hamtatoka hapo mpo cursed
UNA KANISA WAPI?UNAJUA UNABII WA AFRIKA KWENYE KITABU CHA ISAYA?umaskn wa afrika ni suala la uongoz mbovu ufisadi na uroho wa madaraka.umaskn wa mtu mmoja mmoja hata usa upo
 
Mchango wako ni mzuri ila umechafuliwa na kumsifu bwana mwenye damu za watu mikononi mwake.
 
Mifumo ya kutugawa watutawale ndiyo inayotuumiiza.

Burkina Faso na jirani zake wanafanya maamuzi magumu ya kuwachana nayo.

Sisi tunangoja nini?
 
Tunarudi palepale ni uongozi m'bovu
Serikali ipinge matumizi mabovu ya neno Dr.

😁😁😁😁😁 kutokupenda ukweli ndo umeamua kufanya person attack sio?

Sisi Africa ni cursed continent mama SSH hakuna anachoweza kufanya
 
Nawanoa wanangu wawe magaidi wasije na sura za kiserikali ambayo inajipatia fedha za kufanyia matanuzi kinguvu na ukatili mkubwa Kwa maskini wasiothaminika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…